min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,066
- 166,566
Sio kweli ndugu mchinaAaah mwanangu watu wanachange id tu hakuna wapya
Sema ndo hivo wanabadilisha id wanakuja na id mpya
Sio kweli ndugu mchinaAaah mwanangu watu wanachange id tu hakuna wapya
Sema ndo hivo wanabadilisha id wanakuja na id mpya
Eeeeh haya ngoja utafikiwa tu🤣🤣🤣Sio kweli ndugu mchina
Mbona unanikatisha tamaa sasaAaah mwanangu watu wanachange id tu hakuna wapya
Sema ndo hivo wanabadilisha id wanakuja na id mpya
Ila bwashee we una nyumba nyingi sana ilibidi uniachie kweli ila nimepata taarifa kuwa mpaka ndugu mchina Xiao qui shui naye amepangwa kwenye hii foleniMimi ndio napaswa nijitoe bwashee , nimeingilia tu 😅
LIMENIKUTA TUKIO😳😭, bado wewe🤣🤣🤣🤣Mbona unanikatisha tamaa sasa
Nyumba zipi bwashee 😅Ila bwashee we una nyumba nyingi sana ilibidi uniachie kweli ila nimepata taarifa kuwa mpaka ndugu mchina Xiao qui shui naye amepangwa kwenye hii foleni
Me sipo kwenye hiyo list, me nilikuwa nae yule wangu kama unamkumbuka sitomtaja sijui kakimbilia wapi duuh😳😳😳😳Ila bwashee we una nyumba nyingi sana ilibidi uniachie kweli ila nimepata taarifa kuwa mpaka ndugu mchina Xiao qui shui naye amepangwa kwenye hii foleni
Ulikua nae through diffusion ?Me sipo kwenye hiyo list, me nilikuwa nae yule wangu kama unamkumbuka sitomtaja sijui kakimbilia wapi duuh😳😳😳😳
Pisi ina akili sana ile sijui nini imeikumba imetokomea kusikojulikana juzi tarehe 1Ulikua nae through diffusion ?
Bwashee maneno yasiwe mengi, huyo Husninyo athibitishe kwa vitendo.Bwashee inakuje siku hizi unauliza majibu badala ya maswali 😂
Akili za nini bwashee 😅 kwani zako hazitoshi mpaka ujazie za mtu mwingine meku😅Pisi ina akili sana ile sijui nini imeikumba imetokomea kusikojulikana juzi tarehe 1
Bwashee hayo ni mambo ya kumingo nae private hapa vibaka ni wengi
Shida ni kovu aliyoniachia mkuu, when i remember our nights was fire even usingizi ulikuwa hauji na kizuri zaidi ile sauti sijawahi ona demu mwenye sauti kama ileAkili za nini bwashee 😅 kwani zako hazitoshi mpaka ujazie za mtu mwingine meku😅
Huu upwiru Sasa bwashee 😅Shida ni kovu aliyoniachia mkuu, when i remember our nights was fire even usingizi ulikuwa hauji na kizuri zaidi ile sauti sijawahi ona demu mwenye sauti kama ile
Babe wangu kama utausoma huu uzi njoo pm basi nakufaaa huku🤣🤣
Shauri yako ujichanganye. Hahaha
😂😂 si ulisema umehamia kwa wine? Ikawaje ukachanganya spirit, beer na whisky? Ulitaka kujiua??Ile siku nililewa kuamka nmejikuta bafuni dah whiskey +spirit + beer
Ilikua Sio wine kumbe ni marue ya ulevi asee😂😂 si ulisema umehamia kwa wine? Ikawaje ukachanganya spirit, beer na whisky? Ulitaka kujiua??
No bro naona mwaka mpya nilichelewa kumjibu mtoto wa watu akapotea mpaka leoHuu upwiru Sasa bwashee 😅