Gen. Ndomba amrithi Shimbo

Gen. Ndomba amrithi Shimbo

Status
Not open for further replies.
Tatizo lililokuwa limelikumba jeshi letu la ulinzi ni madai ya uingizaji wa siasa jeshini, na chembe za udini kushamiri ndani ya jeshi.

Simujui kwa undani Jenerali Ndomba, lakini kwakifupi inatajwa kuwa huyo ni moja ya masalia imara ya vijana wa Mwalimu Nyerere walioamini katika UZALENDO.

Nimtu mashuhuri mwenye uso wa kijana akijitunuku tabasamu la nidhamu ya kijeshi, wadadisi ndani ya SIASA za kijeshi wanamtaja kuwa ndie mrithi stahiki wa Mkuu wa Majeshi Aden Mwamunyange.

Anatajwa kuwa ni kijana na tokezo la akina Jen Waitara, Jen Mboma na Jen Mwamunyange.

Naamini katika safari hii iliyo ndefu na inayokaribia ukingoni yakulikomboa Taifa letu, General Ndomba asiwe kikwazo wa mageuzi haya ya kiraia yenye kuongozwa na alama za nyakati ambazo kihistoria na kimaandiko hazijawahi kupingwa kwa mtutu wala kombora.

....hivi kuna kamanda aliyewahikuwa Mnadhimu Mkuu halafu akapanda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi?.....Mkuu Phillemon Mikael hebu tupe midataz............
 
Last edited by a moderator:
Sasa Shimbo amepata fursa ya kuanza kutumia zile trilion? subiri kidogo utasikia yupo kwenye medani za siasa akiwania ubunge au kateuliwa mkuu wa mkoa kama asante kwa "kazi nzuri"
 
8E9U5294.jpg


Asimilia 50 kama sio 90 ya muda wa huyu mtu wetu ni kuteua na kuapisha! Katiba iangalie suala la matumizi yenye tija ya muda wa Rais, hawa waende wakaapishwe na mahakimu wa wilaya na mikoa huko, kama ni lazima saaana aape mbele ya mtu, au atumwe huyo Sefue awe anazunguka kuwatembelea wateule, anapowaba barua ya uteuzi mtu akikubali cheo hapo hapo anawasainisha makaratasi, mchezo kwisha. Ushawahi kuona Rais Obama, kwa mfano, anaapisha mtu? ...hana muda huo.


Tungepata biograph yake gefaa zaidi. Maana maelezo yaliyotolewa ni shallow.
Ni kweli, maelezo ya Kurugenzi ya Habari, Ikulu, siku zote ni shallow, japo ningependelea zaidi resume kuliko biography unayosema. Maelezo yao ni shallow for a reason, hawana cha kusema! Huyo mtu hawawezi kukupa historia ndefu wala fupi ya chochote alichofanikisha huko JKT mpaka akapewa cheo kingine, na kama kipo kizuri sio hicho kilichofanya akapewa cheo, kwa saabu kwanza hawakijui, pili hawakijali, mfumo wetu hauzawadii performance and competence, hizi ni random appointments tu...

Na ni wajanja sana, tangazo linatoka leo wanakwambia uteuzi umeanza juzi! Unaishiwa na nguvu ya kuhojihoji chochote...too late! Well, yana mwisho, during the next Katiba tunataka kuambiwa Rais amemteua fulani bin fulani kuwa mkuu wa jeshi fulani na uteuzi utaanza pale Kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama itakapompitisha, kama itampitisha! Meanwhile wananchi waendelee kulisaidia Bunge kwa kumchambua na kumchimba kazaliwa nchi gani, kasoma wapi, kafanikiwa kwenye kazi gani, kaiba wapi na kazaa na nani na nani!

Sijui kwa nini Watanzania hatuulizi background ya mtu, asilimia 60 ya watanzania walimchagua mtu kuwa Rais ambae hatujui ana watoto wangapi, asilimia 40 nyingine tukampigia kura mtu ambae hatujui kwa nini alivuliwa upadri!
 
ndo hivo!mnadhimu mkuu kwa ukubwa wa jeshi letu lazima awe luteni kanali na ni mmoja tu nchi nzima,kwa hiyo lazima apandishwe na niyeye pekee mwenye cheo hicho!Nampongeza sana!

Soma vizuri katikati ya mistari mkuu! Amepandishwa kuwa Luteni Jenerali siyo Lt. Kanali! Hivi huu uteuzi hauwezi kutolewa kwa vijana? Mbona Lt. Gen Ndomba naye anastaafu kesho kutwa tu??!!
 
