FT: Pamba SC 1-1 Simba SC | NBC Premier League | CCM Kirumba

FT: Pamba SC 1-1 Simba SC | NBC Premier League | CCM Kirumba

Sitoshangaa kusikia mchezaji refa wa Simba nae kafungiwa hahahahaaaa
 

Attachments

  • 1773936524956.jpg
    1773936524956.jpg
    273.2 KB · Views: 13
  • 1773936516741.jpg
    1773936516741.jpg
    96 KB · Views: 13
  • 1773936521408.jpg
    1773936521408.jpg
    284.5 KB · Views: 14
Nafikiri Simba kwa sasa ndio ina viongozi wa ovyo kupita kipindi chochote, wana tatizo la mshambuliaji wa mwisho lakini mpaka sasa wameshindwa kukaa na kumalizana na Sowah. Hivi wangekuwapo kipindi cha Gagarino , Said Mwamba Kizota au Mafisango wangeweza kuwamudu hao wachezaji.
 
nashauri pamba na Dodoma Jiji wapewe nafasi ya kwenda kucheza CAF champions league namini kombe litakuja nyumbani. 🚮
 
Hahahaaa. Eti jamani 😀 Swahiba hao hata wangepewa mwezi ni kazi bure tu.

Sababu mechi zao nyingi wanategemea ukalumanzila. 😀
Pumbavu wewe.
Waziri wa maji Mheshimiwa Aweso Aweso alisema kule Jimboni kwake , rais wenu wa mchongo Hersi saidi kitu gan sjui hua anaonekana mara kwa mara kwa waganga zikikaribia mechi za derby ama ligi ikiwa inaendelea ...yule mdaka mishale wenu kinachomsaidia ni Ile hirizi jeusi alilofunga kiunoni . Huo sio ukalumanzila...🚮🚮🚮🚮🚮
 
Pumbavu wewe.
Waziri wa maji Mheshimiwa Aweso Aweso alisema kule Jimboni kwake , rais wenu wa mchongo Hersi saidi kitu gan sjui hua anaonekana mara kwa mara kwa waganga zikikaribia mechi za derby ama ligi ikiwa inaendelea ...yule mdaka mishale wenu kinachomsaidia ni Ile hirizi jeusi alilofunga kiunoni . Huo sio ukalumanzila...🚮🚮🚮🚮🚮
Heee!
 
Back
Top Bottom