Hayo ni majipu kwelikweli lakini Katiba.....
sasa anataja hayo majipu anataka nani ayatumbue wakati magufuli hamtambui/ ampe lowassa kazi hiyo
Kama hamtambui mbona mkimdikia mnaweweseka?sasa anataja hayo majipu anataka nani ayatumbue wakati magufuli hamtambui/ ampe lowassa kazi hiyo
hakuna mkuu.always wapinzani lazima wawe wasafi ili serikali isipate mwanya wa kutumbua.
swissme
Theoretically yes ila kiuhalisia nitakuwa wa mwisho kuaminiMajipu yapo kwenye chama chao ( CHAMA CHA MAJIPU CCM)
Zote zikisikia ccm ni ile ile zinanyamazaBahati mbaya umejaa ushabiki. Ni kweli Magufuli hawezi kuyagusa lakini taasisi zetu xilitakiwa ziwe na nguvu kwa wote e.g. Angalia mahakama za Africa kusini hata watawala wanashtakiwa huko na kuhukumiwa
Amejisahau yeye naMbowe kagusa pabaya
Mbona zinaonekanaTheoretically yes ila kiuhalisia nitakuwa wa mwisho kuamini
Naona unatekeleza sera kuu yenu ambayo ni matusi sitashanga nzi bila kufuata uchafu anakua nyukiAmejisahau yeye na
mumewake Lowassa
Zote zikisikia ccm ni ile ile zinanyamaza
Njaa mbaya sana ndio ilimsaliti haya YesuNa wanaoshabikia CCM na utawala huu huwa najiuliza kama ni hamnazo au ni kufaidika na ushabiki huo. Mambo yako wazi wasomi wa nchi hii waisaidie nchi historia isije kuwahukumu
Njaa mbaya sana ndio ilimsaliti haya Yesu
Mbowe naye ni jipu linalosubiri kutumbuliwa Hai
Hata ambayo yanatumbuliwa inaonesha Aidha yamegota muda wa utumishi, hayapendwi kwenye chama au yalikuwa mlengo wa LowassaKutaja majina tu hata wehu wanaweza.
Hata ile orodha ya Mwembeyanga ambayo hamtaki hata kuisikia kwa sasa nayo mliropoka hivi hivi.
Mbowe ni shujaa .Mh. Mbowe ataja Majipu matatu Makubwa
unaambiwa Mbowe ni ngumi jiwe .Mbowe kagusa pabaya
Atumbue na aliyeuza nyumba za serekali kwa bei cheeWakudadavua;
Hivi kweli wewe ni wa kudadavua?? Usiende nje ya mada. Mbowe kasema; hao aliowataja ndiyo majipu yanayotakiwa kutumbua haraka. Sasa ka weye unataka naye atumbuliwe, kwanza basi mwambiye JPM ayatumbue hayo yalio tajwa, akimaliza umkumbushe hilo lako. Huo ndo utaratibu. Tukiufuata utaratibu wako, nadhani tutaishia kushitakia ka watoto, kuwa ukinisema nami ntakusemea.
Mtumbue kwanza aliyeuza nyumba za serekali kwa bei chee aliye tengeneza barabara za lami zenye uwezo sawa na Big G, aliyejigawia Mgodi wa makaa ya mawee kwa bei chee aliye binafsisha bank zetu kwa bei yakutupa aliyekua anatalii nchi za njee kuliko alivyokua anakwenda kwaoMbowe naye ni jipu linalosubiri kutumbuliwa Hai
Kama Mbowe ni jipu, haiondoi hao aliowataja. Ikithibitika watumbuliwe tu, maana PM alisema namnukuu maneno yake-Wakati wa Kutumbua Majipu, Hatutamuonea Mtu,mwisho wa kunukuu.Yeye mwenyewe Mbowe anasubiri kutumbuliwa. Alipewa uongozi mwaka 2004, alipaswa kukabidhi uongozi kwa mwingine mwaka 2014, leo hii 2016 anawanyooshea vidole wengine, wakati kutumbuliwa kunamhusu pia.