Gavana Prof. Ndulu: Benki wapo sahihi

Gavana Prof. Ndulu: Benki wapo sahihi

Kitu ninachokijua na ukweli utabaki kuwa ukweli,kwa Mara ya kwanza toka uhuru nchii hii imepata waziri wa fedha anayeshindwa kuiongoza wizara katika muelekeo sahihi..
Kwa kifupi hatuna waziri wa fedha.
 
sasa inategemeana mkuu na utii bila shurti
Unfortunately tangia Magufuli ameingia madarakani wanao ikosoa serikari yake ndio wanataka kuona anafanikiwa mpaka sasa kwenye score card wakosoaji wamekuwa right mara nyingi kushinda watetezi.

Binafsi naamini dhamira ya Magufuli ni njema 100%; mbinu na plans za wataalamu ndio shida aziko kisayansi kabisa na wanaotetea hizi mbinu mbovu ndio watamkwamisha.
 
Kwani hiyi sheria kipindi inapitishwa mamlaka ya mapato haikujua hilo, au ndo kufanya kazi kwa uoga
 
yani vijana wa Lumumba ni bure bure kabisa. Hata kama. mnalipwa buku mbili zenu msijitoe akili kiasi hiki.

Chukua smartphone yako unayotumia kupost humu. Google neno V. A. T. Soma definition ya VAT ndo ujue anatakiwa alipe mlaji au biashara.

Khaaaaaa am shamed to be a Tanzanian, Kama ndo wavivu wa kufikiri hivi. Yani asubuhi akili yako inatakiwa iwe active lakini umeamua utumie akili za usiku.

No wonder Kenya hatutakaa tuwapite na wataendelea kutudharau milele kama hizi ndo akili zetu.
Achana na hii mijinga mkuu.
 
Gazeti la Mwananchi: Wakati TRA ikiitaka BOT izichukulie hatua bank zilizotangaza kuongeza gharama za huduma za kibenk, BOT imesema mabenki yapo sawa!

Prof.Ndulu anasema mabenk watakuwa mawakala wa TRA tu katika kukusanya VAT lakini si walipaji,kwa hiyo hawezi kuwachukulia hatua.

Beno Ndulu ametolea mfano unapokua unauza duka unakuwa wakala tu wa TRA na sio mlipaji.....KUMEKUCHA
Turudi darasani kidogo Value Added Tax
 
It is very true.

Anachosema Profesa Ndulu ndiyo ukweli wenyewe, it is obvious VAT inalipwa na mlaji, kwa maana ya mteja.

Hao TRA na Dr Mpango wanaweweseka na kukanyagana na kujifanya kuyaambia mabenki kuwa yako wrong wakati yapo right.

Naamini huyo Dr Mpango 'anajuta' kuwamiss wabunge wa Ukawa, kutokana na huyo Tulia kutaka kulifanya Bunge letu liwe la maccm watupu.

Kwa kuwa kama vile :vichwa 'vya wabunge wa Ukawa wangekuwepo Bungeni, huu' upuuzi 'wa VAT kwenye miamala ya mabenki na kwenye makampuni ya simu kamwe isingepita.

Lakini ndiyo hivyo tena.. kuwa wabunge waliobaki Bungeni ndiyo wale wanaounga mkono kwa asilimia 100 kwa chochote kinacholetwa Bungeni na serikali, hata kama kitakuwa cha kipuuzi kama hiki cha miamala ya mabenki na makampuni ya simu....... Ndiyo hivyo tena ni
DISASTER....

kwa kweli waziri wa fedha haitendei haki nafasi yake.
 
Unfortunately tangia Magufuli ameingia madarakani wanao ikosoa serikari yake ndio wanataka kuona anafanikiwa mpaka sijui wakosoaji wamekuwa right mara ngapi kushinda watetezi.

