Gavana Prof. Ndulu: Benki wapo sahihi

Gavana Prof. Ndulu: Benki wapo sahihi

yani vijana wa Lumumba ni bure bure kabisa. Hata kama. mnalipwa buku mbili zenu msijitoe akili kiasi hiki.

Chukua smartphone yako unayotumia kupost humu. Google neno V. A. T. Soma definition ya VAT ndo ujue anatakiwa alipe mlaji au biashara.

Khaaaaaa am shamed to be a Tanzanian, Kama ndo wavivu wa kufikiri hivi. Yani asubuhi akili yako inatakiwa iwe active lakini umeamua utumie akili za usiku.

No wonder Kenya hatutakaa tuwapite na wataendelea kutudharau milele kama hizi ndo akili zetu.
Ushauri wa bure!!!
Kama unaaibika kuwa mtanzania you better leave the country today! Haiwezekani kitu kinachoendelea kukutia aibu kila siku bado unakishikilia. Leave the country Sir!
 
Tra hakuna wajuvyi wa kodi, nafasi nyingi za kugaiana tu. Hata hio vat juu ya ada ni utumiaji mbovu wa vat. Sio kila mahala una toza vat.
Hii kwa uerfu ni valu added tax. Inatumika pale mlaji anapo nunua kitu. Hutumika zaidi kwenye bidhaa na sio kwenye services. Na hii ni kodi ambayo kuna wengine wapo excempted mfano diplomats . Hawa wanapo nunua kitu au service basi huomba refund...ni usumbufu sana ila tra hawajui ku plan mambo yao kwani wana ukosefu wa wataalam wa kububi hiw yo implement tax wanazo zitunga.
Na hili la bank vat haikupaswa kuwekwa kabisa , ndio kama lile la utaliii....
Gharama za kuweka fedha benki hazitakiwi ziwe juu . Ukiweka vat ni wazi banki wata ongeza juu ada zao kufidia ile iliokatwa na vat....hivyo gharama zinaenda kwa mteja.
Tukumbuke fedha zozote zinazo wekea bank tayari aidha ni income au revenue ya makampuni au mishahara ya wafanyakazi ambao wanapitishia fedha benki.
Hizi fedha sio product, hizi tayari ndani yake kuna vat ya tra , kuna stamp duty ya tra, kuna WHT ya tra pia kuna corporate tax ya tra...na kwa wafanya kazi ni net income baada ya kutoa payee. Kuzitoza kodi kwa njia yoyote ile hata kwa kuongezeka ada juu kutokana na kuanzishwa vat ya ada sio sawa kabisa kabisa..ni kodi haramu au kodi jipu
Umetoa maelezo sahihi kabisaaaa aiseee, ndio maana watu wakasema baada ya kukatwa kodi zote hiZo watachukua pesa wakahifadhi nyumbani kwao. Lengo ni kukataa kuendelea kukatwa kodi kwenye income ile ile
 
Gazeti la Mwananchi.Wakati TRA ikiitaka BOT izichukulie hatua bank zilizotangaza kuongeza gharama za huduma za kibenk,BOT imesema mabenk yapo sawa!Prof.Ndulu anasema mabenk watakuwa mawakala wa TRA tu katika kukusanya VAT lakini si walipaji,kwa hiyo hawezi kuwachukulia hatua.Beno Ndulu ametolea mfano unapokua unauza duka unakuwa wakala tu wa TRA na sio mlipaji.....KUMEKUCHA
Hivi si bank zilitakiwa kuwa zinatoa riba kwa mteja anapoweka pesa bank maana pesa yake mabenki yanaifanyia biashara. Kwanini bongo tunakatwa pesa na benki. Nchi nyingine hakuna makato ya kila mwezi.
Wasomi wetu waliopewa dhamana ndio wanayatetea mabenki sijui kwanini?
 
Tatizo Serikali haina ubunifu wa vyanzo vingine vya mapato zaidi ya kodi. Hivi zile milioni hamsini kwa kila Kijiji Ndio ziko wapi? Na zenyewe zitakatwa kodi zkkiwekwa bank? Hahahahaha CCM akili zao wanazijua wao wenyewe, hivi wakati wanapitisha Haya bungeni walikua wamelala au walikua wanawatusi wabunge wa upinzani!!!
 
