Free talk: Mwanamke shtuka!

Free talk: Mwanamke shtuka!

Have ma" like babe-girlunajua nini umesema maneno maziiito mno mwenye kusikia na asikie,.japo KUPANGA NI KUCHAGUA hatuingiliani lifestyles lakini penye ukweli lazima tukumbushane...

Wadada tupunguze luxuries tofauti na vipato vyetu,.tuwe na kiasi na kuridhika..tukipata wenzetu hebu tupeane support sio kisa ni mbebe wako basi ndio akome kila dhiki unambebesha kaka wa watu looh tena ujue kwao wana japo mbuzi wa maziwa basi hali akashiba.,.ndio maana wengine miti mikavu hawanenepagi kwa kufyonzwa....tujue kufanya kazi zetu na kusave pia kwa ajili ya baadae,.kumtegemea mtu sana kwanza dhambi...

Yeremia 17:5-8 ukisoma utaona mtu anaye mtegemea mwanadamu anakuwaje...

Mungu akatubariki sawasawa na utajiri wake,kusukwa-sukwa hata kumwagika...!!!!
Shikamoo baby shem
 
Mwanamke ununue kiwanja ni mwanaume gani huyo ambaye hana akili sawa sawa atajenga hapo......labda kununua fenicha za ndani na vikolokolo......nyumba hujengwa na mwanaume ili mkewe aje kuingia na kuisimamia hatimaye kuimiliki....
 
hapa naona kuna mada mbili tofauti
1.matarajio ya wanawake kwa wanaume wa kuwaoa"kabla hawajavurugwa na dunia according to mtoa mada"(fantasy vs reality)
2.wanawake kujikwamua kiuchumi kabla na baada ya kuolewa
Ila naona hapa wengi wao wamebase kwenye hiyo ya pili, ya kwanza wameiacha sijui kwanini
 
Back
Top Bottom