uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 5,767
- 10,617
Job ndie alimuhifadhiYule mzee peter anachomekea Leo amevutishwa pumzi ya moto. Na Bacca!.
Job ndie alimuhifadhiYule mzee peter anachomekea Leo amevutishwa pumzi ya moto. Na Bacca!.
Nyie hamkufungwa na Al Ahly hapa nyumbani?Jana dakika ya 4 tu simbilisi akala chuma...
Bondeni mnaenda kukazwa. Mama J FC.View attachment 2949502
Tumekaza nyumbani tutawakaza kwao
Look at this😳😳😳Baada ya mechi zote 2 za Simba na Yanga , conclusion yangu ni kwamba Simba ameonesha uhai zaidi licha ya matokeo yake.
So Simba akicheza compact kama alivyojana Jana anaweza shinda mechi ya Al Ahly.
Ila Kwa upande wa Yanga ,safari Yao imeishia hapa ,kule wataenda kupunguza idadi ya magoli tuu.
Asante sana mtani wangupoleee mtaniiii.
Sio kama hawajui, wanajua sana sema wanatafuta sehemu ya kupunguzia maumivu yao ukizingatia wiki mbili nzima walitutambia kwa hawa Mamelod hadi kununua jezi zao. Ila picha ikaanza jana chali wakapigwa halafu huku walitegemea wafarijiwe na Mamelod wamechemka pamoja na kutokuwepo kwa Yao, Pacome na Aucho. Yaani imewauma sana hapo wanajiongelesha ili kupunguza maumivu yaoUsiwe punguani wewe.
Kwani kumiliki mpira ndio magoli?
Mbona kombe la dunia Portugal ilimiliki mpira zaidi ya asilimia 70 na Morocco ndio akashinda na kumtoa Portugal??
Mbona robo fainali world cup Spain aliongoza kwa posession na akatolewa na Morocco?
UNAJUA KITU KINAITWA CONVENTIONAL FOOTBALL??
YANGA KAZIDIWA POSESSION ILA KAONGOZA KWA SHOTS ON TARGET KAMA ANGEZITUMIA ANGEKUA MSHINDI.
HUJUI MPIRA
Muda huo Pacome atakua kasharudi katika hali yake,na Aucho atakuwepo pia.MUNGU ANAJIBU MAOMBI JAMAN YAAN SIO KWA MOTO ULE WA MAMELODYNAHABAR ZILIZOTUFIKIA WANA MAJERUHI WAWILI MOTO WATACHEXA MARUDIANO TUJIPANGE NA AZIIZ WETU WA SINDANO
Mtachukua kombe la chai labda.....mmetia aibuTunanshukuru mama
Kama wewe ulivyo wekwa jana nyumbani kwenuBondeni mnaenda kukazwa. Mama J FC.
Hii ni knock out stage, kila mtu anacheza kwa tahadhari, mbinu na malengo ndo muhimu.Mie nashangaa kuna mipunguani inaongea eti ooh mamelody kaongoza posession.
Mbona yanga kaongoza SHOTS ON TARGET??
Yanga leo kacheza conventional football yani kujilinda sana ila mashambulizi ya kushtukiza.
Ndio uone tofauti Mamelody licha ya kumiliki sana mpira ila golini kwa Yanga kafika mara chache.
Clip ya miaka 2 nyuma hiyo kama sikosei, au unataka kusema mzee mpili alikua kapaniki?sasa wamesaidia nini ikiwa wenyewe tu hawawezi vuka robo
Poleee tenaaa, sare sio ushindii.Asante sana mtani wangu
Nilitaka nikujibu nikaona changaule kawahi kuniwekea takwimu hebu shuka hapo chini 👇Uduguu maneno ya nn lete takwimu hapa, au unadhani naangalia mpira kwa kudowea? Naangalia haswaa, leo had mzinze alikua beki afu useme mmecheza mpira.
hizo chance za counter attacks bado mkabwanyaaa, woiiiiiih
Hata formation ya yanga leo uwanjani unaijua ilikua ipii? Uwiiiiih
Hata shyle tumefundishwa na walimu wa divisheni 3 , tukatoka na kijiti. Na hatujawahi kejeli walimu wetusasa wamesaidia nini ikiwa wenyewe tu hawawezi vuka robo
Kwenye hizi takwimu Yanga walichowazidi Mamelodi ni fouls na offside,wakienda South Africa watapigika na ball possession itakuwa 99 kwa 01Takwimu hizi hapa View attachment 2949505
Mlichofanya jana ni aibu, dakika 4 tu mshaachia, bora mngeenda hadi 70 huko tuone mmepambana.....Bondeni mnaenda kukazwa. Mama J FC.
Benchi la ufundi la Yanga lilifanya kazi nzuri ya kumsoma mpinzani wake na kukubali kumwacha Mamelod acheze mpira yeye atafute matokeo tu. Bahati mbaya hatuna mastraika wa maana ila hii game Yanga alikuwa anaondoka na magoli mawiliMie nashangaa kuna mipunguani inaongea eti ooh mamelody kaongoza posession.
Mbona yanga kaongoza SHOTS ON TARGET??
Yanga leo kacheza conventional football yani kujilinda sana ila mashambulizi ya kushtukiza.
Ndio uone tofauti Mamelody licha ya kumiliki sana mpira ila golini kwa Yanga kafika mara chache.
Unawazungumzia yao, pacome na aucho, kwan hujui na wao wana wachezaji majeruhi? Akiwemo kapteni wao Zwane? Na hiyo siku atakuwepo pia.Sio kama hawajui, wanajua sana sema wanatafuta sehemu ya kupunguzia maumivu yao ukizingatia wiki mbili nzima walitutambia kwa hawa Mamelod hadi kununua jezi zao. Ila picha ikaanza jana chali wakapigwa halafu huku walitegemea wafarijiwe na Mamelod wamechemka pamoja na kutokuwepo kwa Yao, Pacome na Aucho. Yaani imewauma sana hapo wanajiongelesha ili kupunguza maumivu yao