Free talk: Mwanamke shtuka!

Free talk: Mwanamke shtuka!

Have ma" like babe-girlunajua nini umesema maneno maziiito mno mwenye kusikia na asikie,.japo KUPANGA NI KUCHAGUA hatuingiliani lifestyles lakini penye ukweli lazima tukumbushane...

Wadada tupunguze luxuries tofauti na vipato vyetu,.tuwe na kiasi na kuridhika..tukipata wenzetu hebu tupeane support sio kisa ni mbebe wako basi ndio akome kila dhiki unambebesha kaka wa watu looh tena ujue kwao wana japo mbuzi wa maziwa basi hali akashiba.,.ndio maana wengine miti mikavu hawanenepagi kwa kufyonzwa....tujue kufanya kazi zetu na kusave pia kwa ajili ya baadae,.kumtegemea mtu sana kwanza dhambi...

Yeremia 17:5-8 ukisoma utaona mtu anaye mtegemea mwanadamu anakuwaje...

Mungu akatubariki sawasawa na utajiri wake,kusukwa-sukwa hata kumwagika...!!!!
Kuna muda huwa unaakili kama vile sio yule mywii ninayemfahamu teh teh teh
Hongera kwa busara hizi wifi yangu hakika Miller amepata mtu sahihi
 
Halafu hii kitu prenuptial ilikuwepo kiaina enzi zile unakuta mjane ananyanganywa Mali za mumewe na ndugu za Mume....kisa hawakuzichuma wote....hii kitu ipo sema ndio haikuwa kisheria zaidi
Walikua waonevu hao. Prenuptial ipo kisheria ila hao walikua wananyang'anya kwa nguvu
 
Kama zamu yake ya kupika halafu hajapika ale huko huko. Na 50/50 mpaka outing na washkaji. Leo ukienda kuangalia mpira na mimi nikiomba kwenda kwenye outing na mashoga zangu unapiga kimya
Ndio maana yake.... Hapo manyanyaso yatapungua....
Kwa Kaka zetu hawa...watakimbia ndoa....
 
Back
Top Bottom