Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 148
Mkuu watu wote tungekuwa na attitude hii, mbona kulialia kungeisha zamani, na pia nyuzi nyingi sana tusingeziona humu. All in all nimeipenda sana perspective yako.Pendo,mapenzi,Kupenda naamini nikwamba penzi ni mara moja!!haijalishi upo katika status gani yule unaye mpenda kwa wakati huo ndiye roho yako imemwangukia!!Kwa maana hiyo ukiwana na mke nyumbani ukakutana na Afrodenzi ujue huyo ndo unayempenda wanyumbani huna mapenzi naye! hivyo narudi huku hakuna aliyeumizwa nikwamba mda wake wakupendwa umeisha ajipange upya hakuna kulalamika nimetendwa NO!!