Tatizo serikali hii inakurupuka sana

Mnajua kwamba sukar imeshindikana kabisa sasa
Siyo sukari tu, hata hili suala la nia la kutaka kuipiga STOP mitumba ni moja ya maamuzi ya kukurupuka ambayo imepitiliza kile kiwango cha kukurupuka...
 
Hivi si bank zilitakiwa kuwa zinatoa riba kwa mteja anapoweka pesa bank maana pesa yake mabenki yanaifanyia biashara. Kwanini bongo tunakatwa pesa na benki. Nchi nyingine hakuna makato ya kila mwezi.
Wasomi wetu waliopewa dhamana ndio wanayatetea mabenki sijui kwanini?
Fikiria mtu anakopa pesa kwako kwanini akirudisha unadai riba.
Sisi tunaweka pesa zetu benki na wanazifanyia biashara kwanini wasitoe riba? Badala yake wanatukata
 
Tuliwaambia mapema sana....Dr Mpango anataka kutumianguvu badala ya weledi wa finance! Sasa naona wanataka kuua mabenki! Watanzania wako makini zaidi kwenye romours kuliko hata facts! Sasa tunasubiri muafaka tuone go slow ya wananchi kuweka pesa bank! Wataweka wafanyakazi tu sababu zinapita huko! Ama la subirini anguko la mabenki!
Serikali ya mwendokasi hiiii
0914829a851ed7eb73c06dfe8a139954.jpg
 
nakubaliana na wewe kabisa.hoja yangu ni kwamba Bank inawezaje kulipa kodi ya bank charges "ambayo imeitwa VAT" wakati inalipa corporate tax?

Ndio point yangu kwamba kiukweli...bank "hailipi" VAT...bank "Inakusanya" VAT. VAT inalipwa na wateja wa bank. Sana sana bank italipa VAT pale inaponunua bidhaa kwa ajili ya ofisi (mfano printing papers..etc). Lakini bank "inalipa" corporate tax..hapo mteja hahusiki. Hata siku moja hauta ona kipengele cha corporate tax kwenye bank statement yako. Nadhani umeona tofauti
 
ndulu hapendi kupelekeshwa anasimamia ukweli, hawa ni watanzania wachache tunaowataka labda wanaweza kutufikisha kwenye Tanzania ya viwanda


Natoka serikali hii mtu ambaye kanionyesha msimamo Ni ndullu peke yake
 
Ina maana kipindi inaandaliwa hiyo sheria BOT na wadau wengine wa maswala ya fedha na kodi hawakushirikishwa?
 
Mkuu mbeziboy mabenk yangewezaje kulipa tena wakati yanalipa kodi ya jumla kwenye mapato yake?na mapato ni pamoja na bank charges.Yani muuza duka alipe kodi ya mapato na bado alipie kodi ya sukari peke yake,inakuwaje?
Hahahahaha umetoa Mfano mzuri Sana, Wabunge wa CCM walikua wanafurahi na kutukana tu hadi wanapitisha bajeti Ya ajabu hivi. Dah kazi ipo
 
****** kila eneo tutafika? wasema ndiooooo wametufikisha hapa !
****** kila eneo tutafika? wasema ndiooooo wametufikisha hapa !
Acha waisome namba ccm mbele kwa mbele
VAT analipa mteja benki zinalipa kodi kila baada ya miezi 3 corporate tax.hizo ada na tozo mbalimbali ndo zinatengeneza faida ambamo benk zinalipa kodi 30% ya faida.sasa ukisema benk zilipe tena VAT inakuwa double taxation.najiuliza hao wabunge walipitishaje hili maana VAT ni mlaji wa huduma ndo analipa.mfano ukienda dukani ukanunua kitu ile VAT ni wewe hivyo basi Gavana yuko sahihi kabisa ila yule wa TRA sijamwelewa kusema benki zilipe VAT maana yake zipunguze pato lake kwa kugawana na serikali inawezekana? any ngoja tuone wenye mamlaka watamuaje
 
It is very true.

Anachosema Profesa Ndulu ndiyo ukweli wenyewe, it is obvious VAT inalipwa na mlaji, kwa maana ya mteja.

