OK I LOVE THIS, NAOMBA NIKUONYESHEE UTOTO WA MAJIBU YENU KAMA NILIVYOSEMA MWANZONI:-
- Unasema sina brain na kwamba I am functionless, great una maana umekuja mbio kumjibu mtu ambaye ni no brain na functionless? Sasa what that tells about you?
- Eti ni mjinga gani Duniani anayeweza kulinganisha utajiri wa Mbowe na Mzee Kenyatta? Hivi wewe kweli ni mzima Uhuru familia yake ya Kenyatta inamiliki 50% ya Ardhi yote ya Kenya ambayo ni the best collateral kwa ajili ya benki kumpa mikopo ndio maana ameweza kuendeleza zile pesa kama vile Donald Trump, ambaye na yeye aliachiwa Ardhi nyingi na baba yake so ikawa rahisi kwake kukopa na kuendeleza mali za USD 200, Million alizoachiwa na baba yake, lakini sio Mzee Mbowe nasema bila kuogopa kwamba hakuacha mali mtoto wake leo kuwa na majumba nje nchi kama Dubai, USA na South Africa ambako ni lazima ulipie kodi kubwa sana ya property ama sivyo Serikali za huko zinakunyanga'nya ardhi au jumba.
- Unasema Disco la pale Mbowe ndilo limempa hela za kununua majumba ya kifahari nje ya nchi? Really? So huu ndio utetezi wako kwamba hizo nyumba ameweza kuzinunua kwa kuendeleza utajiri alioachiwa na baba yake, atakuwa ndio Mtanzania wa kwanza kuwa na akili namana hiyo bro, kwamba baba yako anakuachia Disco unalendeleza mpaka unaunua majumba ya kifahari nje ya nchi, that is the best joke of this week!!
- Mwenyekiti wenu bado ana kazi kubwa ya kujieleza amepata wapi hayo mapesa ya kununulia hayo majumba ya kifahari huko nje? Mali alizoachiwa Kenyatta na baba yake hazifanani hata robo na alizoachiwa Mbowe, halafu bado kuna swali kubwa kwamba mbona hmajawahi kusema to the public kwamba anamiliki majumba nje aliyonunua kwa hela za halali? Kwa nini tumejua sasa baada ya Zitto kumkomalia nyani giladi, poleni sana haya sasa nendeni mkawaaambie wananchi vijijini kwamba Mzee Mbowe alikuwa tajiri sana alimuachia mtoto wake ambaye ameuendeleza ndio maana sasa anamiliki majumba ya kifahari nje!!
VERY CHILDISH!!
Le Mutuz
Unayepaswa kuonyesha kuwa mali anazomiliki si halali ni wewe, unajua aliachiwa kiasi gani? Usiwe mtu wa majungu kuna wakati hata baba yako aliambiwa kuwa alichukua pesa za Jeetu Patel ili agombee uraisi, na wakati mwingine akaambiwa amesilimu ili apate pesa ya Waarabu binafsi siamini.