uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 7,580
- 10,818
Leo Itapigwa mechi ya ligi kuu ya Mwisho kwa Mwaka huu kwa Upande wa Simba na KMC.
Muda ni Saa 10 Jioni.
Kila la heri mnyama.
Kikosi Cha KMC Kinachoanza
Kikosi cha Simba Kinachoanza
Nguvumoja.
Dakika ya 32'
KMC wanapata goli la Kwanza
Kupitia kwa Waziri.
Game On.
KMC 1 - 0 Simba
HT
Bado Matokeo ni KMC 1 - 0 Simba
Kipindi cha Pili Kimeanza hapa.
Simba wamefanya Sub!
Bocco Out
Baleke Inn
Onana Out
Mzamiru Inn
Dakika 57'
Simba wanapata penalti.
Saidooo anafunga goal la kwanza.
Dakika ya 60'
Simba wanaweka mpira wavuni kupitia kwa Baleke.
Game On.
KMC 1 - 2 Simba
Dakika 88'
Waziri anaipatia KMC goli la 2.
Dakika 90'
Full Time.
KMC 2 - 2 Simba.