Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,233
- 138,749
- Thread starter
- #81
upo deep mkuu nilitaka tusaidiane kushangaa tu,tofauti inaonekana.siamini kama TRA ndio wanaotaka benk ilipe vat,kuna mtu wanamsemea.Ndio point yangu kwamba kiukweli...bank "hailipi" VAT...bank "Inakusanya" VAT. VAT inalipwa na wateja wa bank. Sana sana bank italipa VAT pale inaponunua bidhaa kwa ajili ya ofisi (mfano printing papers..etc). Lakini bank "inalipa" corporate tax..hapo mteja hahusiki. Hata siku moja hauta ona kipengele cha corporate tax kwenye bank statement yako. Nadhani umeona tofauti