Free talk: Mwanamke shtuka!

Free talk: Mwanamke shtuka!

Ishu ni hawa wanawake wenye idea hii ni wachache..

Wazee baba ukikuta mwanamke wako ana akili za kujikwamua kiuchumi msaidie atimize ndoto yake..

Don' t let her down..


espy na Heaven Sent nawatakia usiku mwema.
794616039a9f757a503f906b33b2283a.jpg
 
Umeongea point, hakuna kitu kizuri kwa mwanamke kama kuwa na akili ya kujiongeza kujituma na kuwa mtafutaji kabla hata hujaolewa, sio unataka kuolewa hata kishughuli kidogo cha kukufanya ulete kitu mezani huna. Maisha yamebadilika wanaume nao siku hizi wanaangalia una nini na wewe, sio akubebe tuu ukawe wa kuomba tu kila siku, vinginevyo hela utapewa, mechi utachezeshwa na mwisho wa siku unashangaa umeachwa kaolewa Mwajuma unabaki kutafuta mchawi.
Na mara nyingi ukikuta mwanamke wa aina hiyo huwa ni wale wasio jielewa by nature, na hana akili ya kujiongeza, ndo hao wa kujaza viatu na mapochi ukimuambia kuhusu kuwekeza ndo kwanza unaonekana mshamba wewe unaongea nini. Hata akikaa na mwanaume hana cha maana cha kuongea utakuta ni pumba tu mpaka mwanaume anajiuliza hivi huyu kichwani kuna kitu kinachoitwa maendeleo anakijua kweli? tujielewe.
Nimependa uliposema "TUJIELEWE".
 
Habari wana MMU.

Kuna hili jambo ningependa tujadiliane ama tushirikishane kidogo.

Hakuna asiejua kuwa kila mwanamke kabla hatujavurugwa na dunia huwa matamanio yetu ni siku moja kuolewa na kutengeneza familia na mwanaume fulani hivi amazing(fantancy vs reality).

Sasa tatizo linakuja kuwa huwa wanawake wengi wana mentality kuwa maandalizi ya familia ya baadae haswa kwa mambo yanayohusu assets na gharama zingine ni majukumu ya mwanaume na sio mwanamke.
Hivyo unaweza kukuta binti ana kazi nzuri tu ila hata kujiwekeza kununua hata kiwanja walaaa hawazi au hata kufungua biashara. Anawekeza kwenye mikoba,mawigi,simu za bei ghali,viatu nk. Vitu ambavyo ukivipigia mahesabu unakuta ana viwanja vitano vikubwa tu huku kijijini kwetu.

Hebu fikiria unaolewa ukiwa angalau umejiwekeza kiasi fulani hivyo mkiunganisha nguvu na mwenza wako angalau mnapiga hatua kadhaa kwa haraka kuliko kusubiria mwanaume afanye kila kitu.

Wakati mwingine unakuta binti anadate mwanaume mwenye expossure ya kutosha na mfanyabiashara mzuri, hata kuomba basi hata aelekezwe abc's za biashara, hata kuunganishwa kibiashara nehiiii.
Au unadate mwanaume mwenye uwezo mkubwa kifedha hivyo kazi yake ni kuomba kununuliwa simu ya milioni 2 nk, vitu vya anasa ambavyo kwa kiasi kikubwa havikuongezei lolote la maana zaidi ya sifa za kijinga. Ni kwanini usimuombe mtu wa aina hiyo hata business idea, au angalau uanze jambo lako ie biashara,ujenzi nk kisha umuombe akuongezee kiasi fulani cha pesa? Kwa mwanaume mwenye upeo atakuona una akili na anaweza kukusogeza mahali pazuri.

Mwingine unakuta ni mama kabisa ila hata haiwazii kesho ya mtoto wake ambae anamlea peke yake, yuko busy na starehe na kutumbua pesa za child support, kesho na keshokutwa baba hayupo mtu anaanza kuhaha wakati nafasi ilikuwepo akaichezea

Maisha yamebadilika sana jamani basi nasi wanawake tubadilike in a positive way, tuyaishi maisha halisi na sio ya kuigiza ili angalau tunapoingia kwenye maisha ya ndoa angalau tuwe na cha kuongeza sio ndio ukiolewa umtwishe mwanaume majukumu ya familia mnayoijenga,familia ya kwao na ya kwenu pia. No wonder wanakufa mapema hawa watu.

