Libertatem Pugnator
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 1,006
- 1,377
Mzee wetu kubali kuwa hapa umekosea. Wewe ni binadamu, na kukosea ni kawaida. Ila uungwana ni kukiri kuwa umeteleza. Kwa umri wako hukutakiwa kuendekeza kauli za ubaguzi na uchochezi wa kidini namna hii.Saint,
Suala hili si la kujadiliwa na lugha za kejeli za "lialia."
Serikali inajua tatizo hili na iko kimya.
Kwa sababu maalum.
Soma historia ya uhuru wa Tanganyika kuna mengi utajifunza.
Ndipo unaweza ukawa na maarifa ya kukusaidia kujadili.
Umefeli sana hapa mzee wetu