Furaha isiyo na raha..! Ama raha isiyo na furaha..hakuna ladha!

Furaha isiyo na raha..! Ama raha isiyo na furaha..hakuna ladha!

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,869
Reaction score
828,403
Madomo zege hawawezagi kutongoza wao hutumia kumwaga pesa na kuonesha mikogo ya kila aina.. Ufahari usio kipimo chap

Domo zege yuko tayari kunuka madeni ili aoneshe uwezo na ukwasi.. Bingwa wa kukopa mgumu kulipa
Ukitaka kuona hasira take muite domo zege kibamia

Kitandani hamna kitu pia.. Vile mdomo ulivyo mzito.. Ndivyo mkongojo ulivyo dhaifu halafu maharagwe ya Mbeya!

Kwahiyo kuficha aibu akipata demu atamnywesha chakari ama atamuwekea madawa ili amzimishe amuingilie pasi na fahamu zake za kiutu
Tatizo ni anapomaliza upuuzi wake huo hubaki na kutahayari Sana na kutwa hujifungua ndani akiogopa kukutana na watu

Ana furaha kafanikiwa azma yake lakini hana raha kwakuwa kafanya bila ridhaa.. Ana raha ya raha ya kukata kiuno lakini hana furaha maana dakika chali

Sasa kutwa kucha anajifungia ndani maana mbinu zake zimejulikana na wengi.. Hivi kalibuni kala mdondo kwa kutumia nguvu nyingi mpaka kaua.. Sasa ni full hofu na kujificha.. Anaonekana usiku kwa usiku kama popo(bawa)
1766687610611.jpg
 
Samia noma sana huyu mama, hakika amewavuruga haters wake........Sasa wamebaki kubwabwaja tu; haijulikani wanazungumzia napenzii, siasa au uchawi. Binti yangu wa mwisho nitamwita Samia
 
 
Wakati mwingine udomo zege unasaidia,imagine unaambukizwa gono na pesa huna.
 
Samia noma sana huyu mama, hakika amewavuruga haters wake........Sasa wamebaki kubwabwaja tu; haijulikani wanazungumzia napenzii, siasa au uchawi. Binti yangu wa mwisho nitamwita Samia

haha kama mwenye jina akikubali ...
 
Madomo zege hawawezagi kutongoza wao hutumia kumwaga pesa na kuonesha mikogo ya kila aina.. Ufahari usio kipimo chap

Domo zege yuko tayari kunuka madeni ili aoneshe uwezo na ukwasi.. Bingwa wa kukopa mgumu kulipa
Ukitaka kuona hasira take muite domo zege kibamia

Kitandani hamna kitu pia.. Vile mdomo ulivyo mzito.. Ndivyo mkongojo ulivyo dhaifu halafu maharagwe ya Mbeya!

Kwahiyo kuficha aibu akipata demu atamnywesha chakari ama atamuwekea madawa ili amzimishe amuingilie pasi na fahamu zake za kiutu
Tatizo ni anapomaliza upuuzi wake huo hubaki na kutahayari Sana na kutwa hujifungua ndani akiogopa kukutana na watu

Ana furaha kafanikiwa azma yake lakini hana raha kwakuwa kafanya bila ridhaa.. Ana raha ya raha ya kukata kiuno lakini hana furaha maana dakika chali

Sasa kutwa kucha anajifungia ndani maana mbinu zake zimejulikana na wengi.. Hivi kalibuni kala mdondo kwa kutumia nguvu nyingi mpaka kaua.. Sasa ni full hofu na kujificha.. Anaonekana usiku kwa usiku kama popo(bawa)View attachment 3522303
'The Mad Queen'
 
Samia noma sana huyu mama, hakika amewavuruga haters wake........Sasa wamebaki kubwabwaja tu; haijulikani wanazungumzia napenzii, siasa au uchawi. Binti yangu wa mwisho nitamwita Samia
Mtoeni nje sasa ili watu wamuone. Mtamficha ndani mpaka lini? Halafu zile safari zetu za Amerika na Ulaya kwa kutumia Dreamliner, hakuna siku hizi?
 
Mtoeni nje sasa ili watu wamuone. Mtamficha ndani mpaka lini? Halafu zile safari zetu za Amerika na Ulaya kwa kutumia Dreamliner, hakuna siku hizi?
Mbona maneno hayo mnayo Kila siku. Hivi si ni nyie mkisema kakimbilia nje ya nchi halafu kesho yake tunamuona anaapishwa?!!! Hivi si ni nyie juzi tu hapa mkasema ameaga Dunia lakini kesho yake tunamuona anafanya mishe zake?!!!!
 
Madomo zege hawawezagi kutongoza wao hutumia kumwaga pesa na kuonesha mikogo ya kila aina.. Ufahari usio kipimo chap

Domo zege yuko tayari kunuka madeni ili aoneshe uwezo na ukwasi.. Bingwa wa kukopa mgumu kulipa
Ukitaka kuona hasira take muite domo zege kibamia

Kitandani hamna kitu pia.. Vile mdomo ulivyo mzito.. Ndivyo mkongojo ulivyo dhaifu halafu maharagwe ya Mbeya!

Kwahiyo kuficha aibu akipata demu atamnywesha chakari ama atamuwekea madawa ili amzimishe amuingilie pasi na fahamu zake za kiutu
Tatizo ni anapomaliza upuuzi wake huo hubaki na kutahayari Sana na kutwa hujifungua ndani akiogopa kukutana na watu

Ana furaha kafanikiwa azma yake lakini hana raha kwakuwa kafanya bila ridhaa.. Ana raha ya raha ya kukata kiuno lakini hana furaha maana dakika chali

Sasa kutwa kucha anajifungia ndani maana mbinu zake zimejulikana na wengi.. Hivi kalibuni kala mdondo kwa kutumia nguvu nyingi mpaka kaua.. Sasa ni full hofu na kujificha.. Anaonekana usiku kwa usiku kama popo(bawa)View attachment 3522303
Hicho kisemo ni cha nchi gani?
 
Back
Top Bottom