Hao TRA na Dr Mpango wanaweweseka na kukanyagana na kujifanya kuyaambia mabenki kuwa yako wrong wakati yapo right.

Naamini huyo Dr Mpango 'anajuta' kuwamiss wabunge wa Ukawa, kutokana na huyo Tulia kutaka kulifanya Bunge letu liwe la maccm watupu.

Kwa kuwa kama vile :vichwa 'vya wabunge wa Ukawa wangekuwepo Bungeni, huu' upuuzi 'wa VAT kwenye miamala ya mabenki na kwenye makampuni ya simu kamwe isingepita.

Lakini ndiyo hivyo tena.. kuwa wabunge waliobaki Bungeni ndiyo wale wanaounga mkono kwa asilimia 100 kwa chochote kinacholetwa Bungeni na serikali, hata kama kitakuwa cha kipuuzi kama hiki cha miamala ya mabenki na makampuni ya simu....... Ndiyo hivyo tena ni DISASTER....
Wabunge wa CCM walikua wanafurahi na kutukana tu hadi wanapitisha bajeti Ya ajabu hivi, hili nalo ni bao la kisigino la upinzani Hahahahahah maana wananchi wataichukia Serikali ya CCM hahahahahah hawa jamaa wanaona mbali sana tuache utani
 
Hapa ilitakiwa serkall iseme makato yanayofanywa na benki ni makubwa

Mfano kama ni tshs 1000
Basi kuanzia julaii makato yabaki ni 1000 na katika hiyo 750 iende bank na 250 iwe kusanyo la kodi.

Hapo bado anayelipa kodi bado ataendelea kuwa mlaji na faida kubwa ambayo benk ingepata itapungua
 
Gazeti la Mwananchi.Wakati TRA ikiitaka BOT izichukulie hatua bank zilizotangaza kuongeza gharama za huduma za kibenk,BOT imesema mabenk yapo sawa!Prof.Ndulu anasema mabenk watakuwa mawakala wa TRA tu katika kukusanya VAT lakini si walipaji,kwa hiyo hawezi kuwachukulia hatua.Beno Ndulu ametolea mfano unapokua unauza duka unakuwa wakala tu wa TRA na sio mlipaji.....KUMEKUCHA
Mbwa kashaanza kupotea, miluzi imekua mingi sasa.
 
Huu sasa Ndio ujenzi wenyewe WA Mnara wa Babeli, kule mwanzoni walikua wanajenga msingi na kukusanya vitendea kazi tu, sasa ujenzi Ndio unaanza rasmi, wanaanza sasa. Ngoja tuone
 
Mbona Mitandao ya simu wao wanalipia ktk ile pesa wanayoikata wao?
Kwahiyo nao hawapo sahihi?

Watalii wameanza kukimbia sasa na hivi vingine tutawaachia mtumie wenyewe na familia zenu.
 
Huyo prof naye hajui. TRA wamesema mabenki yalikuwa yakusanya bila kulipa. Sio new makato. Mwee
Swali la msingi ni je walikuwa wanafanya kinyume na sheria ya kodi au ya mapato? Jibu ni hapana. Hapa serikali na TRA yake imechemka mwisho wa siku mzigo huu utamwangukia mwananchi tu.
 
huyo prof asituchanganye kabisaaaaa!!!swali hapo ni hili:je kutoa pesa au kutuma pesa ni huduma ?na huduma hii benk walikuwa walapeleka VAT serikalini?kama hapana maana yake serikali ilikuwa ikipoteza mapato ya kodi hii!!!maana yake walikuwa na msamaha Wa kodi hii!!hivyo serikali imeondoa msamaha huu!!Prof huyu kama haelewi basi ni jipu ajiuzulu haraka!!
Hebu tulia kwanza, ukienda kwa Muuza Duka yeye ni mkusanyaji WA kodi ya Serikali toka kwa wananchi na kamwe yeye sio mlipaji! Na baada ya kuikusanya huilipa yote kwa pamoja Hakuna siku anasema hii ni kodi ya Sukari au ya majani peke yake. The same kwa mabenki wana VAT ya jumla kutokana na mapato yao ambayo ni lazima inahusisha na hizo huduma nyingine za miamala. Nadhani umepata picha kidogo kwahio Ndulu yuko sahihi kabisaaaa
 
Back
Top Bottom