Tuzitumie fursa vizuri pale zinapopatikana kabla haijawa too late.
Jamani hapa simchagulii mtu maisha ila hakikisha hautokuwa na majuto baadae kuwa "laiti ningejua"!!! Maana hakuna anaependa kesho yake iwe ya kuunga unga.

Nawasilisha.
 
Kisha hiyo elimu tuihamishie kwa watoto wetu wa kike wakue wakijua hawapaswi kuwa tegemezi bali wapambane wajikwamue kiuchumi.
Pia kuwepo na sera zitakazo muwezesha na kumlinda mwanamke huyu anapokuwa na ubunifu katika kazi zake.

Mwanamke huyu anapoandaliwa mazingira mazuri, ni rahisi kwake kufanikiwa na kutimiza ndoto zake
 
Noo...you took me wrong..

Huwezi kucompare sex na kumsomesha mtu...afu pia ujue Sex kuna mutual pleasure..kuna mutual benefit..

Sex kwani naenjoy mimi peke yangu..?

Vaa viatu vya mwanaume hebu;

Unapewa kitobo kweli, umesomesha mtu miaka 3 ama 4..kamaliza unataka kujenga nae future anakuja jamaa from nowhere binti bila kujali anasepa na msela mwingine..real..?

Sasa hapo ndio unajua kuwa uliingilia wajibu wa mtu..

Mimi hili nimeliona kwa macho yangu kwa marafiki zangu..! Wala sikusoma story..! I will never do it.
naomba nisomeshe mimi basi, hutaingilia wajibu wa mtu kabisaaa.
 
Haha Ila wanaume mnanifurahishaga. Kwenye sex mnataka mpewe freely no excuse, yani sex upewe kama mume vile ; unasahau hujamuoa. Ikija kwenye kumsupport financially ndo mnakumbuka ni binti yupo kwa baba ake. Baba zetu wanawaona
Hahahaaaa!!! Hapo kwenye pesa lazima watusaidie kuhubiri haki sawa.
 
Noo...you took me wrong..

Huwezi kucompare sex na kumsomesha mtu...afu pia ujue Sex kuna mutual pleasure..kuna mutual benefit..

Sex kwani naenjoy mimi peke yangu..?

Vaa viatu vya mwanaume hebu;

Unapewa kitobo kweli, umesomesha mtu miaka 3 ama 4..kamaliza unataka kujenga nae future anakuja jamaa from nowhere binti bila kujali anasepa na msela mwingine..real..?

Sasa hapo ndio unajua kuwa uliingilia wajibu wa mtu..

Mimi hili nimeliona kwa macho yangu kwa marafiki zangu..! Wala sikusoma story..! I will never do it.
Wacha we!! Eti mutual pleasure
 
Have ma" like babe-girlunajua nini umesema maneno maziiito mno mwenye kusikia na asikie,.japo KUPANGA NI KUCHAGUA hatuingiliani lifestyles lakini penye ukweli lazima tukumbushane...

Wadada tupunguze luxuries tofauti na vipato vyetu,.tuwe na kiasi na kuridhika..tukipata wenzetu hebu tupeane support sio kisa ni mbebe wako basi ndio akome kila dhiki unambebesha kaka wa watu looh tena ujue kwao wana japo mbuzi wa maziwa basi hali akashiba.,.ndio maana wengine miti mikavu hawanenepagi kwa kufyonzwa....tujue kufanya kazi zetu na kusave pia kwa ajili ya baadae,.kumtegemea mtu sana kwanza dhambi...

Yeremia 17:5-8 ukisoma utaona mtu anaye mtegemea mwanadamu anakuwaje...

Mungu akatubariki sawasawa na utajiri wake,kusukwa-sukwa hata kumwagika...!!!!
Naomba "NIKUTUKANE" kidogo kwa mapwenti uliyoyaandika...
 
Habari wana MMU.

Kuna hili jambo ningependa tujadiliane ama tushirikishane kidogo.

