Gazeti la Raia Mwema lafungiwa kwa siku 30

Hujawahi kuipenda tz..
Kuipenda TZ haina maana kutetea upuuzi wa upinzani uchwara!! Wapinzani gani hawa wanapiganiwa na watu baada ya muda wanaunga juhudi kisa kuhakikishiwa kurudi bungeni na hela!! TZ hamna upinzani makini bado, na bado sana kuupata
 
Mnataka katiba mpya ili ichekelee upuuzi kama huo wa hilo gazeti? Hivyo vichwa vyao vya habari unaona vipo sahihi? Kwa nia yenu hii ovu ya kutaka katiba mpya basi hamtokuja ipata, nchi lazima iwe na nidhamu na njia zake za kujiendesha! Huo upuuzi wenu tafuteni nchi nyingine mkaufanye! Mother endelea kuchapa hawa wajasiriasiasa waliopoteana kwa sasa
Je Hamza hakuwa mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Ilala? Hamza hakuwa mwanachama wa CCM?
 
Mnataka katiba mpya ili ichekelee upuuzi kama huo wa hilo gazeti? Hivyo vichwa vyao vya habari unaona vipo sahihi? Kwa nia yenu hii ovu ya kutaka katiba mpya basi hamtokuja ipata, nchi lazima iwe na nidhamu na njia zake za kujiendesha! Huo upuuzi wenu tafuteni nchi nyingine mkaufanye! Mother endelea kuchapa hawa wajasiriasiasa waliopoteana kwa sasa
Wewe ni bwege!
 
Mnataka katiba mpya ili ichekelee upuuzi kama huo wa hilo gazeti? Hivyo vichwa vyao vya habari unaona vipo sahihi? Kwa nia yenu hii ovu ya kutaka katiba mpya basi hamtokuja ipata, nchi lazima iwe na nidhamu na njia zake za kujiendesha! Huo upuuzi wenu tafuteni nchi nyingine mkaufanye! Mother endelea kuchapa hawa wajasiriasiasa waliopoteana kwa sasa
Magaidi wamecharuka kuambiwa ni magaidi🤣🤣🤣
 
Mmenikumbusaha namna ya kuandika Tangazo la biashashara nisome mimi nisome mimi, ninunue ninunue ' read me read me and buy me buy me'
 
Back
Top Bottom