Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
- Thread starter
- #121
Mkuu umenikumbusha Barabara zenye uwezo kama Big Gumesahau na lile jipu la kivuko cha dar bagamoyo hili nu jipu lake mwenyewe sa sijui nani atamtumbua
Mkuu umenikumbusha Barabara zenye uwezo kama Big Gumesahau na lile jipu la kivuko cha dar bagamoyo hili nu jipu lake mwenyewe sa sijui nani atamtumbua
Nimecheka kwa machungu mana huku kwetu hizo road za big G tumeshazizoeaMkuu umenikumbusha Barabara zenye uwezo kama Big G
yani hawa wanatufanya sisi wapuMBavu sana,, wanaJifanya kutuMBua MaJipu wakati wenyewe ndo MaJipu yaliyo hivaa na yatatuMBuka yenyewe Muda siyo Mrefu,,!Alafu leo chama cha Majipu kinakwambia gape la walionacho na wasionacho watalipunguza kweli ccm ni ile ile
mbona kasahau kumtaja Lowasa ?kwa nini?? nadhani jipu kubwa kabisa ambalo lilishaiva linatakiwa lipasuliwe kwa operation maalum.Mh. Mbowe ataja Majipu matatu Makubwa. Amewataja Mkapa, Kikwete na Sefue na kumtaka Rais Magufuli ayatumbue.
![]()
Ungeongea ya maana ungesomeka lkn ni kama nguchirroAkili zenu zimeishia hapo hapo, kwenye matusi ambayo mmeanza kujifunzia ukubwani. Hoja zinapowaishia mnaonyesha jinsi gani mlivyo na akili nyepesi. Zungusha mikono halafu kakojoe ulale.
kamanda kuuzwa kwa nyumba za serikali muulizeni Sumaye. kipindi hicho yeye ndie alikuwa waziri mkuu. msiwe mnasahau mambo,mnaweza zungumza mengine kishabiki mwisho wake yanawarudia wenyewe? ?Ni kweli, malalamiko yote ya Magufuli ya kusema ana uchungu na sisi kwasa, bu hatukufaa kuwa ombaomba wahusika ndo hao alowataja Mbowe. Magufuli utawatumbua ? Kuuzwa kwa nyumba za serikali kwa bei cheee ni jipu la nani.
waliozunguka nchi nzima kumsema Lowasa ni fisadi ni team Mbowe yote, Lema, Kubenea, Dr Slaa, Tundu lissu ambaye aliandaa list of shame. hawa wote walidai wana ushahidi tosha. sasa watuambie ilikuwaje wakawakumbatia hao mafisadi waliokuwa wanawasemaKAMA Ilivyo Kwa Wale Waliokuwa Wakisisitiza Kuwa Wana Ushaidi Wa KUITHIBITISHIA MAHAKAMA Ufisadi Wa Mh. LOWASSA, ALISEMA Hivyo SAMUEL SITTA, HARRISON MWAKYEMBE, YUSUPH MAKAMBA, MAKONGORO NYERERE, JAKAYA KIKWETE, HUMPHREY POLE POLE, ABDALAH BULEMBO N.k .TENA Walizunguka Nchi Nzima Kusema Wana USHAIDI Wa Kuthibitisha Hilo Mbele Ya MAHAKAMA!!! SASA WATANZANIA WANASUBIRI Kuona MAFISADI WAKUBWA WALIOTAJWA Kipindi Cha KAMPENI Wakikamatwa, Wakihojiwa, Wakishitakiwa, Wakifungwa Na Wakifiisiwa Mali Zao Zooote!!!!! HATA Wale Walionunua MELI CHAKAVU Kwa Billion 8 Na KUMDANGANYA MAGUFULI Wkt Wa KUIZINDUA, Kuwa Ni MPYA!!!! YAANI "MAJIPU " Makubwa Hayajaguswa Kabisa!!
Hao wawili waliotajwa ndio walika Mabosi wakembona kasahau kumtaja Lowasa ?kwa nini?? nadhani jipu kubwa kabisa ambalo lilishaiva linatakiwa lipasuliwe kwa operation maalum.
Nyie kwenye kampini ya 2015 mlimzungumzia vasco Dagamawaliozunguka nchi nzima kumsema Lowasa ni fisadi ni team Mbowe yote, Lema, Kubenea, Dr Slaa, Tundu lissu ambaye aliandaa list of shame. hawa wote walidai wana ushahidi tosha. sasa watuambie ilikuwaje wakawakumbatia hao mafisadi waliokuwa wanawasema
Hilo linamuhusu JK akimpa maelekezo waziri mkuu Lowassa.... Wanajua litakavyowarudi hawalitaji hili jipuJipu LA Richmond nalo amelitaja?
Umeanza kua kioja ambayo ndio mnafundishwa hapo Lumumba?Wewe unayeweza kuongea na nguchiro na ukaelewana nae maana yake na wewe ni nguchiro. Unarudi kule kule upumbavu wa matusi.
Hilo Musoka mkuu anajulikanaHilo linamuhusu JK akimpa maelekezo waziri mkuu Lowassa.... Wanajua litakavyowarudi hawalitaji hili jipu
Aliyeuza nyumba na barabara na Big G bila kusahau hasara ya Meli ya samaki tuliongia Watanzania ni Mtu moja wacheni kuleta ujanja ujanjakamanda kuuzwa kwa nyumba za serikali muulizeni Sumaye. kipindi hicho yeye ndie alikuwa waziri mkuu. msiwe mnasahau mambo,mnaweza zungumza mengine kishabiki mwisho wake yanawarudia wenyewe? ?
HAKUNA NA KAMA MAJIPU YAKO ANZA WEWE KUYATUMBUAHivi ndani ya chadema hakuna majipu?

Ugejibu kwanza kilitokea nini
Hivi kweli kuna binadamu alipitia darasa la pili na asijue kanuni za uandishi kwamba iwe Kingereza, kiswahili au kichina, n.k kila sentensi inaanza kwa herufi kubwa, na si vinginevyo. Kuna watu kama mimi wanaona kinyaa kusoma threads zako zenye herufi kubwa kila mwanzo wa neno! Hawa ni watu waliohitimu angalao darasa la tatu. Nahisi threads zako zinalenga watu wenye uelewa chini ya hapo, na JF siyo size yao.KAMA Ilivyo Kwa Wale Waliokuwa Wakisisitiza Kuwa Wana Ushaidi Wa KUITHIBITISHIA MAHAKAMA Ufisadi Wa Mh. LOWASSA, ALISEMA Hivyo SAMUEL SITTA, HARRISON MWAKYEMBE, YUSUPH MAKAMBA, MAKONGORO NYERERE, JAKAYA KIKWETE, HUMPHREY POLE POLE, ABDALAH BULEMBO N.k .TENA Walizunguka Nchi Nzima Kusema Wana USHAIDI Wa Kuthibitisha Hilo Mbele Ya MAHAKAMA!!! SASA WATANZANIA WANASUBIRI Kuona MAFISADI WAKUBWA WALIOTAJWA Kipindi Cha KAMPENI Wakikamatwa, Wakihojiwa, Wakishitakiwa, Wakifungwa Na Wakifiisiwa Mali Zao Zooote!!!!! HATA Wale Walionunua MELI CHAKAVU Kwa Billion 8 Na KUMDANGANYA MAGUFULI Wkt Wa KUIZINDUA, Kuwa Ni MPYA!!!! YAANI "MAJIPU " Makubwa Hayajaguswa Kabisa!!