Waziri anayemiliki jumba la kifahari ufukweni Dubai atajwa

pilipili kichaa

JF-Expert Member
Sep 3, 2013
17,660
13,719
Leo katika Gazeti la Raia Mwema kuna taarifa za Waziri anaemiliki Jumba Ufukweli mwa Dubai tena akiwa amelinunua CASH kwa mabilioni ya shilingi.

Cha ajabu mpaka sasa vyombo vyetu husika havijafanya uchunguzi wowote kwa kumhoji ili ijulikane fedha hizi alikwiba wapi na hatua stahiliki. Hii inaonyesha wizi ni kama umehalalishwa ktk kipindi hiki.

Raia mwema.png
 
Leo katika Gazeti la Raia Mwema kuna taarifa za Waziri anaemiliki Jumba Ufukweli mwa Dubai tena akiwa amelinunua CASH kwa mabilioni ya shilingi.
Cha ajabu mpaka sasa vyombo vyetu husika havijafanya uchunguzi wowote kwa kumhoji ili ijulikane fedha hizi alikwiba wapi na hatua stahiliki. Hii inaonyesha wizi ni kama umehalalishwa ktk kipindi hiki.

Nani au taasisi ipi labda unapendekeza imchunguze huyo waziri?

Fikiria ripoti za CAG zinazowekwa wazi, madudu yake huwa hayachunguzwi kivile, sasa nani atamchunguza mtu aliyefanya usiri kumiliki mjengo UAE...
 
Leo katika Gazeti la Raia Mwema kuna taarifa za Waziri anaemiliki Jumba Ufukweli mwa Dubai tena akiwa amelinunua CASH kwa mabilioni ya shilingi.

Cha ajabu mpaka sasa vyombo vyetu husika havijafanya uchunguzi wowote kwa kumhoji ili ijulikane fedha hizi alikwiba wapi na hatua stahiliki. Hii inaonyesha wizi ni kama umehalalishwa ktk kipindi hiki.

View attachment 2881294
Tuache mtima Nyong'o, Waziri gani, sio, mwizi ndsni ya CCM? Au, kada gani hajafaidika na wizi, serikalini? Hata warioba, vijukuu vyake vipo seriaklini, au kwenye nyadhifa nyeti kutokana na matumizi mabaya ya madaraka!
Wanatofsutiana kiwango cha wizi tu,
Sasa mtu anakuwa mbunge/waziri kwa miaka 20+, unashindwaje kuwa na bilioni 300+? Lets be serious jamani, mbunge wa njombe, Yule aliyekuwa Raisi wa barick alikuwa analipwa 100M kwa mwezi! Sasa deals ngapi alifanya na maofisa wa wizara za madini?
Kama wafanyakazi wa kawaida tu TRA, wanamiriki vigorofa hapa mjini, sembuse boss wao waziri!
 
Haya magazeti na Kigwa wote lao moja, Kigwa anafanya hivyo kwa lengo la kutafuta teuzi, wakati hayo magazeti yanafanya hivyo ili yapate wateja.

Kama jina la waziri mnalo, nyumba anayomiliki ni yake, na ushahidi mnao, kipi kinachowatisha kumtaja huyo waziri?

Wajanja wanatuchezea kiakili ili kuyafikia malengo yao, huku wanajiita whistleblowers!.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Leo katika Gazeti la Raia Mwema kuna taarifa za Waziri anaemiliki Jumba Ufukweli mwa Dubai tena akiwa amelinunua CASH kwa mabilioni ya shilingi.

Cha ajabu mpaka sasa vyombo vyetu husika havijafanya uchunguzi wowote kwa kumhoji ili ijulikane fedha hizi alikwiba wapi na hatua stahiliki. Hii inaonyesha wizi ni kama umehalalishwa ktk kipindi hiki.

View attachment 2881294
Siyo kwamba huo ndiyo urefu wa kamba yake?
 
Leo katika Gazeti la Raia Mwema kuna taarifa za Waziri anaemiliki Jumba Ufukweli mwa Dubai tena akiwa amelinunua CASH kwa mabilioni ya shilingi.

Cha ajabu mpaka sasa vyombo vyetu husika havijafanya uchunguzi wowote kwa kumhoji ili ijulikane fedha hizi alikwiba wapi na hatua stahiliki. Hii inaonyesha wizi ni kama umehalalishwa ktk kipindi hiki.

View attachment 2881294
Samia waliwasamehe wote walio tajwa kwenye report ya CAG
 
Leo katika Gazeti la Raia Mwema kuna taarifa za Waziri anaemiliki Jumba Ufukweli mwa Dubai tena akiwa amelinunua CASH kwa mabilioni ya shilingi.

Cha ajabu mpaka sasa vyombo vyetu husika havijafanya uchunguzi wowote kwa kumhoji ili ijulikane fedha hizi alikwiba wapi na hatua stahiliki. Hii inaonyesha wizi ni kama umehalalishwa ktk kipindi hiki.

View attachment 2881294
Serikali ya Samia kila mtu ni mwizi kuanzia juu mpaka chini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom