kagombe
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 3,508
- 1,642
kama buguruni ehh mabwawa yaUBUNGO, DAR: Katika hali ya kustaajabisha na kushangaza gari la kubebea maji taka lamwaga maji yanayodhaniwa kuwa ni ya kinyesi katika eneo lililokaribu na makutano ya barabara Ubungo.
- Kwa mujibu wa chanza kisichokuwa rasmi inadaiwa kuwa kuna watu wasiofahamika walifungua koki ya gari hilo kwa malengo yasiyofahamika.