permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 10,062
- 11,252
Naona jezi ya mamelod imekuwa nzito kama umebeba mfuko wa cement.Ball possession
YANGA 8%
MAMELOD 92%
Naona jezi ya mamelod imekuwa nzito kama umebeba mfuko wa cement.Ball possession
YANGA 8%
MAMELOD 92%
Asante 🤣😁😂😂 Bora Mimi nina nafasi mtani wanguPoleee tenaaa, sare sio ushindii.
Vyovyote vile maza ni wa kupewa shukraniMtachukua kombe la chai labda.....mmetia aibu
Mmeanza visingizio kwani waliowaangiza kwenye hizo nafasi za kina Pacome ni wachezaji wa Lipuli au wa YangaYanga amecheza vizuri sana pamoja na kuwakosa nyota watatu bado waliocheza wamefata maelekezo hatari
Gamond ameonesha ni kocha mzuri sana nashangaa wanaotaka zaidi ya kilichofanyika
Kutowaheshimu Mamelody kungetugharimu sana na hii mashabiki wa try again waliotaka sana kimoyo moyo kuwa Yanga nayo ifungwe ila ndio hivyo class imeamua Yanga inaenda final
Wewe ni Wilson Oruma?Yanga ndio imefikia mwisho msitegemee kuwafunga hawa jamaa kwao.
Mtapost sana za hivi ila takwimu zinaongeaAsante 🤣😁😂😂 Bora Mimi nina nafasi mtani wangu View attachment 2949512
wee hujawaza kwenda kuchakazwa Petrolia tena mchana wa jua kali, SAA 9. WoiiiiihNilitaka nikujibu nikaona changaule kawahi kuniwekea takwimu hebu shuka hapo chini
Ila udugu unajikaza basi tyuuu ila vyura wamekuchanganya vibaya leo
Anyway, huko kolokoloni mmepanga kumtimua nani kabla hamjaenda kupigwa goli zingine cairo??
Acha kujidanganya. Huna nafasi pale Bondeni.Asante 🤣😁😂😂 Bora Mimi nina nafasi mtani wangu View attachment 2949512
Angalia expect goal ni timu ipi ilikuwa na nafasi kubwa ya kupata goli?Kwenye hizi takwimu Yanga walichowazidi Mamelodi ni fouls na offside,wakienda South Africa watapigika na ball possession itakuwa 99 kwa 01
Nafasi ipii mtani?Asante Bora Mimi nina nafasi mtani wangu View attachment 2949512
Braza si uko na Jobe na Fredy huku vipi tena!?Yako si imeisha Jana na umeposes sana football.Mmeanza visingizio kwani waliowaangiza kwenye hizo nafasi za kina Pacome ni wachezaji wa Lipuli au wa Yanga
Kama hiziMtapost sana za hivi ila takwimu zinaongea
Hakuna kumsoma mpinzani,walishindwa kupata mpira,tofautisha kusoma na kukukosa mbinu za kuchukua mpira.Benchi la ufundi la Yanga lilifanya kazi nzuri ya kumsoma mpinzani wake na kukubali kumwacha Mamelod acheze mpira yeye atafute matokeo tu. Bahati mbaya hatuna mastraika wa maana ila hii game Yanga alikuwa anaondoka na magoli mawili
Mtani Leo shalulile alicheza ?Nafasi ipii mtani?
Unaongea kishabiki sanaHakuna kumsoma mpinzani,walishindwa kupata mpira,tofautisha kusoma na kukukosa mbinu za kuchukua mpira.
Unatofauti gani na sisi?Braza si uko na Jobe na Fredy huku vipi tena!?Yako si imeisha Jana na umeposes sana football.
🤣🤣🤣🤣 watuchakaze au tuwachakaze??wee hujawaza kwenda kuchakazwa Petrolia tena mchana wa jua kali, SAA 9. Woiiiiih
Wee huogopiiiii?
Kumbuka:kwenye robo fainali na kuendelea hakuna mambo ya points. Usije ukasema mimi nina point 1 mtani, wewe una 0.Mlichofanya jana ni aibu, dakika 4 tu mshaachia, bora mngeenda hadi 70 huko tuone mmepambana.....
Sijaelewa kwa nini Gamond kumwacha Mzize karibia dakika zote za mchezo. Msimu ujao Yanga watafute namba tisa wa kueleweka. Yanga inapaswa kubakia na mchezaji mmoja kati ya Gwede, Musonda na Mzize.Benchi la ufundi la Yanga lilifanya kazi nzuri ya kumsoma mpinzani wake na kukubali kumwacha Mamelod acheze mpira yeye atafute matokeo tu. Bahati mbaya hatuna mastraika wa maana ila hii game Yanga alikuwa anaondoka na magoli mawili