Free talk: Mwanamke shtuka!

Free talk: Mwanamke shtuka!

Hivi utakimbizana na hawa watoto hata lini? Ulimkimbia mzee mwenzio Joseverest ona sasa ulivyoumbuka!!!
José mwenyewe mtoto tuu huoni alivyokuwa ananisumbua?
Nadhani sasahivi nitafute mzee mwenzangu hawa watoto watanipa jaka la moyo.

Au nielekeze akili yangu kwenye kujikwamua kimaisha kwa kuendeleza biashara zangu kuliko kupambana na hawa watoto kama ulivyotushauri kwenye bandiko lako au wewe unasemaje?
 
Umenifanya nimekumbuka kuna story ililetwa humu na mtu ambae kaka yake aliwasomesha wao alafu alipokufa wakasahau familia yake. Watoto na mama yao wakapigwa na maisha hatari. Na ni kwasababu hakumuandaa mkewe kwa maisha ya kesho.
Nnaikumbuka hii.
 
Hahahaaaa!! Baba hapendeki, vipi kozi ya urubani ushaanza?
Ngoja NIKUSANYE HELA KWANZA...NIKIFUZU NITAKWAMBIA...ILA WEWE KICHWA CHAKO KIZURI SEMA NDIYO MAANA NIMESHAWAHI KUKUULIZA KAMA UMESOMA FALSAFA ULINIAMBIA ULISOMA UNAPOSOMEA UALIMU. BILA UNAFIKI NASEMA HADHARANI KICHWA CHAKO KIZURI SIJAJUA KAMA MME WAKO UTAKAMPATA MWINGINE ATAKUWA NA KICHWA KAMA CHAKO. MSHUKURU MUNGU KWA KUKUPENDELEA KUWA NA UBUNGO ULIONAO.
 
Ni sawa na zile ndoto za darasa la pili,kila mwanafunzi anawaza kuwa Pilot,engineer mkubwa ama kua Rais
 
José mwenyewe mtoto tuu huoni alivyokuwa ananisumbua?
Nadhani sasahivi nitafute mzee mwenzangu hawa watoto watanipa jaka la moyo.

Au nielekeze akili yangu kwenye kujikwamua kimaisha kwa kuendeleza biashara zangu kuliko kupambana na hawa watoto kama ulivyotushauri kwenye bandiko lako au wewe unasemaje?
Best njoo kwa kaka yangu, hutajuta kumpata.

Cc Joseverest
 
Have ma" like babe-girlunajua nini umesema maneno maziiito mno mwenye kusikia na asikie,.japo KUPANGA NI KUCHAGUA hatuingiliani lifestyles lakini penye ukweli lazima tukumbushane...

Wadada tupunguze luxuries tofauti na vipato vyetu,.tuwe na kiasi na kuridhika..tukipata wenzetu hebu tupeane support sio kisa ni mbebe wako basi ndio akome kila dhiki unambebesha kaka wa watu looh tena ujue kwao wana japo mbuzi wa maziwa basi hali akashiba.,.ndio maana wengine miti mikavu hawanenepagi kwa kufyonzwa....tujue kufanya kazi zetu na kusave pia kwa ajili ya baadae,.kumtegemea mtu sana kwanza dhambi...

Yeremia 17:5-8 ukisoma utaona mtu anaye mtegemea mwanadamu anakuwaje...

Mungu akatubariki sawasawa na utajiri wake,kusukwa-sukwa hata kumwagika...!!!!
mumu maneno ya kichungaji nimekupenda bure, unafaa kuwa mke wangu wa pili, naomba kuwasilisha ombi la kukuowaaa
 
Kama zamu yake ya kupika halafu hajapika ale huko huko. Na 50/50 mpaka outing na washkaji. Leo ukienda kuangalia mpira na mimi nikiomba kwenda kwenye outing na mashoga zangu unapiga kimya

Tusifike huku, Mume abaki kuwa kiongozi wa familia japo ni kweli changamoto zipo kwenye haya mambo
Ile ya diamond karanga.
Yeah, una kumbukumbu nzuri Pyaar
 
Back
Top Bottom