Gavana Prof. Ndulu: Benki wapo sahihi

Gavana Prof. Ndulu: Benki wapo sahihi

Huyo prof naye hajui. TRA wamesema mabenki yalikuwa yakusanya bila kulipa. Sio new makato. Mwee

TRA wamechanganyikiwa. kwanza sio kwamba walikuwa wanakusanya, ni kwamba VAT ilisamehewa kwenye huduma za benki. na aliyesamehewa kodi sio benki, ni mteja wa benki. sasa imewekwa, mteja inabidi alipe.
 
Tulilia maridhiano kati ya wabunge wa ukawa na NS ya taifa...watu wakasema NS aendelee kuwanyoodha...naamini Kabisa ukawa wangekuwepo bungeni hii kitu ingeangaliwa kwa jicho la tatu Na huu mkanganyiko usingekuwepo...kila kitu kingewekwa sawa huko huko bungeni...ninachoshangaa zaidi ni pale commissioner Mkuu TRA mishipa ya shingo inamtoka akiongea kitu ambacho anajua kabisa sio sahihi...ila Jana nilipomuona akiongelea hili jambo nilihisi kitu kwani kichwa Na mdomo vilikiwa havina ushirikiano...Sijui aliambiwa tu nenda ukaseme hivi..
Kidata ni muoga sana na hana confidence. angalia mara nyingi anapokua mbele ya camera huwa anatetemeka sana utafikiri kashikiwa mtutu wa bunduki!
 
nimejiuliza sana...tena nimejiuliza kweli ...na nikajiuliza sana......na kwa masikitiko makubwa nikajiuliza.....hivi ina maana waziri mpango hajui jambo rahisi kama hili kuhusu VAT?
uzuri wa JPM,akigundua waziri/kiongozi haendani na kasi yake lazima atumbuliwe....
Ata Mimi nimeshangaa sana na bado naendelea kushangaa waziri wa fedha kutokujua/kutokuelewa jambo rahisi kama hili VAT.
 
Zamani walikuwa hawatozwi na walikuwa wanatukata.. Basi wangeacha kukata.. Au wanataka walipe na zile zote za nyum?

walikuwa wanakata huduma, sio kodi. halafu usiseme walikuwa hawatozwi. VAT hulupwa na mtumiaji wa mwisho, so sema mlikuwa (wateja) hamtozwi. sasa serikali imeamua kuwatoza. VAT ilisamehewa kwenye huduma za benki, kama ilivyosamehewa kwenye huduma za utalii
 
upo deep mkuu nilitaka tusaidiane kushangaa tu,tofauti inaonekana.siamini kama TRA ndio wanaotaka benk ilipe vat,kuna mtu wanamsemea.

Hahahaa...mkuu hii mada imewachanganya watu mpaka inakua ngumu kutambua ambae haelewi ni yupi na ambaye anaongea sarcastically ni yupi
 
Hivi jiulize kosa kama la vat kwenye utalii,hata mtoto mdogo angejua madhara yake lakin imepita,kenya wakatuangalia wao wakaifuta
 
Hapa ilitakiwa serkall iseme makato yanayofanywa na benki ni makubwa

Mfano kama ni tshs 1000
Basi kuanzia julaii makato yabaki ni 1000 na katika hiyo 750 iende bank na 250 iwe kusanyo la kodi.

Hapo bado anayelipa kodi bado ataendelea kuwa mlaji na faida kubwa ambayo benk ingepata itapungua

Hapana. Mabenki tayari yanalipa corporate tax kutoka kwenye faida wanayotengeneza.

Moja ya zao la faida hii ni bank charges. Hivyo tayari wanalipa kodi kutokana na pato lao la bank charges.

Serikali inapoita kodi hii VAT, ultimately it falls on the consumer, yani wewe unayepata huduma hizi za benki. In the first place it is wrong kuweka VAT kwenye bank charges.

Kama dhumuni la serikali ni kupunguza faida zinazopata mabenki basi kodi pia inapungua. Faida ikiwa kubwa na kodi inakua kubwa.

Hivyo kama wanataka wapate kodi kubwa zaidi kutoka kwenye faida ya benki basi waongeze corporate tax rate. Wakifanya hivyo interest rates zitapanda na ku-discourage investment.

Uchumi hauhitaji nguvu. Ni akili na principles.
 
Hahahahaha jana nilijua tunaingizwa chaka na T. R. A

Tangu lini V. A. T akalipa mfanya biashara. V. A. T ni consumption tax.

