Freeman Mbowe: Majipu matatu haya hapa

Freeman Mbowe: Majipu matatu haya hapa

Hivi kumbe Nchi hii imeshaongozwa na Waswahili wa3 wa pwani?
1) Mwinyi
2) Mkapa
3) Kikwete

Ndio maana.......
 
Msisahau Mbowe mwenyewe jipu! Sijui ni kwa nini baadhi ya wadau hutumia muda mwingi kujadili pumba za huyu jamaa na kusahau upigaji wake wa fedha ndani ya chama chao. Aliyetumia fedha za chama kununua vifaa vya kupaza sauti na magari chakavu kutoka kwake mwenyewe ni nani kama si huyu?
Wapumbavu walitarajia awe Waziri katika serikali ya UKIWA aisababishie nchi hasara ya matrilioni ndo wajue utu ni 0 kwake? This "Viroba King" ni mtengeneza pesa kwa familia yake pasipo kujali chochote. Kama aliweza kujidhalilisha mwenyewe kumsifia EDO, waliyemuita fisadi awali who knows Mkapa na Mkewe wakiunga mkono CDM hawataitwa malaika?
 
Ungemsema ni kiupele ningekuelewa ndo mana wala haongelewi sbb kila mtanganyika ni kipele tunatafuta mijipu mikuu hiyo mitatu ikitumbuliwa rutapata nafuu kama si kupona
Rudia kusoma ulichoandika.
 
Mh. Mbowe ataja Majipu matatu Makubwa. Amewataja Mkapa, Kikwete na Sefue na kumtaka Rais Magufuli ayatumbue.

img-20160220-wa0072-jpg.324542

Mzembe mwingine ni huyu mbowe, anawataja hao na kuwaacha lowasa na sumaye eti sababu wapo pamoja. Huu ni ujinga uliopitiliza. Kwa wenye akili tumeshampuuza long time yeye na chama chake cha wachaga. Apeleke bangi huko
 
Mhh mbona hajajitaja yeye na Lowasa?
Sio rahisi ajitaje mwenyewe, anatakiwa atokee mtu mwenye ujasiri amtaje kama alivyofanya yeye kutaja hao aliowataja.
Halafu mkuu hata ikitokea miujiza shetani aseme kuiba ni kosa, atakuwa amesema kweli na hatuwezi kupinga ukweli huo eti kwa sababu tu aliyesema ni shetani! Ukweli unabaki kuwa ukweli bila kujali kasema nani!
 
Kama Mbowe aliweza kufanya watu wazima wazungushe mikono kama matahaira....Sijui nini kitafanya ashindwe kuwaendesha Nyumbu wake.
 
Mbowe mwenyewe jipu,anaendesha chama kinyume cha katiba,zaidi ya siku 90 zimepita chama hakina katibu,anapaswa kutumbuliwa yeye kwanza kabla ya kuona kibanzi kwa wenzake
Tatazo lako unafananisha katiba ya chadema na ya ccm rudi kasome katiba ya Chadema wewe
 
Nikujibu nini wewe ndie unayenikuzia majambo ya majipu, unaniletea ya Znz mie humu....subiri tu. Bora utafute wengine wa kurumbana nao na unayotaka kujadili sina muda huo.
Tatizo vijana wa michicha sijui mnaokotwa wapi maana siasa hamjui kazi povu tu
 
Back
Top Bottom