Hongera zake, nategemea naye atafuata nyayo za shimbo. Asipojenga maghorofa ma5 dsm ni ujinga!
 
Ogah, Job K,

..Lt.Gen.Ndomba ana miaka 58.

..mtangulizi wake,Lt.Gen.Shimbo[rt], amestaafu akiwa na miaka 60.

..sasa hapa kuna maswali mengi naanza kujiuliza.

NB:

..Gen.Davis Mwamunyange anavunja rekodi ya kuwa Chief of Staff pekee aliyepanda cheo na kuwa Chief of Defence Forces.

..Gen.Tumainieli Kiwelu naye ndiye Generali pekee ambaye hakuwahi kushika nafasi ya Mkuu wa Majeshi. Alipandishwa cheo kuwa Jenerali baada ya kumaliza kipindi chake cha kuwa Mnadhimu Mkuu.
 
Last edited by a moderator:
ndo hivo!mnadhimu mkuu kwa ukubwa wa jeshi letu lazima awe luteni kanali na ni mmoja tu nchi nzima,kwa hiyo lazima apandishwe na niyeye pekee mwenye cheo hicho!Nampongeza sana!
Hapo penye red ni LUTENI JENERALI na si LUTENI KANALI.
 
Hayahayahayaaaaaa Ndomba kazi ni kwako na wewe jizoleee mitriliioni.
 
Simujui kwa undani Jenerali Ndomba, lakini kwakifupi inatajwa kuwa huyo ni moja ya masalia imara ya vijana wa Mwalimu Nyerere walioamini katika UZALENDO.
Ndugu yangu, mazingira ya sasa yanalazimisha wote waliovaa uzalendo wajivue, sina uhakika kama Jenerali Ndomba ataendelea kuuvaa. Time will tell!!
 
Taso

Ni kweli, manake kwa hali jinsi ilivyo kuna uwezekano mkubwa tunaongozwa na ma-foreigner sasa..
Ni wangapi wamekuwa wakisemwa wana uraia wa nchi mbili na bado wanatuongoza?
Je uongozi wao utajali kweli maslahi ya Mtanzania wakati they have nothing to loose?
Shame........
 
Last edited by a moderator:
Katika nchi unayofuata mujibu wa sheria huhitaji kuunga unga watu ili kuwapa cheo, systems zipo pale jeshini wapo majenerali kibao wangeweza tu kuvaa hicho chao maana jeshi lilishawatayarisha tangu wakati wa utawala wa marais wengine.

Lakini shida ya huyu jemedari uchwara ni ubovu wa uongozi wake na upendeleo uliomjaa na kumtia upofu, mpaka leo miaka saba hajui dhana na cheo ni dhamana, yeye anateua vibaraka, na kuendelea kulichafua jeshi letu, ha Shimbo yamemfikisha wapi? Kaleta Mwizi mkubwa wa fedha za vijana wetu na mali ya umma eti leo amestaafu kesho utasikia kituko kipya.

Lakini watanzania ngoja tuwatoe wasiwasi, hawa wote dawa yao iko tayari tunasubiri muda tu, wao na huyo mkuu wao mahala pao panajulikana, tutayaona nchi hii ndio waliokuwa wanamuona mjanja watakapotafuta mmbuyu
 
Disgusting. CDF, from JKT. Chief of staff, from JKT. Hawa kweli ni wapiganaji?
 
Tatizo lililokuwa limelikumba jeshi letu la ulinzi ni madai ya uingizaji wa siasa jeshini, na chembe za udini kushamiri ndani ya jeshi.

Simujui kwa undani Jenerali Ndomba, lakini kwakifupi inatajwa kuwa huyo ni moja ya masalia imara ya vijana wa Mwalimu Nyerere walioamini katika UZALENDO.

Nimtu mashuhuri mwenye uso wa kijana akijitunuku tabasamu la nidhamu ya kijeshi, wadadisi ndani ya SIASA za kijeshi wanamtaja kuwa ndie mrithi stahiki wa Mkuu wa Majeshi Aden Mwamunyange.

Anatajwa kuwa ni kijana na tokezo la akina Jen Waitara, Jen Mboma na Jen Mwamunyange.

Naamini katika safari hii iliyo ndefu na inayokaribia ukingoni yakulikomboa Taifa letu, General Ndomba asiwe kikwazo wa mageuzi haya ya kiraia yenye kuongozwa na alama za nyakati ambazo kihistoria na kimaandiko hazijawahi kupingwa kwa mtutu wala kombora.
mkuu wa majeshi ni davis mwamunyange,aden ni ndugu yake alikuwa jeshi la polisi sasa kastaafu.
 
