fungua moyo!

Eti wapendwa kuhusiana na hii mada, kuna ukweli kwamba kama hujaumizwa hujapenda?

Binafsi nimeumizwa, sidhani kama nimemuumiza mtu..Kama Gaga alivyosema, mtu unaweza kujipanga nitakuwa mwenyewe na kuwa na marafiki/family ila bado kuna kitu naonaga nakikosa maishani na ni nafasi pekee ambayo haizibiki yani sijui nielezee vipi..
Hivyo basi nimesamehe na nina imani ninaweza kukutana na mtu mwingine nikiufungua moyo wangu na kukutana na upande mwingine wa penzi..

Hivyo basi, kufungua moyo ni kuzuri baada ya kuumizwa sema unakuwa mwangalifu na kuwa +ve na uhusiano mpya...Japokuwa kidonda au historia ya kuumizwa haviishagi maishani!..
 
Mkuu Mbu kama umenisemea mimi vile, moyo wangu una ganzi kabisa, nipo jamaa yangu hapa nafanya mambo kumridhisha yeye coz ni mlalamishi sana,usipompigia simu analalamika, usipojibu message analalamika, usipomwambia i love you analalamika,kwa kuwa sipendi kulalamikiwa kila siku imenibidi tu niwe nafanya anayoyapenda ila kiukweli sifanyi kutoka ndani ya moyo wangu sijisikii kabisa kufanya hivyo. kila mda napata hisia kwamba anaweza kunitenda mda wowote, sijui nifanye nini niyafanye yote hayo kwa upendo
Mbona wewe una matatizo? tena makubwa! Kumwambia umpendaye unampenda unaona kero,kujibu message na kumpigia simu huwezi? Basi si kweli, humpendi! Maana pendo halioni kero wala usumbufu. Maana imendikwa "Pendo halioni mabaya,pendo huvumilia,pendo halichoki....." Kama wewe unaona hustahili kumfanyia hayo bora uamue mapema la sivyo utamuumiza! Na kama si wewe wa kufanya hayo, basi ujue wenzako watafanya na kupata credit!
 
black-man-378x365.jpg

...rafiki yangu alinambia ameumizwa sana kwenye mapenzi kiasi kwamba anaona moyo wake umekufa ganzi, amekuwa mkatili,...hawezi kupenda tena!

sad-black-woman2-brown-skin-woman1.jpg

Kina dada, na kina kaka....wazee kwa vijana. Najua kwa namna moja au nyingine
mshakumbana na wenye hali hii. Mnatoa maoni na ushauri gani kuweza kusaidia kwenye situation
hii.

...Unapopendana na mtu wa aina hii, utajuaje anakupenda na si kwamba yumo mguu ndani mguu nje?

Kuna mhadhiri mmoja (jina tunalo) aliwahi kuhubiri na nadhani alikuwa anatumia mic ya australia manaake ilikuwa na sauti kubwa sana, alisema yafuatay:

"Jamani tusijihukumu pale mambo yanapokwenda mrama na ni marufuku kabisa kumuhukumu mtu kwa kosa alilofanya mwengine, Kwa aliekutenda basi amekupa ujasiri wa kukabiliana na mwengine na sio ujasiri wa kumdhalilisha mwengine, Thamani ya nazi hujulikana ikipelekwa sokoni na thamani ya ubinadamu hupimwa kwa kuwekwa majaribuni" Mwisho wa kunukuu.

Nilitaka kusikiliza yale mahubiri mpaka mwisho lakini kulikuwa na mdada mbele yangu kavaa mawigi aaargh akaniboa nikatimua zangu.
 
MJ1 umekumbwa na nini tena jamani:A S-rose:
Wewe ni kati ya watu nisiopenda kusikia wala kuona wanasononeka ....
....Ah Mamito ndo wanasemaga Matters of the Heart eh? Hata sijielewi kusema ukweli. Ngoja kwanza nitafakari na kutafakuri pengine ntapambazua haya yanonfika. But worry not sweetie and thank you for your concern!

Hahahaha lol! MJ1 hivi nakuibia andawea yako halafu unakuja ikuta juu ya kamba yangu, matokeo yake unakua unachukua unavaa halafu unafua unanirudishia pale pale, hiyo si bora utembee without tu lol

Matty huu mfano umenichekesha......so ni sawa na kujidanganya moyo eh!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Thanks MBU for this post today, let me start with that!!

