Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 30,200
- 87,404
Dada ni position gani hii nimpe mdogowanguUna kadi ya nida?
cheti cha kuzaliwa?
cheti cha driving kutoka chuo kinachotambuliwa na serikali?
wadhamini watatu wanaopatikana?
Dada ni position gani hii nimpe mdogowanguUna kadi ya nida?
cheti cha kuzaliwa?
cheti cha driving kutoka chuo kinachotambuliwa na serikali?
wadhamini watatu wanaopatikana?
Ma manyoo nakuita ujue?Dada ni position gani hii nimpe mdogowangu
Nimekuja ba mnyogode😁Ma manyoo nakuita ujue?
Mhmm.. kaoneNimekuja ba mnyogode😁
Hako katoto kamepigwa na maisha,mbele moto nyuma moto,Dah watu wajue humu kuna watu na watani zao, suala la itigi ni langu mimi na wewe. Wa itigi ni mimi sio wewe, ila mimi hukugeuzia kibao.
Kuna muda watu wana hamu tu ya kugombana na mtu wanatafuta sababu tu.
La msingi na mferji huku mtaani usipotee sana utatangwazwa umepotea km ilivyotokea ss.Labda kama sio mimi😅
Nipo rada bwasheeLa msingi na mferji huku mtaani usipotee sana utatangwazwa umepotea km ilivyotokea ss.
Bwashee upo?Hako katoto kamepigwa na maisha,mbele moto nyuma moto,
Kaliposikia issue ya Itigi kalifikiri ni kweli ili kapate faraja na kujifariji,si unaona kalivyosikia hivyo tu kakaanza kukata mauno kwa furaha.
Nikajua upo msibani kwa yule kada aliyegongwa mwembe yanga pale anazikwa leo Pale Idiva kihonda.Nipo rada bwashee
Bwashee nikiwa msibani lazima nitaposti tu🤣Nikajua upo msibani kwa yule kada aliyegongwa mwembe yanga pale anazikwa leo Pale Idiva kihonda.
Nipo Bwashee,Bwashee upo?
Unampata yule jamaaBwashee nikiwa msibani lazima nitaposti tu🤣
Umetuachia jimbo!!Mimi nipo na papi wangu kuweni na amani😁 Supapawa
Hahahaha hapana bwashee, 😅 nimeamua tu over time zote nitengeneze pesa🤣Nipo Bwashee,
Unatafutwa humu,
Nimewaambia vijana wakutafute kwenye Bar zote,huenda umezima kwenye meza ya counter.
Yupi bwashee?Unampata yule jamaa
Si ndiooooo! Watu wanakusingizia sana.Sio kweli mrembo😅 chumbani kwangu kuna pombe za milioni 5 ,kwamba niwe na ulimbukeni wa bar? Eti pombe ni miujuza kwangu?
Ndio, mkiridhia wote tushee nitarudiUmetuachia jimbo!!
... nashukuru ulikuwa UZUSHI! 😅Bwashee kwamba naweza anzisha mada nikaogopa kurudi?😅😅😅
Kivipi meku😅... nashukuru ulikuwa UZUSHI!
NB: TUTWANGANE KWA MAPENZI!