Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,787
- 30,083
GAUDENSIA KABAKA MWENYEKITI WA UWT?
Mwenyekiti wa UWT Gaudensia Kabaka ndiye aliyehusika kuwafukuza Waislam 11 Chuo Kikuu cha Dodoma na kusimamisha ujenzi wa msikiti hapo chuoni ambao ujenzi wake ulishaidhinishwa.
Leo yupo katika sherehe za kumuenzi Bi. Titi Mohamed.
Huyu ndiye kiongozi aliyewafukuza wajukuu wa Bi. Titi hapo chuoni na kuzuia ujenzi wa msikiti.
Kwa yale aliyopigania Bi. Titi Mohamed na wanawake wote katika TANU ya enzi zile huu ni msiba mkubwa.
Huyu Mama hastahili kuongoza wala kunasibishwa na umoja huu ulioasisiwa na mama zetu akina Bi. Titi, Bi. Hawa bint Maftah, Bi. Zarula bint Abdulrahman kwa kuwataja wachache.
Angalieni picha hiyo ya kwanza hapo chini pcha iliyopigwa na Mohamed Shebe ya mkutano wa TANU 1955 wakati wazee wetu wanautafuta uhuru wa Tanganyika.
Angalia huo umma Viwanja Vya Mnazi Mmoja na tazama hiyo sehemu nyeusi.
Hayo ni mabaibui ya bibi. mama, na shangazi zetu wamekuja kuujaza uwanja na kumtia nguvu Mwalimu Nyerere.
Mama zetu wameitika mwito wa "kuno kuno."
Hapo ndipo walipokuwa wakiimba nyimbo za lelemama kuhamasisha umma,
''Muheshimiwa nakupenda sana wallahi sina mwinginewe Insha Allah Mungu yupo Tanganyika tutajitawala.''
Tujitawale halafu iwe nini?
Gaudensia Kabaka anyanyase Waislam, Gaudensia avunje misikiti yetu?
Gaudensia Kabaka awafukuze chuoni wajukuu wa hawa wanawake unaowaona hapo chini kwenye picha?
Picha ya pili hao wote mbele hapo wanaongoza maandamano ya akina mama mimi mama zangu.
Hao ndiyo msingi wa UWT.
Yupo Bi. Mwamvua bint Mrisho (Mama Daisy), Bi. Titi Mohamed na Bi. Zainab Tewa.
Mwenyekiti wa UWT Gaudensia Kabaka ndiye aliyehusika kuwafukuza Waislam 11 Chuo Kikuu cha Dodoma na kusimamisha ujenzi wa msikiti hapo chuoni ambao ujenzi wake ulishaidhinishwa.
Leo yupo katika sherehe za kumuenzi Bi. Titi Mohamed.
Huyu ndiye kiongozi aliyewafukuza wajukuu wa Bi. Titi hapo chuoni na kuzuia ujenzi wa msikiti.
Kwa yale aliyopigania Bi. Titi Mohamed na wanawake wote katika TANU ya enzi zile huu ni msiba mkubwa.
Huyu Mama hastahili kuongoza wala kunasibishwa na umoja huu ulioasisiwa na mama zetu akina Bi. Titi, Bi. Hawa bint Maftah, Bi. Zarula bint Abdulrahman kwa kuwataja wachache.
Angalieni picha hiyo ya kwanza hapo chini pcha iliyopigwa na Mohamed Shebe ya mkutano wa TANU 1955 wakati wazee wetu wanautafuta uhuru wa Tanganyika.
Angalia huo umma Viwanja Vya Mnazi Mmoja na tazama hiyo sehemu nyeusi.
Hayo ni mabaibui ya bibi. mama, na shangazi zetu wamekuja kuujaza uwanja na kumtia nguvu Mwalimu Nyerere.
Mama zetu wameitika mwito wa "kuno kuno."
Hapo ndipo walipokuwa wakiimba nyimbo za lelemama kuhamasisha umma,
''Muheshimiwa nakupenda sana wallahi sina mwinginewe Insha Allah Mungu yupo Tanganyika tutajitawala.''
Tujitawale halafu iwe nini?
Gaudensia Kabaka anyanyase Waislam, Gaudensia avunje misikiti yetu?
Gaudensia Kabaka awafukuze chuoni wajukuu wa hawa wanawake unaowaona hapo chini kwenye picha?
Picha ya pili hao wote mbele hapo wanaongoza maandamano ya akina mama mimi mama zangu.
Hao ndiyo msingi wa UWT.
Yupo Bi. Mwamvua bint Mrisho (Mama Daisy), Bi. Titi Mohamed na Bi. Zainab Tewa.