Nchi ya miujiza hiii. Tangu lini kuwe na double standards kwamba bank ndo zilipe VAT ila biashara zingine mteja ndo alipishwe.

Yani tumefikia pabaya sana kama taasisi kubwa hivi za kuaminika zinapishana kauli hadharani.
Hahahahaha jana nilijua tunaingizwa chaka na T. R. A

Tangu lini V. A. T akalipa mfanya biashara. V. A. T ni consumption tax.

Nchi ya miujiza hiii. Tangu lini kuwe na double standards kwamba bank ndo zilipe VAT ila biashara zingine mteja ndo alipishwe.

Yani tumefikia pabaya sana kama taasisi kubwa hivi za kuaminika zinapishana kauli hadharani.
Hahahahaha jana nilijua tunaingizwa chaka na T. R. A

Tangu lini V. A. T akalipa mfanya biashara. V. A. T ni consumption tax.

Nchi ya miujiza hiii. Tangu lini kuwe na double standards kwamba bank ndo zilipe VAT ila biashara zingine mteja ndo alipishwe.

Yani tumefikia pabaya sana kama taasisi kubwa hivi za kuaminika zinapishana kauli hadharani.
Kukariri kubaya.Acha kukariri VAT ni value added tax ni wapi imeandika ni lazima ilipwe na mwananchi
 
Gazeti la Mwananchi: Wakati TRA ikiitaka BOT izichukulie hatua bank zilizotangaza kuongeza gharama za huduma za kibenk, BOT imesema mabenki yapo sawa!

Prof.Ndulu anasema mabenk watakuwa mawakala wa TRA tu katika kukusanya VAT lakini si walipaji,kwa hiyo hawezi kuwachukulia hatua.

Beno Ndulu ametolea mfano unapokua unauza duka unakuwa wakala tu wa TRA na sio mlipaji.....KUMEKUCHA

View attachment 362128
Hivi hii serikali nilini watakuwa na utaratibu wa kujipanga na kutoka na neno moja kwa raia wake?
 
Bongo kazi kweli yale makato walikua wanakata wananchi mabenki yalikuwa makusanyo yao au ilikuwa faida yao?
Ndullu alirakiwa alieleze kama ni sahihi benki zilikua zinakata hela uwakala wa ukusanyaji ulikuwa unafanywa na nani

VAT ilisamehewa kwenye huduma za kibenki, kama ilivyokuwa kwenye utalii. walichokuwa wanakata benki ni gharama za huduma. na aliyesamehewa hiyo kodi sio benki, ni mwananchi! ila kwa vyovyote mnavyotaka kuelewa, lazima hiyo kodi atalipa mteja kama ilivyo kwa kodi nyingine. that's economic fact!
 
Kwakweli hii ni kichekesho kingine yaani viongozi wakubwa wa taasisi hawajui nini wanaongea?
 
haah haah mkuu wewe baki kuwa msomaji tu,waache kina Tyta mbeziboy wakueleweshe

Aisee nimegundua hili swala kuna wengine either hawataki kulielewa au wanashindwa kulielewa. Actually hata kabla prof hajazungumza mimi nilishalisema hili tangia jana hii issue ilipoibuka. Na kama kweli mabenki yataishia "kulipa"..Tanzania tutakua tumeandika historia kwa kua nchi ya kwanza duniani kumlazimisha mfanyabiashara/mtoa hudumu kulipa consumption tax. Huenda tukaingia kwenye rekodi za guiness
 
Hahahahaha jana nilijua tunaingizwa chaka na T. R. A

Tangu lini V. A. T akalipa mfanya biashara. V. A. T ni consumption tax.

Nchi ya miujiza hiii. Tangu lini kuwe na double standards kwamba bank ndo zilipe VAT ila biashara zingine mteja ndo alipishwe.

Yani tumefikia pabaya sana kama taasisi kubwa hivi za kuaminika zinapishana kauli hadharani.
Nashangaa jambo hili watu kutofautiana, Ndulu yuko sahihi maana VAT always rest to final consumer
 
Kukariri kubaya.Acha kukariri VAT ni value added tax ni wapi imeandika ni lazima ilipwe na mwananchi

hahahaha! sasa wewe mpaka sasa hujui kwamba mzigo wa kodi yoyote ile anayebeba ni mtumiaji wa mwisho??! iwe kwa kujua hata kwa kutokujua! halafu wabongo bwana, watalii wameekewa VAT mkakubali, limewakuta nyie mnalia-lia!
 
Back
Top Bottom