Full mipasho bungeni

kitundu wako! katikati ya masaburi yako
Msamehe kwani hajielewi. Anafikiria kwa kutumia Masaburi, anataman angekuwa na uwezo wa kutumia ubongo.
 
ukiokosa point si bora usome za wenzio tu au lazima uchangie???????????????????/
Ukimuuliza atakwambia kila Mtanzania ana haki ya kutoa MAWAZO yake.
Matatizo ya kufikiria kwa kutumia MAsaburi yake!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kuna tatizo la usomi na kwenda shule.
Hao si wasomi wamepita shule.
 
Hivi huu wanaouita muungano una maslahi gani kwa watanganyika? naomba kama kuna mwanaJF anayejua anijuze jamani!, Kwa kweli mimi kwa maoni yangu, huu muungano ni wakuufutilia mbali tu!
 
Hivi huu wanaouita muungano una maslahi gani kwa watanganyika? naomba kama kuna mwanaJF anayejua anijuze jamani!, Kwa kweli mimi kwa maoni yangu, huu muungano ni wakuufutilia mbali tu!
Faida yake ni kuwafany wabunge wa-Zanzibar kupewa posho mara2., Zanzibar na Bara.
hiyo ndio kubwa zaid.
 
zenji elimu hakuna ndio maana inabidi tuwabebe kila wakati nje yahapo ni kiama
 
Faida yake ni kuwafany wabunge wa-Zanzibar kupewa posho mara2., Zanzibar na Bara.
hiyo ndio kubwa zaid.

Du! Kumbe ndiyo maana wanawachagua wawakilishi wavivu wa kufikiri wanaojua tu kuropoka badala ya watu wenye uwezo wa kufiri kama binadamu timamu! Lakini mtu aliyechaguliwa na vichwa 2500 siyo sawa na aliyechaguliwa na vichwa vinavyofikiri vizuri 50,000! Hawa jamaa wa znji sijui, tuwasaheme tu! Shule ndogo
 

Bunge halitatulia mpaka tupate spika asiyetokana na chama fulani cha siasa. Haki sio tu itendeke bali ni lazima ionekane inatendeka. Haiwezekani Loyd Nchunga akachezesha mechi ya Yanga na Simba halafu haki ikaonekana kutendeka. TUNATAKA KATIBA MPYAAAA!!!!!!
 
Safi ikibidi hata walipige makofi jinga sana hilo Lissu, mabunge mapumbavu kama Lissu dawa yao makofi tu.
<br />
<br />

Yaani wewe na hilo avatar lako unakera sana! Je unaweza kuuthibitisha upumbavu wake? Mbona unachuki kiasi hicho? Alikunyang'anya mchumba nini?
 
<font size="4">Lissu alishawatukana wazanzibari jana wakati wa hotuba yake, vipi mkuki kwa nguruwe eeeeh!</font>
<br /
Hebu taja hilo tusi hapa kama sio kujustfy ujinga!
 
Kama kuna kosa ambalo hatutamsamehe mwalimu Nyerer ni huu muungano na watu waajabu wenye matusi na majivuno kama wazanzibari,wakati umefika,sasa wakutengana kila mtu aingie kivyake kwenye shirikisho la Africa Mashariki
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Asante sana umesema yote! Hawa watu wanakera sana! Kutwa wao kulalamika tu na kudai haki pasipo wajibu! Hiyo 'nchi' ni kama mkoa tu badala washukuru wamebaki kulalama! Wamejaa kila mahali huku bara wakifanya biashara zao bila bughuza lakini bado hawaoni wamebaki kuhaha sababu ya tetesi la mafuta. Hebu waishie waone kama tutapungukiwa!
 
<br />
<br />
Kuna haja ya kuwa na Tanganyika kabla ya kuwa na JMT.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…