Francis Ndulane anahitaji sana ushauri asijidhuru

Francis Ndulane anahitaji sana ushauri asijidhuru

Why react on the sport magufuli? Why? Why? Ikulu ina heshima kubwa utulivu, staha, ustahimilivu, busara Kwani lazima useme neno kwa kila jambo? Ikulu ya tanzania imekosa mtu makini, mwenye hekima na busara , ikulu haina diplomasia duuh!

Tanzania iko katika hali sio kabisa kwa sasa, u needed not say anything mamlaka ya uteuzi ni yako huna ahadi na Mungu katika yote ikiwa ni pamoja na afya yako ya leo wala ya kesho.

Why why ikulu inakosa staha, hekima na busara? Mtu kasoma tambaza, pugu, IFM na Mzumbe wakati unamteua wewe ulitumia vigezo gani ambavyo watu wako walikudanganya? Huyu mwenzetu ni binadamu, yani unachochea moto juu ya moto , PIGO LA MUNGU HALICHAGUI TUTAONA EPISODE ZIJAZO

View attachment 1645887
 
wabongo hatuwazi tofauti wakati ishaelewk jamaa kaamua na hajawahi shauriwa akakubali Humu Kila mtu anaponda angemewpisha hivhohivyo mmgesema vilaza, thread kibao mpaka mnachosha humohumo mpo.
 
Why react on the sport magufuli? Why? Why? Ikulu ina heshima kubwa utulivu, staha, ustahimilivu, busara Kwani lazima useme neno kwa kila jambo? Ikulu ya tanzania imekosa mtu makini, mwenye hekima na busara , ikulu haina diplomasia duuh!...
A ha utoto wako
 
Why react on the sport magufuli? Why? Why? Ikulu ina heshima kubwa utulivu, staha, ustahimilivu, busara Kwani lazima useme neno kwa kila jambo? Ikulu ya tanzania imekosa mtu makini, mwenye hekima na busara , ikulu haina diplomasia duuh!..
Fanya yako mazee.

Utapata stress bure kwa sababu ya takataka ambaye akili inajulikana ni mbovu.
 
Why react on the sport magufuli? Why? Why? Ikulu ina heshima kubwa utulivu, staha, ustahimilivu, busara Kwani lazima useme neno kwa kila jambo? Ikulu ya tanzania imekosa mtu makini, mwenye hekima na busara , ikulu haina diplomasia duuh!...
Mkuu wengi wanashindwa hata kusoma Kiapo cha Ndoa mbele ya Madhabahu nikiwepo mm mwenyewe. Mchungaji alibidi anasaidie kusoma nikawa namfuatilia kwa kutamka tu. Nilifanya maandalizi ya kutosha lkn sijui nini kilinipata Mbele ya Madhabahu.
 
siamini uchawi lakini nasikia jamaa alipata stroke alipo teuliwa na kugombea ubunge. Nimeona ilw clip jamaa maandishi alikuwa hayaoni
Hakuna cha uchawi wala stroke alipomvimbia pm kwa kumuondoa mtumishi aliyeamriwa kurudishwa kazini yy alifikiria nn? Pm wetu ni very smart person.
 

Attachments

  • Screenshot_20201210-062946.png
    Screenshot_20201210-062946.png
    116 KB · Views: 6
Watu wanacheka sana na kushangilia kwa kilichotokea kwa mbunge wa Kilwa aliyeshindwa kuapa mbele ya Rais.

Hili sio tukio la kawaida kwa mbunge aliyeteuliwa kuwa naibu waziri wa madini....
Rais aangalie upya msimamo wake. Ajue yukio hilo si la kawaida. Mbunge huyo anajulikana ni maoni mzuri tu. Je rais hashangai hali hiyo. Tuwe na huruma jamani hali hiyo inasikitisha
 
Watu wanacheka sana na kushangilia kwa kilichotokea kwa mbunge wa Kilwa aliyeshindwa kuapa mbele ya Rais.

Hili sio tukio la kawaida kwa mbunge aliyeteuliwa kuwa naibu waziri wa madini.

Kwa mujibu wa Rais ni msomi mzuri tu wa kiwango cha uzamili katika fani ya fedha.

Imekuwa ni jambo la kushtua sana kwa mtu mwenye uzoefu kama wake kushindwa kuapa kwa kusoma maandishi ya kiapo.

Kama ikivyo kwa Watanzania wengi tunashangilia sana hasa baada ya rais kutoa msimamo wake kuwa atateua mbunge mwingine kushika nafasi hiyo.

Ndulane atakuwa na mfadhaiko wa hali ya juu sana pamoja na mke wake na watoto wake pia kama anao.

Hapo ndipo washauri nasaha wanahitajika sana kwa Ndulane kuliko kumcheka na pengine aweza chukua hatua mbaya sana.

Ni wakati wa umma kuwa karibu yake na kumpa moyo kwa fedheha ile kwa Ndulane
Umeandika vyema
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] Watu wa kusini hao wamefunika ungo, hiyo kazi wenzake wameimendea, wakaichinjia, wakaizikia!

Ajue aendako ofisini si lelemaa..
This is Tanzania!

Everyday is Saturday................................[emoji41]
Aisee nilikuwa sijui kama ni mbunge wa wapi kumbe ni kusini huko kilwa kwa ushirikina hawajambo wale watani zangu.
Ila Rais naye amekosea sana kumtumbua kwa ajili ya ishu ndogo kama hiyo wakati cv yake inatambulika
 
Huyu hapa hakufaulu kura za maoni. Alipata kura za mkia. Wa kwanza alipolonywa ushindi akapewa yeye. Kumbuka huko ni Kilwa kwa Wazee wa Kazi. Kilwa hoiyeeeeeee
Kumbe ndio ilikuwa hvyo!
Basi kama ni hvyo hata huo ubunge wake awe makini sana jimbo linaweza kumshinda.
 
Back
Top Bottom