Francis Ndulane anahitaji sana ushauri asijidhuru

Francis Ndulane anahitaji sana ushauri asijidhuru

Watu wanacheka sana na kushangilia kwa kilichotokea kwa mbunge wa Kilwa aliyeshindwa kuapa mbele ya Rais.

Hili sio tukio la kawaida kwa mbunge aliyeteuliwa kuwa naibu waziri wa madini.

Kwa mujibu wa Rais ni msomi mzuri tu wa kiwango cha uzamili katika fani ya fedha.

Imekuwa ni jambo la kushtua sana kwa mtu mwenye uzoefu kama wake kushindwa kuapa kwa kusoma maandishi ya kiapo.

Kama ikivyo kwa Watanzania wengi tunashangilia sana hasa baada ya rais kutoa msimamo wake kuwa atateua mbunge mwingine kushika nafasi hiyo.

Ndulane atakuwa na mfadhaiko wa hali ya juu sana pamoja na mke wake na watoto wake pia kama anao.

Hapo ndipo washauri nasaha wanahitajika sana kwa Ndulane kuliko kumcheka na pengine aweza chukua hatua mbaya sana.

Ni wakati wa umma kuwa karibu yake na kumpa moyo kwa fedheha ile kwa Ndulane
Sawasawa. Hili ni jambo la kisaikolojia.
 
Watu wanacheka sana na kushangilia kwa kilichotokea kwa mbunge wa Kilwa aliyeshindwa kuapa mbele ya Rais.

Hili sio tukio la kawaida kwa mbunge aliyeteuliwa kuwa naibu waziri wa madini.

Kwa mujibu wa Rais ni msomi mzuri tu wa kiwango cha uzamili katika fani ya fedha.

Imekuwa ni jambo la kushtua sana kwa mtu mwenye uzoefu kama wake kushindwa kuapa kwa kusoma maandishi ya kiapo.

Kama ikivyo kwa Watanzania wengi tunashangilia sana hasa baada ya rais kutoa msimamo wake kuwa atateua mbunge mwingine kushika nafasi hiyo.

Ndulane atakuwa na mfadhaiko wa hali ya juu sana pamoja na mke wake na watoto wake pia kama anao.

Hapo ndipo washauri nasaha wanahitajika sana kwa Ndulane kuliko kumcheka na pengine aweza chukua hatua mbaya sana.

Ni wakati wa umma kuwa karibu yake na kumpa moyo kwa fedheha ile kwa Ndulane
Muacheni ajidhuru tena kama anataka bisu au kamba tutamnunulia.

Kwanza alishinda kwa kura za halali??????
 
Watu wanacheka sana na kushangilia kwa kilichotokea kwa mbunge wa Kilwa aliyeshindwa kuapa mbele ya Rais.

Hili sio tukio la kawaida kwa mbunge aliyeteuliwa kuwa naibu waziri wa madini.

Kwa mujibu wa Rais ni msomi mzuri tu wa kiwango cha uzamili katika fani ya fedha.

Imekuwa ni jambo la kushtua sana kwa mtu mwenye uzoefu kama wake kushindwa kuapa kwa kusoma maandishi ya kiapo.

Kama ikivyo kwa Watanzania wengi tunashangilia sana hasa baada ya rais kutoa msimamo wake kuwa atateua mbunge mwingine kushika nafasi hiyo.

Ndulane atakuwa na mfadhaiko wa hali ya juu sana pamoja na mke wake na watoto wake pia kama anao.

Hapo ndipo washauri nasaha wanahitajika sana kwa Ndulane kuliko kumcheka na pengine aweza chukua hatua mbaya sana.

Ni wakati wa umma kuwa karibu yake na kumpa moyo kwa fedheha ile kwa Ndulane
Anatakiwa apigwe kipapai kingine tena cha mwisho
 
Nae kilaza tu sijawahi ona mbunge msomi una Masters unashindwa kucontrol conference mbele ya Raisi? Unashindwa kusoma vitu vimeandikwa? Ni bora ungekuwa kwamba maneno yale unayakalili no Yameanfikwa wewe unasoma tu? Ataweza kutupa hotupa hotuba zilizo shiba huyu kwenye wizara? aende akalale waje wanaoweza.
 
Watu wanacheka sana na kushangilia kwa kilichotokea kwa mbunge wa Kilwa aliyeshindwa kuapa mbele ya Rais.

Hili sio tukio la kawaida kwa mbunge aliyeteuliwa kuwa naibu waziri wa madini.

Kwa mujibu wa Rais ni msomi mzuri tu wa kiwango cha uzamili katika fani ya fedha.

Imekuwa ni jambo la kushtua sana kwa mtu mwenye uzoefu kama wake kushindwa kuapa kwa kusoma maandishi ya kiapo.

Kama ikivyo kwa Watanzania wengi tunashangilia sana hasa baada ya rais kutoa msimamo wake kuwa atateua mbunge mwingine kushika nafasi hiyo.

Ndulane atakuwa na mfadhaiko wa hali ya juu sana pamoja na mke wake na watoto wake pia kama anao.

