Freeman Mbowe: Majipu matatu haya hapa

Freeman Mbowe: Majipu matatu haya hapa

Hivi kweli kuna binadamu alipitia darasa la pili na asijue kanuni za uandishi kwamba iwe Kingereza, kiswahili au kichina, n.k kila sentensi inaanza kwa herufi kubwa, na si vinginevyo. Kuna watu kama mimi wanaona kinyaa kusoma threads zako zenye herufi kubwa kila mwanzo wa neno! Hawa ni watu waliohitimu angalao darasa la tatu. Nahisi threads zako zinalenga watu wenye uelewa chini ya hapo, na JF siyo size yao.
Mbona povu la moto linakutoka
 
Mtoa mada na Mbowe wote wako sawa tofauti ni moja tu, Mbowe anamakengeza ya Macho huyu nyumbu yeye Makengeza ya akili ..full kuona ghost images.
 
Mtoa mada na Mbowe wote wako sawa tofauti ni moja tu, Mbowe anamakengeza ya Macho huyu nyumbu yeye Makengeza ya akili ..full kuona ghost images.
Bora mimi kuliko wewe fisi unayesubiri mikono ya Binadamu ukidondoka ule ndio maana unashtukiza hata sehemu zisizo stahili
 
Hayo sio Majipu ni MIJIPU...yaani Maajipu makubwa
 
Basi atakuwa alicopy uswahili...wewe unavyoona mtu wa kaskazini au kanda ya ziwa angeperform kama yeye?

Mkuuu pia nadhani mkapa ame perform better generaly kulinganisha na mtu yeyote wa pwani wana hakuwa na hulka ya pwani pwani nadhani performance mbovu ipo kwa mr smile
 
Mkuuu pia nadhani mkapa ame perform better generaly kulinganisha na mtu yeyote wa pwani wana hakuwa na hulka ya pwani pwani nadhani performance mbovu ipo kwa mr smile
Ni upogo wa kufikiri kudhani kwamba Mkoa wa Mtwara wote ni Pwani. Kwa taarifa tu ni kuwa Masasi ni bara kuliko hata Same au Mikumi. Umbali wa Mtwara (Mji/Manispaa)hadi Masasi ni sawa au mbali kuliko Dar-Moro, sembuse huko Lupaso zaidi ya Kilometa 270 kutoka mjini, huko Culture za pwani hamna kabisa. Tunashauri Tembeeni tu hata hapa Tanzania, yapo ya kujifunza kuliko kukariri au kutegemea story za Vijiweni.

Hivyo in brief, ukisikia Mtwara ni Pwani basi tambua ni Mtwara Manispaa na Vijijini tu. Nje ya hapo ni Bara kabisa, namanisha Newala, Masasi, Tandahimba, Nanyumbu, Nannyamba na Ndanda, hao hata bahari hawaijui inafananaje, labda kwa waliowahi kutembelea Mjini Mtwara, na ofcourse tamaduni ziko tofauti kabisa!
 
Ni upogo wa kufikiri kudhani kwamba Mkoa wa Mtwara wote ni Pwani. Kwa taarifa tu ni kuwa Masasi ni bara kuliko hata Same au Mikumi. Umbali wa Mtwara (Mji/Manispaa)hadi Masasi ni sawa au mbali kuliko Dar-Moro, sembuse huko Lupaso zaidi ya Kilometa 270 kutoka mjini, huko Culture za pwani hamna kabisa. Tunashauri Tembeeni tu hata hapa Tanzania, yapo ya kujifunza kuliko kukariri au kutegemea story za Vijiweni.

Hivyo in brief, ukisikia Mtwara ni Pwani basi tambua ni Mtwara Manispaa na Vijijini tu. Nje ya hapo ni Bara kabisa, namanisha Newala, Masasi, Tandahimba, Nanyumbu, Nannyamba na Ndanda, hao hata bahari hawaijui inafananaje, labda kwa waliowahi kutembelea Mjini Mtwara, na ofcourse tamaduni ziko tofauti kabisa!




Mkuu nakubaliana na maelezo yako 100% binafsi sikusema masasi (lupaso )ni pwani sio kweli kabisa masasi almost na tunduru wanafanana kuliko mtwara yenyewe
 
BADALA YA KUCHUKULIWA HATUA JIPU MOJA LIMEAMBIWA TUTAKUPANGIA KAZI INGINE HII NDIO CCM NA CCM NI ILE ILE
 
Tutaamini vp? Ikiwa walisema Lowassa fisadi na ushahidi wanao, baadaye wakasema Lowassa msafi anayeona ni fisadi atoe ushahidi apeleke mahakamani. Leo kashasahau yote hayo anataka kutuaminisha tena mengine.
UMEAMINI??
 
Mmnnh, ina maana katika hayo matatu aliyoyasema Mbowe, naona mmoja kawekwa kando
 
Mh. Mbowe ataja Majipu matatu Makubwa. Amewataja Mkapa, Kikwete na Sefue na kumtaka Rais Magufuli ayatumbue.

img-20160220-wa0072-jpg.324542
Leta ile list ya mwembeyanga ili Rais aanze nayo
 
Mmnnh, ina maana katika hayo matatu aliyoyasema Mbowe, naona mmoja kawekwa kando
Tunaposema tunaimanisha... kuna watu kama 5 hapa wanaposema thread zao hapa zinaukweli mtupu nikiwepo mimi mija wapo hao 4 nawahifadhi kwa sasa
 
Tunaposema tunaimanisha... kuna watu kama 5 hapa wanaposema thread zao hapa zinaukweli mtupu nikiwepo mimi mija wapo hao 4 nawahifadhi kwa sasa


Je ile issue ya Mtaliano ni bifu tu au yaweza kuwa ni habari ya kweli?
 
Back
Top Bottom