Ogah, Job K,
..Lt.Gen.Ndomba ana miaka 58.
..mtangulizi wake,Lt.Gen.Shimbo[rt], amestaafu akiwa na miaka 60.
..sasa hapa kuna maswali mengi naanza kujiuliza.
NB:
..Gen.Davis Mwamunyange anavunja rekodi ya kuwa Chief of Staff pekee aliyepanda cheo na kuwa Chief of Defence Forces.
..Gen.Tumainieli Kiwelu naye ndiye Generali pekee ambaye hakuwahi kushika nafasi ya Mkuu wa Majeshi. Alipandishwa cheo kuwa Jenerali baada ya kumaliza kipindi chake cha kuwa Mnadhimu Mkuu.
Asasi pekee nchini ambayo nahisi bado haijaingiliwa na uoza wa haya mawili ni jeshi, hasa katika ngazi za juu kama hii ya Unadhimu Mkuu wa Jeshi. Nasema hivi kwa sababu jeshi la ulinzi halishughuliki na [mambo ya ki] raia moja kwa moja tafauti na jeshi la polisi ambalo hupokea amri za wanansiasa.
Kuhusu udini jeshini ndio kabisa, hili halipo. Nahisi huwa ni sisi wenyewe tunaojenga mlima kutokana na kichuguu kwa tabia yetu ya Kitanzania ya kulalamikalalamika, kulialia ovyo na kukosa kila kitu, baada ya kuangalia mteuliwa anatoka dini gani. Imekuwa ni kawaida kwetu akiteuliwa Mkristo, Waislamu hulalamikia udini na akiteuliwa Muislamu Wakristo hulalamikia udini, kwa ubinafsi wetu wa kutaka tumuone mtu wetu akiongoza asasi hiyo, wakati masikini mteuliwa mwenyewe haendi kutoa misa kanisani wala hotba msikitini. Dini imekuwa ndio siasa zetu, na siaa zimekuwa ndio dini yetu.
Tuache hizo Watanzania, tujadili maendeleo!
Ninampongeza Jenerali S. A. Ndomba kwa kuteuliwa na ninamuombea ufanisi katika kazi yake.
Lets say they are being underutilised will that be okay with you?
Ukiangalia namba ya wanajeshi tulionayo na gharama tunazotumia kwenye jeshi unadhani ina justify ukilinganisha na umaskini huu? au ulifikiria kula nazungumziwa ugali tu?
Zaidi ya kwenda kwenye parade na kurudi home hebu nambie kazi nyingine kubwa zinazofanywa?
Aisee inaonekana lazima kwanza uongoze JKT. Wale JWTZ walokuwa na cheo kama cha huyo kabla hajapandishwa inakula kwao
Kuhusu kupandisha cheo mantiki yake ni kwamba kijeshi "The Leader is Always Right" mwenye cheo zaidi yako hakosei na hata akikosea tekeleza amri kwanza halafu malalamiko baadae.
Alifanya nini mpaka akatakiwa na "akakubali mwenyewe kuacha"?Nasisitiza Slaa hakuachishwa bali alikubali mwenyewe kuacha
"Inasemekana"? Hujui, huwezi kusema "hakuvuliwa," wakati unakiri kwamba hujui.Hakuvuliwa.Inasemekana aliamua yeye mwenyewe kuacha upadri na kuingia kwenye siasa
hehe mbona jeshini wamo wengi sana mkuu hujalijua hilo! ndio maana hakuna vita itakayopiganwa kati ya Tanzania na MalawiDiuh! Kumbe anatokea MALAWI ?
Simply beyond your comprehension.kwani wewe unaelewa nini mtu akikwambia kuwa Juma alikua CNS-Chief of national service amekua CDF ?au tatizo lako ni kusikia katokea JKT?
Mh Mizengo Pinda alilifafanua vyema kikao cha bunge kilichopita alipokuwa akijibu swali la mh Wenje. Unakumbuka kauli za Shimbo uchaguzi wa 2010?Huyu hakuwahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha kama siyo Mkuu wa Wilaya? Kazi za hivyo vyeo vya wakuu wa mkoa au wilaya si ziko kwenye katiba ya CCM?
@Raia Fulani Mkuu, hilo la siasa nimesema kwa hisia tukama nilivyoweka wazi tangu mwanzo kwenye bandiko langu. Ningefurahi, kwa faida yangu na wengine kama mimi kutukumbusha hiyo saga ya Shimbo hasa ikiwa tu saga hilo linahusu siasa.unasema kwa mapenzi, hisia, au uhakika? Inabidi ukumbushwe saga la shimbo na mambo ya suma jkt na pawa tila zao za kilimo kwanza
Basi tuwape wananchi sababu nyingi zaidi za kuwa proud na jeshi lao kwa kushirikisha hawa wanajeshi kwenye miradi ya maendeleo kama ujenzi wa miundombinu, kilimo cha kisasa nk sio kusubiri hadi maafa yatokee ndio waende kuokoa jahazi.
Chief of staff mpya is not the right choice and in the matter of fact it is a snub to carrier commanders....within five years ....Ndomba amepanda cheo toka Mkuu wa Mkoa....,Kanali,brigedia jenerali ,(chief of personel), CN - chief of national service ,Maj general ..this year and yesterday Luteni Jenerali....
Ndomba is just a political commiser...Kama JK...bora Shimbo ni carrier.....,kozi stahiki za makamanda wa juu wa TPDF...Iitwayo ....NDC.....alipelekwa karibuni tu....wakati kuna wenzake wamefanyaa hiyo kozi toka wakiwa makanali....,wamepiganisha operesheni ..etc.....vitu ambavyo Ndomba hajafanya....... It's a blow kuweka wanasiasa kwenye kazi proffessional just kwa kuwa ni washkaji.......kuna makamanda KAma Wescesilous Kisampa,,hamad Kijuu,..Na Rioba...ambaye amepelekwa PMO kuratibu maafaa kwa kuwa in military seniority Ndomba asingeweza kuvaa...u Luteni general akawaruka yeye na Kisampa ....ambaye alipelekwa Dafur kupiganisha..majeshi ya Africa .........Ndomba hajaanza kufanya operesheni hata moja ya kijeshi Kama kamanda Mkuu ...so simply ni mwanasiasa na ni mweupe.
Ndugu maguguniga vyeo ndani ya jeshi hasa vya Mnadhimu mkuu na mkuu wa jeshi la ulinzi ni kinashikwa na mtu mmoja aliye madarakani kwa wakati huo ndio mana hatuwezi kuwa na Ma-luteni Jenerali wawili ndani ya jeshi ama Mkuu wa jeshi (CDF) hivyo lazima mmoja astaafu ndio uteuzi hutolewa na kuchaguliwa mwenye cheo kinachokaribia Uluteni generali ambao huwa Meja-jenerali ama Brigedia generali kushika wadhifa tajwa hapo juu kama ilivyotokea kwa Meja -jenerali ndomba na kuwa Luteni jenerali.Kwani kupewa hvyo vyeo mpaka wapandishwe kuwa sijui ma luten, na kama ni hivyo kwani hakuna waliofikia huo u luten wapewe hizo nyazifa? naomba kujuzwa bandugu