kizito2009
Senior Member
- Jan 6, 2010
- 172
- 223
Zamani Rostam alishauza kwa Aghakan mbonaMwananchi kinamilikiwa na rostam
Sent from Tapatalk
Haka kamsemo nilikakuta kibaha katika grocery moja jiran na mnada wa nyama chomaHAINISTUI
Ninachojua hapo awali nilifahamu wamiliki ni wakenya sasa sijui kama wali take over wengineHivi gazeti la Mwananchi linamilikiwa na nani?
Hittin Blunts and Bustin Nuts
hivi ni gazeti gani linamilikiwa na serikali?Ninachojua hapo awali nilifahamu wamiliki ni wakenya sasa sijui kama wali take over wengine
Uhuru wa habari haumanishi uhuru wa kupotosha. Upo hapo? Huweziandika na kuchapisha chochote tu bila kujali ukweli au uongo wake kwakua eti kuna uhuru wa habari.uhuru wa habari uko wapi?mwananchi nimoja ya magazeti bora hapa kwetu tanzania inasikitisha sana
Yasingekua, yangeshachukuliwa hatua.Hata mtu binafsi anawezachukua hatua km amechafuliwa.
Zisizotakiwa ni habari za uongo na upotoshaji.Wangezitaja hizo habari ingesaidia kuelimisha wengine aina za habari ambazo hazitakiwi.
Amandla...
Kwani Musiba ni gazeti au ni mtu?Pamoja na kuwafuta kazi wafanyakazi wao wawili bado wamefungiwa? Duh kweli Shetani hana rafiki. Musiba vipi amefungiwa au bado?
Nimeuliza Musiba sijauliza gazeti
Wakate rufaa basiInapokuwa rahisi kufungia gazeti kwa kuandika habari basi ujue tatizo sio gazeti bali ni waliolifungia.Serikali ina mambo inaficha
Nani kasema limefungiwa kirahisi wakati sheria imefatwa kulifungia?Sio kila kitu ni ufipa na ufupa.Tazama msingi wa hoja yangu.Kufungia chombo cha habari haipaswi kuwa rahisi hivyo.Kuna mambo hata viongozi wa serikali watakosa kuyafahamu kwa sababu ya vyombo vya habari kuwa na hofu ya kufungiwa.
Hata ikiwa hivyo media bado media haiko juu ya sheriaMkuu hili si suala linalohusu mabeberu wala nini.Itazame hoja yangu beyond hizo sentiments.Media ndo namna pekee ya umma kupaza sauti.Serikali inayofanya kufungia media kuwa jambo rahisi inakuwa inajinyima yenyewe haki na uwezo wa kuwatumikia wananchi kikamilifu.
Musiba siyo gazeti na hapa mada ni kuchukua hatua dhidi ya gazeti kosefuNimeuliza Musiba sijauliza gazeti
Ndio maana wanapaswa kuuweka wazi huo uongo na upotoshaji ili wote tuujue maana kwa mmoja ni uongo lakini kwa mwengine ni ukweli.
posta Mwananchi wote wapo chini ya TCRA.Hli ni jambo ambalo limefanya nikose majibu kabsa ni kutokana na Gazeti la MWANANCHI Kupgwa faini hvyo nkahisi kuwa TCRA kama wameingilia jukumu la Posta
Sent using Jamii Forums mobile app