FREE MIN MEE

FREE MIN MEE

Ila ukiwaza sana humu JF matusi yanayotukanwa au kutukanana nje ya JF ni watu wengine tofauti kabisa.. maana hata sura hazielekei kama tuna midomo michafu 😆😆😆
Au nasema uongo mdogo wangu...
ephen_
 
Ila ukiwaza sana humu JF matusi yanayotukanwa au kutukanana nje ya JF ni watu wengine tofauti kabisa.. maana hata sura hazielekei kama tuna midomo michafu 😆😆😆
Au nasema uongo mdogo wangu...
ephen_
Upo sahihi! Mambo ninayoandika jf siku tukionana nitakua naangalia chini kwa aibu sithubutu kukuangalia usoni😂
 
Bwashee 😅😅 mnapenda mtu ateseke 🤣 ngoja leo nilewe vizuri niwape stress gademitt 😅
Bwashee 😅😅 mnapenda mtu ateseke 🤣 ngoja leo nilewe vizuri niwape stress gademitt 😅


😁😄😀

Watu wanajifanya wanakupuuza, hawakujui, hawakutambui. Wanakuona huna lolote.

Lakini ukipotea siku mbili wanaku-miss. Wanaanza kukuulizia
 
Back
Top Bottom