Love is a wonderfully thing which will never end for each of us, we real need to open our heart once broken just to give another little space for upcoming love.
That's ALL.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mbona wewe una matatizo? tena makubwa! Kumwambia umpendaye unampenda unaona kero,kujibu message na kumpigia simu huwezi? Basi si kweli, humpendi! Maana pendo halioni kero wala usumbufu. Maana imendikwa "Pendo halioni mabaya,pendo huvumilia,pendo halichoki....." Kama wewe unaona hustahili kumfanyia hayo bora uamue mapema la sivyo utamuumiza! Na kama si wewe wa kufanya hayo, basi ujue wenzako watafanya na kupata credit!
Jibu lake ni kwamba hampendi, akipata anaempenda yeye ndio atakuwa analalamika hatumiwi msg wala kupigiwa simu na mengine kama hayo
 
Sometimes love is like a gamble game, you will never know if you are on the right track of not!

Believe it or not, none of us can bride himself/herself kwamba ameyashinda mapenzi!

You never know when you will cry. Just a simple advise, keep one door open for disappointment, you might need it one day!

Need I say more.....?????
 
Eti wapendwa kuhusiana na hii mada, kuna ukweli kwamba kama hujaumizwa hujapenda?

Binafsi nimeumizwa, sidhani kama nimemuumiza mtu..Kama Gaga alivyosema, mtu unaweza kujipanga nitakuwa mwenyewe na kuwa na marafiki/family ila bado kuna kitu naonaga nakikosa maishani na ni nafasi pekee ambayo haizibiki yani sijui nielezee vipi..
Hivyo basi nimesamehe na nina imani ninaweza kukutana na mtu mwingine nikiufungua moyo wangu na kukutana na upande mwingine wa penzi..

Hivyo basi, kufungua moyo ni kuzuri baada ya kuumizwa sema unakuwa mwangalifu na kuwa +ve na uhusiano mpya...Japokuwa kidonda au historia ya kuumizwa haviishagi maishani!..
Bora kufunguka tu Belinda maana unaweza usifunguke ukajikuta unajiumiza mwenyewe
 
Huyu atakuja kupenda mpaka asahau kama alikuwa ameufunga moyo ,iko siku atakutana na mtu na kudhani amekutana na malaika
Niliwahi kusema naapa sitapenda tena..
Baada ya yule niliyempenda kwenda nchi za mbali na kuoa huko huko bila kuniambia ..kisha kunifanyia suprise ya picha za harusi
Sitaki hata kukumbuka
Alikutumia picha ya nini? kweli miafrica ndivyo tulivyo
 
sio mtaalam wa saikolojia lakini hii inshu inategemea position ya mhusika katika mahusiano yaliyovunjika. kama mhusika amekerwa so much na ameamua kuacha, anakuwa na walau nguvu ndani yake ya kuweza kumsukuma kusimamia kile alichokiamini kuwa ni sahihi au kile anachotaka kukitetea. Kwa hili his mind inaweza kucontrol his will (heart). lakini hali itakuwa kinyume kama yeye ndo aliyeachwa. manake kwanza kuna shock ya kuachwa. kichwa kinatafakari sababu ya kuachwa huku moyo ukiuma kwa kuachwa. hapo control ya mind inaweza kuwa ngumu sana na huenda ikategemea strength ya mtu na mtu na pia genders. wanaume tunaweza pata kinguvu ndani yetu cha kutuwezesha to keep going. unaweza hamia kwenye kinywaji for a while na of course womanisation ya hasira, kama vile unatoa adhabu kwa hawa watu wasio na shukrani. .


Manumbu sikuona vizuri hii kitu for so typical of men thinking you are the only strong people katika mambo ya mahusiano, hayo yoote uloongea ni kweli but sikubali kua ukiachwa huwezi pata nguvu ya kurudi... soma post yangu ya kwanza and nili rise, Ukweli ni kwamba mwanamke akipenda anapenda saana bu once amekutoa kakutoa kweli.. nyie guys ukipenda mwanamke you overcome the fact kua no need ya kua nae but rohoni and in bed with you wife it is her you are ba** which is worse... mwanamke akipata the right guy in the right package believe me you ni rahisi kukupotezea akilini as well as moyoni ...

lkn with time (very essential) akili (the mind) inarudi na unaanza kuwa na control ya will (the heart) na hapo unaanza kujipanga upya. kwa wenzetu wa-beijing depression ya kuachwa inaweza pelekea kuzidi kujizamisha chini, kujiona kama kawa kinyaa, reject etc. hii inaweza mpelekea kuwa na further depressions na hater wa wanaume. ukutanapo na mtu wa aina hii, u have to be very patient, kama you are really into her. vinginevyo wala hutopoteza muda. my take is to help anyone in such a situation to realise that 'falling down does not mean burial.' (hey am gonna take this as my signature!!). parents and close friends would be very useful in situations like this.


That statement on behalf of the ladies and mamas out there I REJECT!!!

The rest of the paragraph a guy kurudi ndo shida... ampende mwanamke wholeheartedly alfu atibuliwe, wataofuata woote watamtambua with his stupid poor negative attitude towards women with a few exceptions...
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom