Kwakweli, maana Bungeni aliapaje kama hajui kusoma?Kapigwa kipapai over!
wazee wa gambosh wameshikilia ulimiKwakweli, maana Bungeni aliapaje kama hajui kusoma?
Kweli kabisa sasa Watanzania baadhi wanalichukulia jambo kwa mzaha wake hawajui kama anaweza chukua hatua mbayaZamani wateule walikuwa wanafanyiwa briefying, rehersal, dressing, even table manner.
Nadhani liko tatizo kubwa limempata huyu bwana, kweli sio jambo la kucheka, anahitaji counselling.
Watu wanacheka sana na kushangilia kwa kilichotokea kwa mbunge wa Kilwa aliyeshindwa kuapa mbele ya Rais.
Hili sio tukio la kawaida kwa mbunge aliyeteuliwa kuwa naibu waziri wa madini.
Kwa mujibu wa Rais ni msomi mzuri tu wa kiwango cha uzamili katika fani ya fedha.
Imekuwa ni jambo la kushtua sana kwa mtu mwenye uzoefu kama wake kushindwa kuapa kwa kusoma maandishi ya kiapo.
Kama ikivyo kwa Watanzania wengi tunashangilia sana hasa baada ya rais kutoa msimamo wake kuwa atateua mbunge mwingine kushika nafasi hiyo.
Ndulane atakuwa na mfadhaiko wa hali ya juu sana pamoja na mke wake na watoto wake pia kama anao.
Hapo ndipo washauri nasaha wanahitajika sana kwa Ndulane kuliko kumcheka na pengine aweza chukua hatua mbaya sana.
Ni wakati wa umma kuwa karibu yake na kumpa moyo kwa fedheha ile kwa Ndulane
elimu gani ccm nikubebeana tu muulize ben sa8 yuko wapi alipohoji tu PHD ya mze babaWatu wanacheka sana na kushangilia kwa kilichotokea kwa mbunge wa Kilwa aliyeshindwa kuapa mbele ya Rais.
Hili sio tukio la kawaida kwa mbunge aliyeteuliwa kuwa naibu waziri wa madini.
Kwa mujibu wa Rais ni msomi mzuri tu wa kiwango cha uzamili katika fani ya fedha.
Imekuwa ni jambo la kushtua sana kwa mtu mwenye uzoefu kama wake kushindwa kuapa kwa kusoma maandishi ya kiapo.
Kama ikivyo kwa Watanzania wengi tunashangilia sana hasa baada ya rais kutoa msimamo wake kuwa atateua mbunge mwingine kushika nafasi hiyo.
Ndulane atakuwa na mfadhaiko wa hali ya juu sana pamoja na mke wake na watoto wake pia kama anao.
Hapo ndipo washauri nasaha wanahitajika sana kwa Ndulane kuliko kumcheka na pengine aweza chukua hatua mbaya sana.
Ni wakati wa umma kuwa karibu yake na kumpa moyo kwa fedheha ile kwa Ndulane
ni msomi ana shahada ya uzamili (master's degree)Haituhusu, atakua na elimu ya vimemo huyo.
Mkuu ficha ujinga Bwana!It was staged. Walipanga iwe hivyo . Hivi wee humjui Jiwe alivyo mnafiki. Kumbuka ishu ya Lugola Jiwe anadai kabisa eti hakujua mkataba. Sasa sijui wakifanya hivyo ni kwa manufaa ya nani? Na wanafanya hivyo kwa ustadi wa hali ya juu utadhani ni kweli.
Hili genge ni la kichawi hakya nani?
[emoji3][emoji3][emoji3]wazee wa gambosh wameshikilia ulimi
dah, eeh MunguSiwezi kuficha ujinga wangu nitazidi kuuweka wazi. Ushaona wapi Rais anaiba rambirambi na kutukana tukana kwa kujilinda ajaleta tetemeko?
Asante sana my dear. Watu wameniroga sana.. nilikuwa naona limeandikwa tusi 😭😭Pole kwake
Dunia hadaa ulimwengu shujaa!
mikoa niipendayo, LINDI, MTWARA, PWANI, SUMBAWANGA, TANGA NA KIGOMA msiniulizeDunia hadaa ulimwengu shujaa!
WAKATI MWINGINE NDUGU WANASIASA TUWE NATABIA YA KUMUOMBA MUNGU. HASA KWA WAKRISTO WENZANGU, TUKUMBUKE MAOMBI KWA KILA WAKATI NA KWA KILA JAMBO. TUSIWE TUNAJIAMINISHA ELIMU ZETU NA UJUAJI WA SIASA TUKAZANI TUNAWEZA KILA KITU, TUKUMBUKE MAOMBI NISIRAHA. TENA TUOMBE BILA KUKOMAA. IMENIUMA SAANA KUMUONA NDUGU YA NGU HUYU ANASHINDWA KUAPA NA KUKOSA NAFASI NYETI KAMA HIII. SHETANI HALALI NA MAPEPO NA MAJINI WACHAFU NA MAWAKALA WA SHETANI WAKO KAZINI MASAA YOTE. MUNGU AMPENGUVU NA USITAHIMILIVU MBUNGE HUYO. AMINAWatu wanacheka sana na kushangilia kwa kilichotokea kwa mbunge wa Kilwa aliyeshindwa kuapa mbele ya Rais.
Hili sio tukio la kawaida kwa mbunge aliyeteuliwa kuwa naibu waziri wa madini.
Kwa mujibu wa Rais ni msomi mzuri tu wa kiwango cha uzamili katika fani ya fedha.
Imekuwa ni jambo la kushtua sana kwa mtu mwenye uzoefu kama wake kushindwa kuapa kwa kusoma maandishi ya kiapo.
Kama ikivyo kwa Watanzania wengi tunashangilia sana hasa baada ya rais kutoa msimamo wake kuwa atateua mbunge mwingine kushika nafasi hiyo.
Ndulane atakuwa na mfadhaiko wa hali ya juu sana pamoja na mke wake na watoto wake pia kama anao.
Hapo ndipo washauri nasaha wanahitajika sana kwa Ndulane kuliko kumcheka na pengine aweza chukua hatua mbaya sana.
Ni wakati wa umma kuwa karibu yake na kumpa moyo kwa fedheha ile kwa Ndulane