Binafis naamini dhamira ya Magufuli ni njema 100%; mbinu na plans za wataalamu ndio shida aziko kisayansi kabisa na wanaotetea hizi mbinu mbovu ndio watamuangusha.
siamini kama mchumi Mpango hajui jambo rahisi kama hili...something must be wrong somewhere
 
Kitu ninachokijua na ukweli utabaki kuwa ukweli,kwa Mara ya kwanza toka uhuru nchii hii imepata waziri wa fedha anayeshindwa kuiongoza wizara katika muelekeo sahihi..
Kwa kifupi hatuna waziri wa fedha.
Mlizoea kona kona sasa zimebanwa ...mlikuwa mnawakamua wananchi tu halafu mrejesho kwa serikali hakuna...

mlikuwa mnakopesha serikali fedha yake sasa hakuna...
 
Gavana wa BoT yupo sawa. Ukiangalia maelezo ya VAT kwenye website ya TRA ( chini sub-heading ya How VAT works utaona maelezo haya"The broad effect of the scheme is that businesses are not affected by VAT except in so far as they are required to administer it, and the burden of the tax falls to the final consumer."

Kama TRA wangetaka mzigo usiende kwa wananchi wangetumia kodi nyingine na sio VAT. Mara baada ya bajeti ya serikali 2016/2017 kusomwa, wataalam wa masuala ya kodi walionya kuwa jambo hili lataleta mkanganyiko lakini hawakusikilizwa.
wangetumia kodi nyingine ipi wakati wana corporate tax inayokatwa kwa faida ya huduma wanazotoa bank charges inclusive?!haah haah
 
kitendo cha ile kodi kuiita VAT,Basi mzigo unaenda moja kwa moja kwa mlaji.Labda ibadilishwe jina na isiwe VAT.Profesa yuko sahihi.TATIZO HII NCHI KWA SASA MAAMUZI YA TULIOWAPA DHAMANA YANATOLEWA KWA HOFU YA KUTUMBULIWA.
Ni hatari sana kuendesha taasisi nyeti kama TRA kwa mizuka. Hivi kweli hao TRA hawajui maana ya VAT? Hiyo finance act iliyopitishwa hivi karibuni lengo lake ni kuzidi kuwakamua wananchi. Na ndipo utaliona tatizo la ushabiki wa wabunge wetu na mbwembwe ktk kuropoka "ndiyooo" kizuzu bila kupitia, kuisoma na kuichambua kwa kina miswada inayoletwa bungeni.
Mizuka na uchama vinatumaliza.

Kwa uelewa wangu mdogo ni kwamba VAT ni zigo la mlaji. Benki na Ndulu wako sahihi. Wacha tuisome hisabati kwa miaka takribani 10 tena labda tutazinduka.

Uchama hoyee!
Mizuka hoyee!
Udini hoyee!
Ukanda hoyee!
Asanteni kwa kusoma maoni yangu.
 
Huu ni mzigo kwa mlipakodi a.k.a mlaji full stop
 
siamini kama mchumi Mpango hajui jambo rahisi kama hili...something must be wrong somewhere
Tukisema jamaa wanapwaya wengine wanadhani ni majungu au tunataka kuona Magufuli anashindwa; if anything tunataka kuona serikari inawekeza heavily kwa vijana huko vyuoni na kupeleka wakasome nje waje waisaidie Tanzania kesho hiyo ni invest lazima iendane na uwezo wa wanafunzi sio wanamjua nani ili swala alikwepeki.
 
masonzo said:
Fikiria mtu anakopa pesa kwako kwanini akirudisha unadai riba.
Sisi tunaweka pesa zetu benki na wanazifanyia biashara kwanini wasitoe riba? Badala yake wanatukata
Kwa sababu unaweza kuzichukua muda wowote kwa hiyo hawaziwekezi. Kama unataka upewe riba weka kwenye fixed account.
 
wangetumia kodi nyingine ipi wakati wana corporate tax inayokatwa kwa faida ya huduma wanazotoa bank charges inclusive?!haah haah
Ili bidi wafanye analysis wajue madhara na faida ya options zote kabla ya kuanza kutekeleza jambo hili
 
Back
Top Bottom