Freeman Mbowe: Majipu matatu haya hapa

Freeman Mbowe: Majipu matatu haya hapa

Sefue katumbuliwa Leo 5/3/2016 kwahiyo heri usingechangia .ungehepuka aibu hii Leo.jifunze kutafakari kabla
Bado haibadili ukweli kwamba walichofanya walini-disappoint. Kwani Lowassa si aliwajibika na akajiuzulu tena kwa kulazimishwa na bunge kuwa ajitathimini mwenyewe kama anafaa? Hata hao pia (jk, ben na sefue) kamanda mkuu anaweza kuwapokea na kuwasafisha kuwa ni wasafi hawana hatia ilimradi tu kuwe na maslahi kwake. Hamna aibu yoyote nayopata mimi, infact I'm just an ordinary man tu, sina maslahi binafsi na siasa wala mwanasiasa.
 
Suala hapa Mbowe alisema Lowasa alitakuwa kuwa jela na amemuandama miaka yote lakini mwishowe ikajulikana Mbowe walikuwa na wivu wa kisiasa dhidi ya Lowasa. Kwahiyo hata hili la Mkapa et al huenda ni wivu wake ule ule. Sasa hivi Mbowe hawezi kuwa na moral authority ya kumnyooshea kidole fisadi yoyote. Naye ni wale wale.
Ccm chini yakikundi cha mtu au watu waliwaminisha wayanzania wote pamoja nawapinzani kua Lowassa ni fisadi kwa Manufa yamtu au kikundi cha watu lakini mwisho wa siku imekuja bainika Lowassa hana ufisadi wala hatia yoyote, unakumbuka bungeni Lowassa alisem shida ni Uwaziri Mkuu? Je report ile ya Mwakembe kwanini hakumalizia kuisoma akasema nachia hapa huku kwingine kwa mstakabali wa Taifa? Angendelea ungeona mengi makubwa sana
 
Bado haibadili ukweli kwamba walichofanya walini-disappoint. Kwani Lowassa si aliwajibika na akajiuzulu tena kwa kulazimishwa na bunge kuwa ajitathimini mwenyewe kama anafaa? Hata hao pia (jk, ben na sefue) kamanda mkuu anaweza kuwapokea na kuwasafisha kuwa ni wasafi hawana hatia ilimradi tu kuwe na maslahi kwake. Hamna aibu yoyote nayopata mimi, infact I'm just an ordinary man tu, sina maslahi binafsi na siasa wala mwanasiasa.
Lowassa hakushikwa na ufisadi wowote
 
Hao kina mbowe na kundi lake hata waseme nini hawaaminiki wamejiharibia wenyewe kumchukuwa luwasa na sumai wakati walisha zunguka dunia nzia wakiwanadi kiwa ni mafisad
Leo wamewakumbatia na kutaka kutuaminisha kuwa ni watu safi.
Hawana tena hadhi ya uwaminifu ktk kauli zao.
Mbona mlifanya figisu figisu tarehe 25 mgetulia muone na hiyo dhambi ndio inawatafuna mpaka leo hata Dunia inajua sana hilo
 
Lowassa hakushikwa na ufisadi wowote
Ooh kwa hiyo aliingizwa kwa bahati mbaya kwenye ile "List of Shame". Naomba unitumie hiyo 2nd edition mkuu nijifariji na mimi kuwa chadema ni waongo na wanafiki huwa tu wanawasingizia watu mfano mh. Lowassa.
 
Mh. Mbowe ataja Majipu matatu Makubwa. Amewataja Mkapa, Kikwete na Sefue na kumtaka Rais Magufuli ayatumbue.

img-20160220-wa0072-jpg.324542
Hivi CDM mbona hawajazi/teua Katibu Mkuu?
 
Ooh kwa hiyo aliingizwa kwa bahati mbaya kwenye ile "List of Shame". Naomba unitumie hiyo 2nd edition mkuu nijifariji na mimi kuwa chadema ni waongo na wanafiki huwa tu wanawasingizia watu mfano mh. Lowassa.
Ungenisoma hapo juu ilikua nikikundi cha watu chenye maslahi na uwaziri mkuu
 
Ungenisoma hapo juu ilikua nikikundi cha watu chenye maslahi na uwaziri mkuu
Aisee still complicated matter......maslahi na uwaziri mkuu?....kwa hiyo hicho kikundi chenye maslaho na uwaziri wakatumia upinzani kumchafua mheshimiwa? Wakamtumia kubenea na gazeti mwanahabari? Ukweli hili suala chadema wawaombe radhi tu wanachadema ambao waliothirika na hii issue including me ingawa sikuwa mwanachama ila nilikua nawasapoti na kuwakubali. Hata neno fisadi nimelijua kupitia mheshimiwa!
 
Aisee still complicated matter......maslahi na uwaziri mkuu?....kwa hiyo hicho kikundi chenye maslaho na uwaziri wakatumia upinzani kumchafua mheshimiwa? Wakamtumia kubenea na gazeti mwanahabari? Ukweli hili suala chadema wawaombe radhi tu wanachadema ambao waliothirika na hii issue including me ingawa sikuwa mwanachama ila nilikua nawasapoti na kuwakubali. Hata neno fisadi nimelijua kupitia mheshimiwa!
Ungetufwatilia ingeona tumefanya vizuri sana sana
 
Hamuoni mnavyokwenda mrama?
Mkuu kama ww unaona tunaenda mrama huo ni mtazamo wako binafsi.
Na huo mwendo mrama inaouwona ww si ndio faida yenu pindi tukienda sawa lini mutahamia magogoni si mutaishia ktk ikulu zenu za hanang na munduli tu?
Mm nataka nikuambie sijawahi kuona rais mzuri ktk nchi hii kama huyu tulie nae anzia kwa JKN.
MM nakuomba muombe dua tu huyu mzee kwani nia yake kwa wtz ni njema sana mm nimekuwepo tokea uwongozi wa awamu ya kwanza mpaka leo hii sijaona kiongozi mwenye maamuzi yenye nia yakuwasaidia watz kama huyu.
 
Mkuu kama ww unaona tunaenda mrama huo ni mtazamo wako binafsi.
Na huo mwendo mrama inaouwona ww si ndio faida yenu pindi tukienda sawa lini mutahamia magogoni si mutaishia ktk ikulu zenu za hanang na munduli tu?
Mm nataka nikuambie sijawahi kuona rais mzuri ktk nchi hii kama huyu tulie nae anzia kwa JKN.
MM nakuomba muombe dua tu huyu mzee kwani nia yake kwa wtz ni njema sana mm nimekuwepo tokea uwongozi wa awamu ya kwanza mpaka leo hii sijaona kiongozi mwenye maamuzi yenye nia yakuwasaidia watz kama huyu.
Ukitoka hapo Lumumba ndio utaelewa ninachokwambia na ndio faida ya haya ninayokwambia utayaona
 
Back
Top Bottom