Rais amempandisha cheo Sawel Ndomba kutoka Meja Jenerali na kuwa Luteni Jenerali na kumteua kuwa Chief of Staff. Huyu Ndomba miaka pungufu ya kumi iliyopita alikuwa ana cheo cha Luteni Kanali na alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Ngara. Baadae akapandishwa na kuwa Kanali na kupelekwa Arusha kuwa Mkuu wa Mkoa. Alitoka Arusha akaletwa jeshini ambako alikuwa mkuu wa utumishi baada ya kupandishwa kuwa Brigadier General. Mara baada ya muda mfupi akapandishwa akawa Meja Jenerali na Mkuu wa JKT. Na sasa ni Mnadhimu Mkuu wa Jeshi. Labda Mwamnyange akistaafu atapandishwa na kuwa full general na CDF.
This is dramatic rise through army ranks. Huyu Ndomba kweli alihudhuria kozi zote za jeshi?
Mfano Luteni Kanali anakuwa amehudhuria kozi ya Commander's Course. Lakini baada ya hapo lazima uende War College... Je alienda?
 
8E9U5294.jpg


Asimilia 50 kama sio 90 ya muda wa huyu mtu wetu ni kuteua na kuapisha! Katiba iangalie suala la matumizi yenye tija ya muda wa Rais, hawa waende wakaapishwe na mahakimu wa wilaya na mikoa huko, kama ni lazima saaana aape mbele ya mtu, au atumwe huyo Sefue awe anazunguka kuwatembelea wateule, anapowaba barua ya uteuzi mtu akikubali cheo hapo hapo anawasainisha makaratasi, mchezo kwisha. Ushawahi kuona Rais Obama, kwa mfano, anaapisha mtu? ...hana muda huo.


Ni kweli, maelezo ya Kurugenzi ya Habari, Ikulu, siku zote ni shallow, japo ningependelea zaidi resume kuliko biography unayosema. Maelezo yao ni shallow for a reason, hawana cha kusema! Huyo mtu hawawezi kukupa historia ndefu wala fupi ya chochote alichofanikisha huko JKT mpaka akapewa cheo kingine, na kama kipo kizuri sio hicho kilichofanya akapewa cheo, kwa saabu kwanza hawakijui, pili hawakijali, mfumo wetu hauzawadii performance and competence, hizi ni random appointments tu...

Na ni wajanja sana, tangazo linatoka leo wanakwambia uteuzi umeanza juzi! Unaishiwa na nguvu ya kuhojihoji chochote...too late! Well, yana mwisho, during the next Katiba tunataka kuambiwa Rais amemteua fulani bin fulani kuwa mkuu wa jeshi fulani na uteuzi utaanza pale Kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama itakapompitisha, kama itampitisha! Meanwhile wananchi waendelee kulisaidia Bunge kwa kumchambua na kumchimba kazaliwa nchi gani, kasoma wapi, kafanikiwa kwenye kazi gani, kaiba wapi na kazaa na nani na nani!

Sijui kwa nini Watanzania hatuulizi background ya mtu, asilimia 60 ya watanzania walimchagua mtu kuwa Rais ambae hatujui ana watoto wangapi, asilimia 40 nyingine tukampigia kura mtu ambae hatujui kwa nini alivuliwa upadri!

Hapo kwenye blue ndipo mnapochemka wengi humu JF.Kwanini hamtaki kusoma makabrasha mbalimbali yanayohusu vyeo vya watu?Nani kakuambia kuwa upadre ukishapata huwezi kuacha?Someni jamani ili muwe mnatoa hoja.Slaa hakuachishwa.Tuulizeni tuliokaa makanisani hasa RC.Papa anaweza kukubali kuacha kwako upadre au akakuachisha.Vyote viwili vinawezakana ndani ya kanisa.Nasisitiza Slaa hakuachishwa bali alikubali mwenyewe kuacha.Mifano ipo mingi sana ila kwa sababu wengi wenu hamfuatilii basi mnaandika tu.Fr Alquin Chinguku mmoja wa mapadre waliopata kuwa wasomi wazuri na ambao kanisa lilimpoteza aliacha upadre.Na leo hii ni mwalimu mzuri sana huko Marekani akipiga lecture zake.A highly educated priest by then. Someni sheria za kanisa mtaelewa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom