Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
- Thread starter
- #41
Naona umesoma katiba ya michicha pole sanaYeye mwenyewe Mbowe anasubiri kutumbuliwa. Alipewa uongozi mwaka 2004, alipaswa kukabidhi uongozi kwa mwingine mwaka 2014, leo hii 2016 anawanyooshea vidole wengine, wakati kutumbuliwa kunamhusu pia.