Geita: Baraza la Madiwani laukataa Mkoa mpya wa Chato

Kuna fedha nyingi ziliwekezwa CHATO !!Waipe CHATO mkoa ili kufidia uwekezaji uliofanyika!hata kama Mwendazake ana mapungufu nae ni Binadamu Mkoa utawafaidisha wana CHATO na wilaya Mpya TUACHE CHUKI NA HASIRA!MBONA KARIBIA MA PM WOTE WASTAAFU WANA MIKOA?HATA MAJALIWA ATAPEWA MKOA TU!!KWA HILI NASIMAMA NA NDUGU ZANGU WANYAMBO NA THE LIKE!!!
 
Kuna fedha nyingi ziliwekezwa CHATO !!Waipe CHATO mkoa ili kufidia uwekezaji uliofanyika!hata kama Mwendazake ana mapungufu nae ni Binadamu Mkoa utawafaidisha wana CHATO na wilaya Mpya TUACHE CHUKI NA HASIRA!MBONA KARIBIA MA PM WOTE WASTAAFU WANA MIKOA?HATA MAJALIWA ATAPEWA MKOA TU!!KWA HILI NASIMAMA NA NDUGU ZANGU WANYAMBO NA THE LIKE!!!
Wewe ni Raisi anayejaa kwenye nini?
 
Wewe u muongo umeandika maoni binafsi ya watu. Walikuwa wanatoa maoni hayo kwa kuwa watu wa Geita waliona kuwa Wilaya ya Busanda yenye madini ingeenda mkoa mpya wa Chato.

Makubaliano ya mwisho ni kuwa Wilaya ya Busanda inabaki mkoa wa Geita na kisiwa cha Rubondo kinabaki Chato

Mkoa wa Geita utakuwa na wilaya nne ambazo ni Geita, Nyang'wale, Mbogwe na Busanda

Mkoa wa Chato utakuwa na wilaya tano ambazo ni Chato, Bukombe, Kakonko, Biharamulo na Ngara
Mimi ninachofurahi ni wilaya za biharamulo na ngara kutolewa kagera zilikuwa mbali mno na bukoba just imagine kutoka bukoba Hadi ngara ni km 400 na kutoka bukoba Hadi biharamulo almost 300km ndani ya mkoa wa kagera.


Pia hizo wilaya mbili zipo tofauti Sana na wilaya za mkoa wa kagera hasa kimaendeleo.

Hebu zitengenezewe mkoa wake ili ziangaliwe vzr zaid
 
Kwani hilo pendekezo la kuifanya mkoa alilitoa mwendazake au ndo huo mwendelezo wa kutoona mazuri take,mbona Siku ile Dodoma alikataa wazi wazi kujengwa jengo LA takukuru kule na kuwachana mbashara waache kujipendekeza.

Mi naona jamaa analaumiwa bule lakini maamuzi mengine alikua hahusiki nayo
 
Mimi ninachofurahi ni wilaya za biharamulo na ngara kutolewa kagera zilikuwa mbali mno na bukoba just imagine kutoka bukoba Hadi ngara ni km 400 na kutoka bukoba Hadi biharamulo almost 300km ndani ya mkoa wa kagera.


Pia hizo wilaya mbili zipo tofauti Sana na wilaya za mkoa wa kagera hasa kimaendeleo.

Hebu zitengenezewe mkoa wake ili ziangaliwe vzr zaid
Uko sahihi ndugu yangu
 
Back
Top Bottom