Ni kweli kabisa mkuu,
Hata Barack obama alikosea kwenye kuapa kua raisi wa USA na akarudia kuapa tena siku nyingine.
One Mistake One Goal. Hakuna muda Tena. Imeisha hiyo.Mi nashauri aapishwe kwa mara ingine,,zile ni presha tu za kutoamini anakua waziri,😆
Kwan nasema uongo ndugu zanguBwege Anazungumzije Hili
Suleiman Bungara (Bwege)
Ni tukio la kawaida, kama lililompata yule UVCCM wa lindi kule dodoma. Kitaalamu na kitaaluma inaitwa Hippopotomonstrosesquippedaliophobia.Watu wanacheka sana na kushangilia kwa kilichotokea kwa mbunge wa Kilwa aliyeshindwa kuapa mbele ya Rais.
Hili sio tukio la kawaida kwa mbunge aliyeteuliwa kuwa naibu waziri wa madini.
Kwa mujibu wa Rais ni msomi mzuri tu wa kiwango cha uzamili katika fani ya fedha.
Imekuwa ni jambo la kushtua sana kwa mtu mwenye uzoefu kama wake kushindwa kuapa kwa kusoma maandishi ya kiapo.
Kama ikivyo kwa Watanzania wengi tunashangilia sana hasa baada ya rais kutoa msimamo wake kuwa atateua mbunge mwingine kushika nafasi hiyo.
Ndulane atakuwa na mfadhaiko wa hali ya juu sana pamoja na mke wake na watoto wake pia kama anao.
Hapo ndipo washauri nasaha wanahitajika sana kwa Ndulane kuliko kumcheka na pengine aweza chukua hatua mbaya sana.
Ni wakati wa umma kuwa karibu yake na kumpa moyo kwa fedheha ile kwa Ndulane
Inasikitisha sanaaaaKweli kabisa sasa Watanzania baadhi wanalichukulia jambo kwa mzaha wake hawajui kama anaweza chukua hatua mbaya
Ni tukio la kawaida, kama lililompata yule UVCCM wa lindi kule dodoma. Kitaalamu na kitaaluma inaitwa Hippopotomonstrosesquippedaliophobia.
Nafasi hiyo itakwenda kwa mama Riziki LulidaMuacheni ajidhuru tena kama anataka bisu au kamba tutamnunulia.
Kwanza alishinda kwa kura za halali?
More expectionMi nashauri aapishwe kwa mara ingine,,zile ni presha tu za kutoamini anakua waziri,😆