miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,975
ha hahah wakati huo namjukuu anakaribia kujaNawaza unakuwa umekaa na wanao "mimi na baba enu tulikutana tukiwa tunajadili gari la maji taka"
ha hahah wakati huo namjukuu anakaribia kujaNawaza unakuwa umekaa na wanao "mimi na baba enu tulikutana tukiwa tunajadili gari la maji taka"
walidhani ni mafutahapo watoto wa mjini wamefungua koki kwenye foleni
Sio wote waliipata elimu bureHao walijua ni MAFUTA,kwani Hawajasoma Kwamba MAJI TAKA? Yale ya Mafuta si yamendikwa kabisa INFLAMMABLE?
Kwasifa za hawa viongozi wetu usijekuta mkuu wetu akaunda tume ichunguzeWalidhani Mafuta... Sasa Nani Ata deki hiyo Lami???
UBUNGO, DAR: Katika hali ya kustaajabisha na kushangaza gari la kubebea maji taka lamwaga maji yanayodhaniwa kuwa ni ya kinyesi katika eneo lililokaribu na makutano ya barabara Ubungo.
- Kwa mujibu wa chanza kisichokuwa rasmi inadaiwa kuwa kuna watu wasiofahamika walifungua koki ya gari hilo kwa malengo yasiyofahamika.
Mbona koki ipo parallel na pipe, inaonyesha ilifunguliwa
Walidhani lita
kuwa limebeba mafuta haa haa haaa wakakutana na kimiminika kizito kizito haa haaaa!!!!
Koh koh koh wakakutana na zahma.walidhani ni mafuta