Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,500
- 29,232
Leo Timu bora kuliko zote Africa Mashariki na Kati kwa mujibu wa CAF, Mnyama Simba Sport Club anakutana na KMC katika mchezo wa NBC Premier League.
Simba inaingia uwanjani ikiwa inawania nafasi ya pili ambayo inaishikilia timu ya Azam hivyo ushindi pekee ndio utakaoiweka katika nafasi nzuri ya kuwa wa pili.
Mchezo huu utafanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Kaluta, mkoani Arusha ambapo Simba wameamua uwe Uwanja wao wa Nyumbani.
Karibuni
Kikosi cha Simba kilichoanza
Kikosi cha KMC kinachoanza
Simba inaingia uwanjani ikiwa inawania nafasi ya pili ambayo inaishikilia timu ya Azam hivyo ushindi pekee ndio utakaoiweka katika nafasi nzuri ya kuwa wa pili.
Mchezo huu utafanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Kaluta, mkoani Arusha ambapo Simba wameamua uwe Uwanja wao wa Nyumbani.
Karibuni
Kikosi cha Simba kilichoanza
Kikosi cha KMC kinachoanza