Kaka kwangu Mbowe namuamini labda kwa 2% ambazo ni Mungu tu anajua. Mbowe ni opportunist na hiyo ndio sababu pekee imemfanya ampokee Lowassa, nje ya hapo hakuwa na sababu ya kumpokea. Usiwaamini sana wanasiasa kaka shirikisha kichwa chako. I was just like you lakini kadri nilivyoona mambo yanavyoenda niliamua kuwa na kiasi kwa hawa politicians. kumbuka mtaji wa wanasiasa ni watu (sisi). Ukikubali kuwa mshabiki ndio neema kwao maana hauta - question. Mbowe leo hii hana haki ya kuniambia nani fisadi nani msafi.... Alishapoteza hiyo sifa na hata ikitokea kamtaja mtu akatumbuliwa kwangu ni coincidence tu lakini siwezi kumpa hiyo credit come on.. maana alishaamua kuikanyaga yeye mwenyewe!