Mzigua_255
JF-Expert Member
- Jun 25, 2026
- 815
- 1,649
Kuna nini kwani?
Bwashee kulikua nanini kwani?ungetulia kwanza ukakaa kimya ukasikilizia milio watu wakiuana humu
🤣🤣🤣 kumbe hujui chochote mkuu. Kuna pulatinamu Memba mmoja hivi mzee wa vieiara kidogo awaoe Wanaume humu wawili, wamepelekana moto bala Halafu live live,. Sema washapoa saizi.Bwashee kulikua nanini kwani?
Nilisha kuambia kua unachomiliki wewe ni hiyo broken english unayo imwaga hapa,tafuta tiba ya kisaikolojia ili kupunguza athari unazo zipata sasa kutokana na malezi ya hovyo uliyo yapata toka kwa Baba wa kambo,
Ndio maana hata huelewi unacho kiandika hapa,mara hubishani ila unabishana,mara hujibu ila unajibu! wewe debe tupu la JF tafuta shughuli ikukeep busy ili upunguze kushusha vinyuzi vya kijinga jinga hapa.
Kila binadamu huwa anakuwa na mtihani wake... Leo nimeona nitoe japo snippet yangu, kwa vile hili jukwaa ni kubwa nadhani naweza kupata mtu wa kunibadilisha mawazo..
Kwanza kabisa.... I'll be 29 this month. Na kuna vitu huwa navipuuza but they're starting to make clear sense now..
Si unajua utu uzima dawa Buddha! So japo mapambano yanaendelea kuna time inabidi uwe vulnerable kidogo uache ego ikae pembeni maana haiweki chakula kwenye sahani wala kulipa kodi.
So, kufupisha stori ni hivi...
Mimi na mzee wangu hatuko sawa, na sioni dalili ya kuja kuwa sawa tena... Maana Kadri siku...
- de Gunner
- maisha uhusiano wa familia
- Replies: 309
- Forum: Habari na Hoja mchanganyiko
Good to see you champ.Madam mzuri nipo tu , nimetingwa na maulevi tu😅
Mwangaluka mayuu
Dah watu wajue humu kuna watu na watani zao, suala la itigi ni langu mimi na wewe. Wa itigi ni mimi sio wewe, ila mimi hukugeuzia kibao.Kabishane na mamako,
Acha shobo wewe za kushobokea wanaume utaolewa,wewe huna akili ya kubishana na mtu yeyote humu JF zaidi ya kuuweka upumbavu wako wazi tu,
Hivi unajua hilo jina la kuitana Itigi mimi na Binti kiziwi limeanza lini na sababu yake ni nini?
Kumbe ndo wewe?Dah watu wajue humu kuna watu na watani zao, suala la itigi ni langu mimi na wewe. Wa itigi ni mimi sio wewe, ila mimi hukugeuzia kibao.
Kuna muda watu wana hamu tu ya kugombana na mtu wanatafuta sababu tu.
Nakupenda sana mnyaturu wanguGood to see you champ.
Sawa nakupenda pia, je kuhusu Espy_ tunafanyaje? Hujui espy ni bro wangu? 😆Nakupenda sana mnyaturu wangu
Mhmmm usijitoe madam wangu mzuri kwani siwezi oa wote watatu na nikawahudumia vizuri tu😅
kadi ya nida ninayoUna kadi ya nida?
cheti cha kuzaliwa?
cheti cha driving kutoka chuo kinachotambuliwa na serikali?
wadhamini watatu wanaopatikana?
Ngoja waje tukubaliane kama mnaijeria mmoja yuko ticktok ana wake watatu na wote wanaishi nyumba moja 🤣Mhmmm usijitoe madam wangu mzuri kwani siwezi oa wote watatu na nikawahudumia vizuri tu😅
Hahaha yeah binti kiziwi ,unafikiri mimi sipendi kuhudumia? Napenda sana ,ila naepuka tu kuhudumia matapeli ,hata wake watatu nawamudi vizuri mno nikiamuaNgoja waje tukubaliane kama mnaijeria mmoja yuko ticktok ana wake watatu na wote wanaishi nyumba moja 🤣
Shida ya huyu akifungiwa stoo ya vinywaji anaanza kumenya taratibu ni kama fisadi kapewa hazina 😂Kuna wajinga wanasema ulishindwa kulipa bill ukafungiwa stoo ya vinywaji
Sio kweli mrembo😅 chumbani kwangu kuna pombe za milioni 5 ,kwamba niwe na ulimbukeni wa bar? Eti pombe ni miujuza kwangu?Shida ya huyu akifungiwa stoo ya vinywaji anaanza kumenya taratibu ni kama fisadi kapewa hazina 😂