Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,221
- 2,801
Hujawahi kuipenda tz..Hahaha, hii habari itawakeep busy mitandaoni Bavicha week hii yote kulaumu na kutukana, watamsahau kabisa Mwamba! Siku wanazinduka wanasikia Mwamba kala 10 years!!
Hujawahi kuipenda tz..Hahaha, hii habari itawakeep busy mitandaoni Bavicha week hii yote kulaumu na kutukana, watamsahau kabisa Mwamba! Siku wanazinduka wanasikia Mwamba kala 10 years!!
Kuipenda TZ haina maana kutetea upuuzi wa upinzani uchwara!! Wapinzani gani hawa wanapiganiwa na watu baada ya muda wanaunga juhudi kisa kuhakikishiwa kurudi bungeni na hela!! TZ hamna upinzani makini bado, na bado sana kuupataHujawahi kuipenda tz..
Je Hamza hakuwa mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Ilala? Hamza hakuwa mwanachama wa CCM?Mnataka katiba mpya ili ichekelee upuuzi kama huo wa hilo gazeti? Hivyo vichwa vyao vya habari unaona vipo sahihi? Kwa nia yenu hii ovu ya kutaka katiba mpya basi hamtokuja ipata, nchi lazima iwe na nidhamu na njia zake za kujiendesha! Huo upuuzi wenu tafuteni nchi nyingine mkaufanye! Mother endelea kuchapa hawa wajasiriasiasa waliopoteana kwa sasa
je ana mamlaka kisheria?View attachment 1925131
Msemaji wa Serikalini Gerson Msigwa, amelifungia Gazeti la Raia Mwema kwa siku 30
View attachment 1925070View attachment 1925071
Hee alikuwa mjumbe?Je Hamza hakuwa mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Ilala? Hamza hakuwa mwanachama wa CCM?
Tunakoelekea hata JF wataidhibiti.JF ikiwepo naamini kila habari naipata kwa uzuri bila uzwazwa wowote.
Wewe ni bwege!Mnataka katiba mpya ili ichekelee upuuzi kama huo wa hilo gazeti? Hivyo vichwa vyao vya habari unaona vipo sahihi? Kwa nia yenu hii ovu ya kutaka katiba mpya basi hamtokuja ipata, nchi lazima iwe na nidhamu na njia zake za kujiendesha! Huo upuuzi wenu tafuteni nchi nyingine mkaufanye! Mother endelea kuchapa hawa wajasiriasiasa waliopoteana kwa sasa
😅😅😅magaidi wamecharuka.View attachment 1925131
Msemaji wa Serikalini Gerson Msigwa, amelifungia Gazeti la Raia Mwema kwa siku 30
View attachment 1925070View attachment 1925071
Magaidi wamecharuka kuambiwa ni magaidi🤣🤣🤣Mnataka katiba mpya ili ichekelee upuuzi kama huo wa hilo gazeti? Hivyo vichwa vyao vya habari unaona vipo sahihi? Kwa nia yenu hii ovu ya kutaka katiba mpya basi hamtokuja ipata, nchi lazima iwe na nidhamu na njia zake za kujiendesha! Huo upuuzi wenu tafuteni nchi nyingine mkaufanye! Mother endelea kuchapa hawa wajasiriasiasa waliopoteana kwa sasa