Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,988
Uteuzi wa Ndomba ni katika muendelezo wa kulitumia jeshi kisiasa kwa kuwateua makada wa ccm kuliongoza jeshi.
Luteni Jenerali Ndomba amewahi kuwa Mkuu wa Mkoa na kwa nafasi hiyo ya mkuu wa mkoa alikuwa mjumbe wa kamati ya siasa ya ccm. Na ili mtu awe mjumbe wa kamati hiyo ya ccm inamaanisha kwamba ni mwanaccm.
Kwa uteuzi huu bado sitarajii kuona JWTZ ikijitenga na siasa chafu dhidi ya wapinzani.
Luteni Jenerali Ndomba amewahi kuwa Mkuu wa Mkoa na kwa nafasi hiyo ya mkuu wa mkoa alikuwa mjumbe wa kamati ya siasa ya ccm. Na ili mtu awe mjumbe wa kamati hiyo ya ccm inamaanisha kwamba ni mwanaccm.
Kwa uteuzi huu bado sitarajii kuona JWTZ ikijitenga na siasa chafu dhidi ya wapinzani.