Freeman Mbowe: Majipu matatu haya hapa

Freeman Mbowe: Majipu matatu haya hapa

Ukitoka hapo Lumumba ndio utaelewa ninachokwambia na ndio faida ya haya ninayokwambia utayaona
Mkuu mm hapo lumumba napasikia tu hata huko dsm mm sipajui vizuri.
Na uwamini mm sijawahi kumiliki iwanachama wa chama chochote kile ktk maisha yangu.
Nasijawahi kupenda utendaji wa kazi wa rais yoyote kama huyu tulie nae.
 
Mkuu mm hapo lumumba napasikia tu hata huko dsm mm sipajui vizuri.
Na uwamini mm sijawahi kumiliki iwanachama wa chama chochote kile ktk maisha yangu.
Nasijawahi kupenda utendaji wa kazi wa rais yoyote kama huyu tulie nae.
B

BASI FWATILIA KWA WACHAMBUZI KAMA MIMI UTAJUA NINAIMANISHA NINI NINAVYOSEMA SEREKALI HII NIYAMAIGIZO NA, TV NA MAGAZETI USITEGEME KUONA JIPYA TIME WILL TEL
 
Majipu hayo meshapewa majina tumbueni sasa chezea maslahi binafsi
Yameshatumbuliwa sasa. Hebu tupe maoni yako. Hii ni serikali ya ukweli. Sasa fanyeni mzaha muone kazi yake. Mtaipata fresh. Mtaona kazi yake. Sio mnalopoka tu mnafikiri nyie hamtaguswa
 
Yameshatumbuliwa sasa. Hebu tupe maoni yako. Hii ni serikali ya ukweli. Sasa fanyeni mzaha muone kazi yake. Mtaipata fresh. Mtaona kazi yake. Sio mnalopoka tu mnafikiri nyie hamtaguswa
Hayo Matatu kayaguza yapi maana huyo moja kasema anampangia kazi yakufanya nyingine yale yale ya Serekali ya maigizo
 
Hayo Matatu kayaguza yapi maana huyo moja kasema anampangia kazi yakufanya nyingine yale yale ya Serekali ya maigizo
Toen ushahidi sasa. Ili apelekwe Mahakamani. Hao wengine ni wastaafu na katiba ya nchi hairuhusu waguswe. Na yy aliapa kuilinda katiba. We ni mtu mzima msomi tena doctor haya mambo unayaelewa vizuri sana na unapaswa kusaidia kuwaelewesha viongozi wako akina mbowe. Huyo mmoja kaondolewa kistaarabu kwa sbb ushahidi mnashindwa kuutoa. Hata hivo unadhan atapangiwa kazi gani. Hiyo ni kauli ya kistaarabu tu kwa sbb huna ushahidi wa tuhuma zake.
 
Toen ushahidi sasa. Ili apelekwe Mahakamani. Hao wengine ni wastaafu na katiba ya nchi hairuhusu waguswe. Na yy aliapa kuilinda katiba. We ni mtu mzima msomi tena doctor haya mambo unayaelewa vizuri sana na unapaswa kusaidia kuwaelewesha viongozi wako akina mbowe. Huyo mmoja kaondolewa kistaarabu kwa sbb ushahidi mnashindwa kuutoa. Hata hivo unadhan atapangiwa kazi gani. Hiyo ni kauli ya kistaarabu tu kwa sbb huna ushahidi wa tuhuma zake.
DIRA ILIELEZA VIZURI SANA NA KILAKITU KILIKUA OPEN
 
Mbowe mwenywe jipu uchungu limeishapakawa choroko linasubiri kuiva litumbuliwe.
Hv bado hujakua tu, una akili tepetepe sana za kitoto..
Yaan mliokabithiwa nchi kwa maslahi mapana ya wananchi zaidi ya 45 mmebobea kwenye ufisadi wa kuiba rasilimali za nchi... mkiambiwa ukwel badala ya kutake action upon..
Nyie ndo kwanza mnabaki kupiga cheap politics za kimbea et Mbowe jibu sasa hata kama ni jpu hv adhari ya mbowe ukiilinganisha na adhari za majipu yenu ambao ndo mnaongoza nchi na wenye amana na nchi hii nani wa kushughulikiwa kwanza..??

Usipotoshe umma kwa sababu ya njaa zako na maisha ya kujipendekeza ili watoto na mkeo waende choo..
 
Ufisadi wa Lowassa upo wapi maana ameka ccm miaka yote hawajampeleka hata takokuru, na Lowassa alishasema mzigo hule niwa Kikwete
Hayo ndio majibu ya bei nafuu aliyotaka kutuletea Mbowe eti mbona hakupelekwa mahakamani. Kwa hiyo nchi hii mafisadi ni akina Mramba na Yona tu how about kubwa la maadui mzee wa vijisenti? Maana huyo tunaweza kusema ndio role model wa ufisadi. Isitoshe Chadema waliapa kwamba WANA USHAHIDI KAMA LOWASSA ANAONA KASINGIZIWA AENDE MAHAKAMANI leo wao ndio wanasema kama Kuna mtu anaona Lowassa fisadi aende mahakamani. Hiyo haigongi alarm kichwani kwako man?
 
Back
Top Bottom