Hakuna asiejua kuwa kila mwanamke kabla hatujavurugwa na dunia huwa matamanio yetu ni siku moja kuolewa na kutengeneza familia na mwanaume fulani hivi amazing(fantancy vs reality).

Sasa tatizo linakuja kuwa huwa wanawake wengi wana mentality kuwa maandalizi ya familia ya baadae haswa kwa mambo yanayohusu assets na gharama zingine ni majukumu ya mwanaume na sio mwanamke.
Hivyo unaweza kukuta binti ana kazi nzuri tu ila hata kujiwekeza kununua hata kiwanja walaaa hawazi au hata kufungua biashara. Anawekeza kwenye mikoba,mawigi,simu za bei ghali,viatu nk. Vitu ambavyo ukivipigia mahesabu unakuta ana viwanja vitano vikubwa tu huku kijijini kwetu.

Hebu fikiria unaolewa ukiwa angalau umejiwekeza kiasi fulani hivyo mkiunganisha nguvu na mwenza wako angalau mnapiga hatua kadhaa kwa haraka kuliko kusubiria mwanaume afanye kila kitu.

Wakati mwingine unakuta binti anadate mwanaume mwenye expossure ya kutosha na mfanyabiashara mzuri, hata kuomba basi hata aelekezwe abc's za biashara, hata kuunganishwa kibiashara nehiiii.
Au unadate mwanaume mwenye uwezo mkubwa kifedha hivyo kazi yake ni kuomba kununuliwa simu ya milioni 2 nk, vitu vya anasa ambavyo kwa kiasi kikubwa havikuongezei lolote la maana zaidi ya sifa za kijinga. Ni kwanini usimuombe mtu wa aina hiyo hata business idea, au angalau uanze jambo lako ie biashara,ujenzi nk kisha umuombe akuongezee kiasi fulani cha pesa? Kwa mwanaume mwenye upeo atakuona una akili na anaweza kukusogeza mahali pazuri.

Mwingine unakuta ni mama kabisa ila hata haiwazii kesho ya mtoto wake ambae anamlea peke yake, yuko busy na starehe na kutumbua pesa za child support, kesho na keshokutwa baba hayupo mtu anaanza kuhaha wakati nafasi ilikuwepo akaichezea

Maisha yamebadilika sana jamani basi nasi wanawake tubadilike in a positive way, tuyaishi maisha halisi na sio ya kuigiza ili angalau tunapoingia kwenye maisha ya ndoa angalau tuwe na cha kuongeza sio ndio ukiolewa umtwishe mwanaume majukumu ya familia mnayoijenga,familia ya kwao na ya kwenu pia. No wonder wanakufa mapema hawa watu.

Tuzitumie fursa vizuri pale zinapopatikana kabla haijawa too late.
Jamani hapa simchagulii mtu maisha ila hakikisha hautokuwa na majuto baadae kuwa "laiti ningejua"!!! Maana hakuna anaependa kesho yake iwe ya kuunga unga.

Nawasilisha.
Fact wachache wataelewa
 
Noo...you took me wrong..

Huwezi kucompare sex na kumsomesha mtu...afu pia ujue Sex kuna mutual pleasure..kuna mutual benefit..

Sex kwani naenjoy mimi peke yangu..?

Vaa viatu vya mwanaume hebu;

Unapewa kitobo kweli, umesomesha mtu miaka 3 ama 4..kamaliza unataka kujenga nae future anakuja jamaa from nowhere binti bila kujali anasepa na msela mwingine..real..?

Sasa hapo ndio unajua kuwa uliingilia wajibu wa mtu..

Mimi hili nimeliona kwa macho yangu kwa marafiki zangu..! Wala sikusoma story..! I will never do it.

Shit happens though, hata wanawake unamsaidia boyfriend weeh afu akifanikiwa hakujui au mume anakwambia wewe sio wa hadhi yang
.
Mmh sex ni mutual benefits, ila nyie mkinyimwaga ndo wa mnaongoza kulia lia lol. Na laiti tungejua; hawa wapenzi ni bora tungewapa hela hata kama watatukimbia; kuliko kuwapa "raha za ndoa zetu" tunazoziacha kwenye vitanda tunavyolalia na watu wasio na ndoa na sisi
 
Back
Top Bottom