Definitely ...Hakuna kamanda anayeweza kufurahia uteuzi wa LT.COL[lt gen] Ndomba.....ukweli ni kuwa Tanzania haijawahi kutokea mwanajeshi akapanda toka luteni kanali hadi Luteni Jenerali ndani ya miaka 8...hili linashangaza ..kwa kweli!!
SIO KUWA WATU HAWAMPENDI YEYE BINAFSI AU WANAHOJI UWEZO WAKE ILA UTARATIBU UMEVUNJWA KWA KIASI KIKUBWA KUMPANDISHA MTU MMOJA CHEO HARAKA HARAKA ...AS IF MAKAMANDA WALIOPO HAWAAMINIKI....WAKATI JESHI LETU NI PROFFESSIONAL NA HALIJAWAHI KUFANYA JARIBIO LOLOTE BAYA......NI JESHI LA WANANCHI.............
ILI NDOMBA AVAE LUTENI GENERALI ...IMEBIDI MA MEJA JENERALI WALIOKUWA KWENYE SENIORITY WAHAMISHWE JESHINI....KWA KUWA JESHINI NI MAHALI AMBAPO HUWEZI KUMRUKA KAMANDA NA YEYE AKABAKIA ...EITHER UTASUBIRI ASTAAFU AU UMPANGIE KAZI SEHEMU NYINGINE ..THIS IS WHAT EXACT HAPPENED KWA KESI YA NDOMBA ......KUNA MMOJA AMEPELEKWA AFRICAN UNION,NA MWINGINE OFISI YA WAZIRI MKUU .....MAANA NDOMBA ASINGEWEZA KUPANDA CHEO KABLA YA HAO ....
JESHI NDIO SEHEMU PEKEE AMBAYO DESCIPLINE INAZINGATIWA UNLIKE POLICE AMBAPO MARA NYINGI TUMEONA MA RPC WAKIPATA U IGP NI KUWARUKA MAKAMISHNA WA POLICE...BILA KULETA MALALAMIKO...[IE iGP MWEMA Aliondoka nchini akiwa RPC Mbeya kwa kashfa ya mahabusu kufa kwa msongamano....mkapa akamuondoa ....,baadaye akamtafutia kazi Interpol ..hakupanda cheo....hadi alipokuja kuteuliwa kuwa IGP akawaruka makamanda wengi tu waliokuwa juu yake.....Ili Mwema awe Igp Kikwete ilibidi amuhamishie Kamishna Tibasana wizara ya katiba[tibasana alikuwa senior sana kwa Mwema...asingeweza kumsaluti] ...Kamishna Mwansasu Akastaafu,na kamishna Adadi Rajabu akapelekwa ubalozini.....kuna makamishna waliobakia kama Peter,Magoha na mohamed ....walikuwa senior sana kwa Mwema ....lakini macho yakafungwa kwa kuwa nao walikuwa wamebakiza muda kidogo sana kustaafu..
Taratibu za kurusha watu onyo bila kufuata protocol husika ,Kikwete pia amezivuruga Idara ya mahakama ...ambapo mfano huwezi kutoa Jaji 20 na kumpa ujaji kiongozi na kuwaacha walioko juu yake....at least jaji jiongozi anaweza kuwa yeyote kati ya J1 hadi J10....imezoeleka hivyo....na kwa namna namba inavyopungua ndio jaji anakaribia kuingia JR ....AU jAJI WA RUFAA.....Na jaji mkuu hawezi toka kwenye J lazima awe kati ya majaji wa rufaa ...kuna JR 1 HADI JR 8 ZAMANI WALIISHIA JR6........Jaji mkuu wa sasa alirushwa haraka toka J kwenda JR na baadaye akapewa u JM......