Hapo ndipo washauri nasaha wanahitajika sana kwa Ndulane kuliko kumcheka na pengine aweza chukua hatua mbaya sana.

Ni wakati wa umma kuwa karibu yake na kumpa moyo kwa fedheha ile kwa Ndulane
Hao kulogana,ufisadi,mauaji ndio laana inayowatesa
 
Yule mama aliyokuwa anakosea kosea mwenzie kasifiwa hadi kule kukosea kwake,jiwe na wanawake weupe ni damu damu.
 
Nae kilaza tu sijawahi ona mbunge msomi una Masters unashindwa kucontrol conference mbele ya Raisi? Unashindwa kusoma vitu vimeandikwa? Ni bora ungekuwa kwamba maneno yale unayakalili no Yameanfikwa wewe unasoma tu? Ataweza kutupa hotupa hotuba zilizo shiba huyu kwenye wizara? aende akalale waje wanaoweza.
Ubunge nao si aliapa au kuna tofauti?
 
Watu wanacheka sana na kushangilia kwa kilichotokea kwa mbunge wa Kilwa aliyeshindwa kuapa mbele ya Rais.

Hili sio tukio la kawaida kwa mbunge aliyeteuliwa kuwa naibu waziri wa madini.

Kwa mujibu wa Rais ni msomi mzuri tu wa kiwango cha uzamili katika fani ya fedha.

Imekuwa ni jambo la kushtua sana kwa mtu mwenye uzoefu kama wake kushindwa kuapa kwa kusoma maandishi ya kiapo.

Kama ikivyo kwa Watanzania wengi tunashangilia sana hasa baada ya rais kutoa msimamo wake kuwa atateua mbunge mwingine kushika nafasi hiyo.

Ndulane atakuwa na mfadhaiko wa hali ya juu sana pamoja na mke wake na watoto wake pia kama anao.

Hapo ndipo washauri nasaha wanahitajika sana kwa Ndulane kuliko kumcheka na pengine aweza chukua hatua mbaya sana.

Ni wakati wa umma kuwa karibu yake na kumpa moyo kwa fedheha ile kwa Ndulane
Anafaida gani kwa umma wa watanzania?
 
Zamani wateule walikuwa wanafanyiwa briefying, rehersal, dressing, even table manner.
Nadhani liko tatizo kubwa limempata huyu bwana, kweli sio jambo la kucheka, anahitaji counselling.

Mkuu, huyu mtu kawahi kuwa muhasibu na mkurugenzi Tanroads, hatutegeme hadi leo bado anahitaji kuwa prepped kwenye kila hafla. There was nothing really zaidi ya hafla tu.

Mimi nadhani alikuwa overwhelmed tu na hii ingeweza kutokea hata kama angekuwa prepped.
 
Kapigwa kipapai over!
Kuna jamaa tangu kutangazwa Baraza jipya la mawaziri na yeye kujikuta nje hajalala nyumbani kwake yuko pori kwa pori na amezungukwa na jopo la masangoma anataka kupindua meza kibabe, naona ameanza kufanikiwa, tusubiri yajayo yanatisha
 
Hivi kilwa kuna wakristo,nasikia alikuwa anaona maandishi ya kiarabu
 
Watu wanacheka sana na kushangilia kwa kilichotokea kwa mbunge wa Kilwa aliyeshindwa kuapa mbele ya Rais.

Hili sio tukio la kawaida kwa mbunge aliyeteuliwa kuwa naibu waziri wa madini.

Kwa mujibu wa Rais ni msomi mzuri tu wa kiwango cha uzamili katika fani ya fedha.

Imekuwa ni jambo la kushtua sana kwa mtu mwenye uzoefu kama wake kushindwa kuapa kwa kusoma maandishi ya kiapo.

Kama ikivyo kwa Watanzania wengi tunashangilia sana hasa baada ya rais kutoa msimamo wake kuwa atateua mbunge mwingine kushika nafasi hiyo.

Ndulane atakuwa na mfadhaiko wa hali ya juu sana pamoja na mke wake na watoto wake pia kama anao.

Hapo ndipo washauri nasaha wanahitajika sana kwa Ndulane kuliko kumcheka na pengine aweza chukua hatua mbaya sana.

Ni wakati wa umma kuwa karibu yake na kumpa moyo kwa fedheha ile kwa Ndulane
Huyo mbunge utamkuta wapi ili uwe karibu nae? Kapata ulaji kashindwa kuulinda acha wengine wajisevie
 
Wewe unaongelea huyu aliyeshindwa kusoma eti afanyiwe kanselingi, je wale wa upinzani ambao ndugu zao wameuawa bila kosa, wazazi na ndugu zake Ben Saanane, familia ya Lisu, wale wanaowekwa mahabusu kila mara kwa uonevu, wale ambao ndugu zao wamepotezwa kwa sababu ya kumkosoa tu Rais, wao wanatakiwa kufanyiwa nini?

Kwanza hawa karibia wote, wamepewa kura za wizi. Ingefaa zaidi angepelekewa mhubiri akimwambia ubaya wa kuiba kura.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom