Freeman Mbowe, Sugu, Msigwa na Lema

Freeman Mbowe, Sugu, Msigwa na Lema

Status
Not open for further replies.
Umejitahidi sana kujionesha ulivyo mjinga na drs lako la saba, yaani unadhani uongozi ni vyeti na cv za ubabaishaji je Mandela ndiye msomi kuliko wote Africa? Je mikataba feki imetiwa saini na watu ambao hawakwenda shule, ni kilaza hadi unatia aibu
Ujinga wa huyu mtu umepitiliza. Yaani kwake kusoma shule za msingi tatu tofauti ni tatizo ilhali jumla ya miaka ni ileile ambayo angesoma shule moja.
 
Duu hii imenikumbusha kitu, Hivi Bill Gates alishamaliza shule?
 
Hebu niambie ukubwa wa CV (Kwenye elimu)kama unavyo maanisha unasaidiaje kuondoa matatizo ya watanzania? Hebu niambie hawa wameondoaje umaskini wa watanzania pamoja na udaktari wao:
  1. Dr. Jakaya Kikwete
  2. Dr. Emmanuel Nchimbi

Orodha ni ndefu endeleza na wewe.....

Very Interesting

  1. Dr. Jakaya Kikwete
  2. Ndugu Barack Obama
 
Ujinga wa huyu mtu umepitiliza. Yaani kwake kusoma shule za msingi tatu tofauti ni tatizo ilhali jumla ya miaka ni ileile ambayo angesoma shule moja.

Baada ya hizo shule zote tatu za darasa la saba akaishia wapi? Ficha upumbavu wako ww
 
kumbe ndiyo maana chadema kinakosa mwelekeo kumbe kundi kubwa la watu mule hawana shule.
 
Pale kwenye chama kuna maprofessor kibao km baregu,madokta akina kiltila na wasomi wazuri km zitto, kwann wasiwaanzishie hawa jamaa TUISHENI???????????????????
 
Hivi CV za hawa na za Kina Maji Mafupi, Mgeni kwetu ameingia, Yule mmasai, wa tanzaninte one, n.k zipi afadhali?
 
anzisha mkuu tutachangia. Ww ndio una nafuu kdg ktk wenzako wa ufipa fc

Kiongozi, aliyekamata steringi ndo anaongoza njia..sio abiria..! Huoni tatizo hapo ukitaka nikate kona? Enewei tuko pamoja..!
 
kumbe ndiyo maana chadema kinakosa mwelekeo kumbe kundi kubwa la watu mule hawana shule.

Napendekeza kitila mkumbo ambaye ni mwalimu wa chuo kikuu aanzidhe program ya tuisheni akisaidiana na baregu sema baregu saivi yuko busy mno na issue za katiba na amesema hataki poyoyo huko
 
Ujinga wa huyu mtu umepitiliza. Yaani kwake kusoma shule za msingi tatu tofauti ni tatizo ilhali jumla ya miaka ni ileile ambayo angesoma shule moja.

kusoma shule tatu tena za msingi ni kiashiria tosha kuwa sugu hana nidhamu alikuwa anafukuzwa kutoka shule moja hadi nyingine.
 
ujinga mwingine bora kuupotezea kwa sababu kuufikiria tu ni upotevu wa resources za ubongo...Uzi hauna mashiko PUMBA TUPU!
 
Napendekeza kitila mkumbo ambaye ni mwalimu wa chuo kikuu aanzidhe program ya tuisheni akisaidiana na baregu sema baregu saivi yuko busy mno na issue za katiba na amesema hataki poyoyo huko

samaki mkunje angali mbichi hawa akina mbowe na wenzake hawafundishiki tena labda wapewe taruma ya ukunga.
 
Kweli nimeami kupata elimu c kuelimika, rejea Andrew Chenge pamoja na elimu kubwa alyonayo lakini ndio amesaini mikataba mibovu mpaka huu wa juzi wa reli ya Wahindi, Mwanasheria mkuu wa serikali ameandaa miswada ya sheria amepeleka ikulu kwa mbwembwe Kumbe vile vifungu havikujadiliwa bungeni, siku 2 ikafutwa, rejea Daudi Balari elimu yake imetusaidia nn kama Taifa,?mleta mada jifunze kuzungumzia issue sio mtu! Tukianza kuzungumza watu hawa Wazee wetu watakosa pakupitia
 
Babayako hujambo?.. lakini Freeman Mbowe anaweza kuwa wa umri wa babayako!!! OK napenda kusahihisha tu kuwa Godbless Lema hakusema kuwa .... NOT COMPLITED bali alisema NOT COMPLETED. Kuhusu Rev. Msigwa mimi nazifahamu Universities ambazo unaweza kuingia kuanzia na Diploma kisha ukaendelea na Degree kwa muda ambao Rev Msigwa ametumia kule South nadhani amepata a genuine award. Naogopa tu usije ukawa umetumwa, but if truly it comes from your genuine mind, I say good idea to try to know more about yo representatives. May GOD give you more strength. Amen.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom