Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Asalamaleykum..Haha a.k.a ustaadh
Asalamaleykum..Haha a.k.a ustaadh
Hahahahahahaaaa. Na wewe unaijua ya kujaza maji mdomoni usiongee eeehNilisahau kujaza maji mdomoni...nikajikuta na bwabwaja tu...atanisamehe kwa kweli
Hahahahahahaaaa. Na wewe unaijua ya kujaza maji mdomoni usiongee eeeh
Heko kwa bibiBibi yangu hakukosea kwenye malezi
Bebe umenitupa tena...singo lady tangu liniAhahahaaaaaa uwiii hivi umri wako umegomea kwenye ngapi vile?
Iceman nilishamuacha toka siku ile uliponiita nikamfumania, sasahivi am a single lady.
huyu mwanamke ataniua
Shikamoo baby shemHave ma" like babe-girlunajua nini umesema maneno maziiito mno mwenye kusikia na asikie,.japo KUPANGA NI KUCHAGUA hatuingiliani lifestyles lakini penye ukweli lazima tukumbushane...
Wadada tupunguze luxuries tofauti na vipato vyetu,.tuwe na kiasi na kuridhika..tukipata wenzetu hebu tupeane support sio kisa ni mbebe wako basi ndio akome kila dhiki unambebesha kaka wa watu looh tena ujue kwao wana japo mbuzi wa maziwa basi hali akashiba.,.ndio maana wengine miti mikavu hawanenepagi kwa kufyonzwa....tujue kufanya kazi zetu na kusave pia kwa ajili ya baadae,.kumtegemea mtu sana kwanza dhambi...
Yeremia 17:5-8 ukisoma utaona mtu anaye mtegemea mwanadamu anakuwaje...
Mungu akatubariki sawasawa na utajiri wake,kusukwa-sukwa hata kumwagika...!!!!

Naomba nikuitikie kesho asubuhi shem babe,..nanoa jembe la kuamkia nalo shambani kesho alfajiri,.Shikamoo baby shem![]()
![]()
![]()
shem una mbwembwe na weweNaomba nikuitikie kesho asubuhi shem babe,..nanoa jembe la kuamkia nalo shambani kesho alfajiri,.
Hiyo mada umeilewa bila shakakweli shem babe
Hahahahaa,. Woza wozaHiyo mada umeilewa bila shaka

100% nzuri sana hongera author.
Ungeandika kakitabu japo page 29.
Kwa manufaa ya waliopo rural na wewe binafsi kwa kuongeza kipato.
elimisha na wengineHahahahaa,. Woza woza![]()
Nitafanya hivyo kwa msaada wa Mungu shem babe Wangu,.elimisha na wengine
Abarikiwe sana kwa kuwakumbusha,ebu fanya kugeuka bhasAuntie umeongea kitu cha mana sana watu wengi wanajisahau na ujana wa mda mfupi asante sana kwa kutukumbusha mada nzuri sana barikiwa sana
Abarikiwe sana kwa kuwakumbusha,ebu fanya kugeuka bhas
Utayapataje wakati unazinguaNipe mahela nigeuke