Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,836
Kwanza packing za mjini zitapand kwahiyo ukienda na gari lako andaa pesa ya packing mimi napendekeza iwe sh 20,000 per 30min..Mkuu nina wasiwasi kama kweli foleni itapungua kama tunavyofikiria. Baadhi ya watanzania tuna kasumba ya kuona ufahari kuzunguka mjini wakiwa na magari yao. Kwa hiyo mswahili kuacha gari yake nyumbani akapande treni mh!!... Huenda ikatumika tu kwetu sisi tusiokuwa na magari.