FJM,
..kutokana na ukubwa wa jeshi letu ndiyo maana inalazimisha Chief of Staff kuwa na cheo cha Lt.Gen.
..enzi za Sarakikya mkuu wa majeshi alikuwa na cheo cha Brigedia na mkuu wa utawala alikuwa ni major.
..kwa uelewa wangu askari akifikia nafasi ya major general basi anaweza kuteuliwa kuwa mkuu wa majeshi, au mkuu wa utawala jeshini.
..ni uamuzi wa Raisi na Amiri Jeshi Mkuu kuamua ni yupi kati ya major generals anafaa kushika wadhifa wa mkuu wa majeshi, au mkuu wa utawala jeshini.
NB:
..kuna maswali mengi sana ya kujiuliza kuhusu retirement ya Lt.Gen.Shimbo na uteuzi wa Lt.Gen.Ndomba.
..Shimbo ame-retire baada ya kufikisha miaka 60, Ndomba naye ameteuliwa akiwa na miaka 58.
..je,Lt.Gen.Ndomba atatumikia kwa miaka 2 tu halafu astaafu?
..pia kuna utamaduni/mazoea kuwa mkuu wa majeshi huondoka madarakani na mkuu wa utawala waliyetumikia pamoja. the only exception ninayoikumbuka ni Waitara kuondoka, na Mwamunyange[mkuu wa utawala] kuwa promoted kuwa mkuu wa majeshi.
..je, ina maana Gen.Mwamunyange ataondoka na Lt.Gen.Ndomba? When is Mwamunyange retiring, he is only 53? Je, Lt.Gen.Ndomba atapewa mkataba kuendelea na kazi hata baada ya kufikia umri wa kustaafu in 2 yrs??