Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,817
- 4,566
leo tarehe 19.12.2023 Mnyama anashuka Dimbani kuzisaka alama tatu za kwanza za hatua ya makundi ya Wydada Casablanca.
Mechi hizi zitachezwa saa 10:00 jioni.
Nini maoni yako kuhusu mchezo huu?
Ungana nami katika uzi huu ambao nitakuletea kila kitakachojiri kabla na wakati wa mchezo.
Kikosi cha Simba kilichoanza
Kikosi cha Wydad kilichoanza
Ushindani ni mkali
Timu zote zinapeana zamu kushambulia
36' GOOOOOOOOOOOOOO
Willy Essomba Onana anaipatia Simba goli la kwanza
38' GOOOOOOOOOOOOOOOO
Onana anaipatia Simba goli la pili
Kipindi cha kwanza kimekamilia
MAPUMZIKO
Timu zinarejea kwa ajili ya kipindi cha pili
Mchezo umeanza
47' Kiungo wa Simba, Muzamiru anapata kadi ya njano kwa kucheza faulo
Mpira umekwisha Simba 2 - 0 Wydad